Mungu ataendelea kukubariki na hutapungukiwa safi sana mzee wetu.
@baybeshayo18
2 жыл бұрын
MUNGU wa mbinguni akubariki Sana mzee wetu.
@mwanabucheyeki226
2 жыл бұрын
Hakika Mzee huyu ni miongoni mwa Wafalme wenye ukwasi wa hela nyingi katika Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha.
@eaglecrown1101
2 жыл бұрын
Amina 🙏🤔🇹🇿 ubalikiwe Sana laswai...ulipotoa MUNGU akuongezee.
@verdianabanabi2205
2 жыл бұрын
Tanzania itajengwa na wenye moyo ila wabaya ndiyo wanayoitakia mabaya kwa kutaka kuuza nchi na mali zake zilizoko.
@geraldtarimo3210
2 жыл бұрын
Laswai ni Bilioner tunakufahamu
@rehemajuma9733
2 жыл бұрын
Zimbaaaa anaroho ya kizungu sana Mungu na azid kumueka
@cheiknamouna2058
2 жыл бұрын
Kwa anaemjua vizuri mzee Laswai m 500 ni pesa ndogo sana ila hongera jirani yangu Mungu azidi kukulinda🙏🏽🙏🏽
@samsonmzava1316
2 жыл бұрын
Hakika ni jambo jema mnooo,Mzee laswai.
@jayzeem14
2 жыл бұрын
Watu wenye kujua Mungu wana Mtolea Mungu shukurani kwa kujitoa kusaidia Jamii!
@baybeshayo18
2 жыл бұрын
MUNGU azidi kuinua watu kama hawa ktk tanzania yetu.
@amenaameeena3317
2 жыл бұрын
Yaani Bora wangezima uo mwenge ili kufidia Kodi wanazotaka watoto WA miaka 18 walipe mwenge Auna maana tangu Niko mdogo Naona mwenge lakini sijui faida yake
@humphreymosha1608
2 жыл бұрын
Brother Lasway hongera sana kwa kazi nzuri unayo fanya kwa jamii ..hapa umetukumbusha sisi wafanya biashara tuna cha kurudisha kwenye jamii kama shukrani.. Mungu aendelee kukubariki
@geraldtarimo3210
2 жыл бұрын
Chagga IPO pesa
@mremaletoni7806
2 жыл бұрын
Wachaga wanamiliki vitu vya gharama sana Njoo huku kwetu utasaidie kisima cha maji
@katemachanda7035
2 жыл бұрын
Hakutoa kwa sababu ni mchaga...
@anna19805974
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Bwana Laswai, wewe ni mzalendo katika nchi hii. Wafanyabiashara angalieni mfano kwa huyu Bwana Vicent kama una chochote jitoe kwa jamii na kwa ajili ya wengine usipobarikiwa na wanadamu basi Mungu atakubariki. Mungu akubariki sana Bwana Laswai.
@nasriprogrammingsite7026
2 жыл бұрын
Wachaga iko mawe bana
@katemachanda7035
2 жыл бұрын
Hakutoa kwa sababu ni mchaga...
@frankkimaro1354
2 жыл бұрын
mzee wangu ongera sana. Mungu. akupe umri mrefu
@jamesshao538
2 жыл бұрын
Safi sanaaa Laswai,hongera sana ndugu
@leolaswai2762
2 жыл бұрын
May the almighty bless him abundantly.
@tobiasarudo7315
2 жыл бұрын
This is a true Patriot. Be blessed. Wish we had more people like this man
@shijafugo7612
2 жыл бұрын
Mungu akubariki mzee Laswai
@glorychengula1927
2 жыл бұрын
Hongera Mzee wetu mungu akuzidishie pale umetoa ubarikiwe mara dufu
@robertphilip385
2 жыл бұрын
Mwenge unasaidiaganini
@fareskibera4224
2 жыл бұрын
Nzuri sana
@isaiahelias3010
Жыл бұрын
This is the spirit..hakika unapanda mbegu nzuri sana kwetu Mr.Lasway, God bless you beyond!
