Hand Sam kichogo , chongo ndingoo, mlembo mzeee , kengeee weee, aiseee umetishaaa aaaaa mkuuu
@MohamediKalanje
2 ай бұрын
Pale kweny sumbula aliua noma sana
@zawadmussa8613
Ай бұрын
Kaka unatufurahisha sana , duh tamthilia bila huyu jamaa bado haijawa nmzuri bado
@eddiemohamed9003
2 ай бұрын
Big Up 👊👊
@PendoMushi-gy3vu
Ай бұрын
Yaani hii sauti nilikuwa natafuta ni nani kumbe ni wewe. Yaani nachekaga mpaka nalia hii sauti. Hongera sana sana
@jackietogwa7957
Ай бұрын
Kareem wa desire .
@josephinejoachim5847
Ай бұрын
Hongera kaka umetisha jamaniiii
@ZanariaZahoro
Ай бұрын
Wou nimependa uko vizuri.
@ratiohagu2637
2 ай бұрын
Aliua kwenye saut ya kibaraka wa hurrem kwenye sultan ila na humu kaua
@dorotheampanda3339
2 ай бұрын
Umeona ee
@ratiohagu2637
2 ай бұрын
❤
@jumamkoka2267
2 ай бұрын
Oh alkuaga sumbra 😂😂😂😂
@faidhamyovela179
Ай бұрын
sumburaaa
@user-wg5so4sd1e
Ай бұрын
Woiiiiwoiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@yusuphsadickkitova9805
Ай бұрын
Mwanagu nimekukubali sana namkubali sana huyu mwamba 😅🎉😂
@ChimamJuma
Ай бұрын
Kaka unatufurahisha mmno😊 'we kuweza'
@KevooNgao
Ай бұрын
Anaweza sana,saluti kwake
@ammylov7527
Ай бұрын
Mmmmh eeeh 😅😅😅 yani umetisha mimi nimtu wakwanza nikiangalia dolden boy haswa napenda upande wa hagaa mbwembwe zake haki unaweza hadi raah mungu akujalie kabisa
@paschallubango8713
Ай бұрын
Umetisha ❤
@user-cc9tz6tc1n
13 күн бұрын
Kaka mkubwa mpe sifa mungu nashukuru kwa kitu kikubwa
@user-ny6hj9gt7m
Ай бұрын
Umetisha Kaka umeipa hadhi tamthilia hii inapendwa na wengi
@user-si9bm1cn9z
Ай бұрын
Kwenye sultan pia sungura
@beatriceurassa-rz3nv
Ай бұрын
Hongera zako kaka
@user-co7yi6cm6b
Ай бұрын
Katishaa sanaaa😊
@sanfordpeter2751
Ай бұрын
Waooow
@AllyHaruna-ko3it
Ай бұрын
A😅😂 ahaha aha jamn me nakupenda Bure Yan kwel me uyo Mzee ndo anae nivutia kutizama mana lazima nicheke kwakwel ..hongera sana
@RuthKatoto
Ай бұрын
Hongera bhn
@RahmaRajab-ww9bo
Ай бұрын
❤❤❤❤❤ndie alienifanya niipende na kuifatilia gold boy😂😂😂😂
@SaidMsolima
24 күн бұрын
Jamaa kaua
@rashidkhamis9753
2 ай бұрын
Sumbulaaaa
@Sarahsaid2648
Ай бұрын
Yaan familia yetu wote tunaongea km mzome wa mzomeeeeee yaan tunampenda sana
@hedayamohammed2781
Ай бұрын
😂
@oscarkomba7258
Ай бұрын
😂❤
@AshuraMsofe
Ай бұрын
Anamuwezea sana
@HaikasiaMinja
Ай бұрын
Hongera sana
@amoursalim7418
Ай бұрын
Mm angalia kwaajili ya kasm aga
@mar-rh2ok
Ай бұрын
❤❤❤❤
@EdinaMbalamwezi
2 ай бұрын
Brooo unajua sanaa
@TheresiaMrema
Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤i lov him
@kelvinmanywele2638
Ай бұрын
😁😁naenjoy sana
@Halima-xd3ug
8 күн бұрын
Kazimu akulipe bwana unemtambulisha sana huku bongo kwetu 😂
@rashidkhamis9753
2 ай бұрын
Sultanaaaaaaa