@judyngowi391
3 ай бұрын
Kijijini kwangu
@kasimramadhani1502
2 жыл бұрын
Hakika wewe ni mzalendo na una moyo wa upendo Kwa taifa letu ..mungu akuzidishie rizki,afya na moyo wenye hofu ya mungu
@musasalum2873
Жыл бұрын
Million 500 unajenga shule mpya? Darasa moja million 20
@emmanuelkiwango6638
2 жыл бұрын
God bless Laswai
@jescarkinabo6281
2 жыл бұрын
Wachaga hoyeeeeeee
@alicemama9099
2 жыл бұрын
Hongera sana mwanangu V. Laswai. Niliziona mbio zako toka 1984 pale kwenye v8wanja vya "NGUVU KAZI" Umoja wa Vijana Tanzania nikiwa Katibu wako wa Wilaya. Keep it up.!!!
@zabibubashiri3034
2 жыл бұрын
Mungu akuzidishie Amina
@stanleyjohnson3001
2 жыл бұрын
Mtendaji wa makiidi George nmekuona unaupiga mwingi sanaaa hongera wewe ni kiongozi boraa I love u so much jinsi unavyojituma na kazi yako ya kuisaidia jamii mama samia nakuomba umwuone George. Umpe uteuzi mkuu. Wa wilaya mama uyu kaka yuko vzuri mnooo
Tafsiri za ndoto kzitem.info/news/bejne/ynecnHuLknSch2k
@verdianabanabi2205
2 жыл бұрын
mzee wetu mungu akubariki na akuzidishie umri mrefu.
@ilynpayne7491
2 жыл бұрын
Daah mie sina ela na sina lolote huko watu wana jenga shule Kw serikal 🙏🙏
@emmanuelmasanja6040
2 жыл бұрын
Hongera sana,mungu akuongezee
@restitutanjau2585
2 жыл бұрын
Mungu akubariki,mzee Lasway
@jacobomrosso8405
Жыл бұрын
Asante mmeku
@aminaomary5567
2 жыл бұрын
Ongera sana mzee Laswai
@neemamvungi5949
2 жыл бұрын
Mungu azidi kukubarik
@michaelmotika4477
2 жыл бұрын
Patriot 🙏🙏🙏
@mdta8161
2 жыл бұрын
Safi sana baba
@issasimbira2001
2 жыл бұрын
Ukitumia nguvu sana katika ujana wako uzee wako utaambulia vichomi ila ukitumia akili sana ujanani mwako kutafuta pesa uzeeni mwako utapoteza kumbukumbu sasa amua kupoteza kumbukumbu ama kuwa na vichomi? Alie nielewa atajua nini namaanisha mzee kapoteza kumbukumbu kasema 1997 kumbe ni 2007 h😆😆
@ilynpayne7491
2 жыл бұрын
Mbona kawaida sana kuchapia hata sie vijana mda mwingine una weza ongea uka kosea siku ama tarehe sio jambo La ajAb
@geez5076
2 жыл бұрын
Mpuuzi ww hiko tu ndio ulicho kiona? Angalia na ww ujana wako ulivyo wa hovyo
@saadomari7150
2 жыл бұрын
Keep it up mzee.
@verdianabanabi2205
2 жыл бұрын
mzee Laswai naomba namba yako.
@vincentmokenye4465
2 жыл бұрын
Hahaha
@allstars7526
2 жыл бұрын
Ngukuuuu To the Top
@jacksonkileo2242
2 жыл бұрын
🙏🏿🙏🏿
@mosesjackson_tz
2 жыл бұрын
kuna watu wanahela khaaa
@vincentmokenye4465
2 жыл бұрын
Umeona
@fredymkanza
2 жыл бұрын
😂😂😂 Hii nchi Ina vituko sana.
@ndennkya5253
2 жыл бұрын
😁😁kwann tenaa😀😀😀
@fredymkanza
2 жыл бұрын
@@ndennkya5253 Fisadi yule yule kipindi Cha Mzee Magufuli Leo ni mgeni rasmi mbio za mwenge
Пікірлер: 66