@marryofficial9143
Ай бұрын
Ba mkwe wa ferit😂😂😂mzee wa faida🎉
@dijamodo5717
Ай бұрын
We ndiyo unafanya niangalie hii move😂😂😂❤
@ahmadsayyeed7910
2 ай бұрын
🤣😂😂😅😁 Yaani ww Mbavu zangu unazivunja siku zote ila ww ndo umeipendezeaha ile kazi
@user-vk4zh1ij1f
15 күн бұрын
Jaman mzome😂😂😂😂
@simplyzacky
Ай бұрын
Yaani nimesikia sauti tu nikamkumbuka Karim wa Hulya
@siphifahashimu9723
Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@BashiruSajasi-be1us
2 ай бұрын
Oioi wee
@athumanibakari5656
Ай бұрын
Agaaa kichogo ndio mjukuu wako woii wooi😂😂
@esiliarthurmwaisango9146
Ай бұрын
Nimependa saa yaKe (kijiko)
@SummyStories
Ай бұрын
😂😂
@MwanahamisSaid-bt1xf
Ай бұрын
🎉❤
@user-nq9bs5pr3b
2 ай бұрын
Kengee. ❤❤😂😂😂
@selemanmaganga-le4zg
2 ай бұрын
Natamani nimjue alieigiza sauti ya Mzee Fikri wa kwenye Our story
@thajuyusuph8723
2 ай бұрын
Ni yule baba mrefu kwenye mizengwe ya ITV
@ZSavana-gi4pf
Ай бұрын
Anaitwa sumaku wamizengwe
@ismailabbas4197
Ай бұрын
Aisee mwamba kauwa mbaya yani sauti imefanana na kazim mwenyewe 😅
@veronicaromwald8311
Ай бұрын
Nyie mbona naona wameanza kufanana 😂
@sautikaliitz934
2 ай бұрын
Hatari
@MUSSAJUMA-re5wo
2 ай бұрын
Astagavirulah ulikunywa maji kwa ajili ya kitu cha kipuuz 😢
@nasrasheikh1020
2 ай бұрын
Kazi nyengine mtihani, sasa hapo aliharibu funga yake kwa ajili upuuzi
@musapfute6608
2 ай бұрын
Muombeeni afe😂😂 km kawaida yenu
@ishe_ngo8926
Ай бұрын
Alikuwa kazini lakini alivunja swaumu yake kwa mpango wa kuilipa baadae
@NuruZebedayombise-ie5zb
Ай бұрын
Kaka yetu huyo
@zakiabakari9983
Ай бұрын
Woiiiiiwoiiiiwoiiiiii
@hafidhibrahim2920
Ай бұрын
Kamanda simon wa kwenye Eltugrul mzee wa Alee alee aleee
@ZSavana-gi4pf
Ай бұрын
Kweli kabisa Simon mule aliua kinyama😅😅😅
@user-sb3cx2ku3p
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂natqman nikutame nae nna zawad yake
@wemapiano4420
2 ай бұрын
Alichokivaa mkononi nikijiko
@SallyMohamed-vz9ik
Ай бұрын
Ndio😂😂
@fatumamhada651
Ай бұрын
kaka upewe mauwa yako jamani bila wew movi hainog kabsa
@asiamohamed8431
Ай бұрын
Nampenda ila kuna wakati lazima avuruge. Ila yuko vizuri sana
@KhadijaZahoro
Ай бұрын
Hata mm naona huyu ameuwa apewe mauwa yake
@twahashearer8302
2 ай бұрын
Daaah 😂😂😂🙌
@AishaZahor-xz1rt
Ай бұрын
Yaani ni km yeye ndio anamuigiza kazim aga 😂
@zohra5799
Ай бұрын
Wamemkosea sana sauti ya kazin
@suzannemilembenyalagu4802
Ай бұрын
😂😂😂😂 wow! Yaani anajua mpaka anajua tenaa!!
@user-vw4vt6zc2h
Ай бұрын
Me nampenda bure
@MuilatiHababuu
Ай бұрын
Kumbe ni kermal soidere
@nasmajuma6784
Ай бұрын
Itabidi aongezwe mshahara woi woi woi
@sophiakimaro5174
Ай бұрын
Kusema kweli huwa ninacheka saana haswa kwa manjonjo anayoongeza kama kugunaguba.
Пікірлер: 155