Bro Mungu akulinde na wazazi wako pia huko walipo kwenye ulimwengu wa kiroho wapumzike kwa amani mahala pema peponi kwa kukulea vizuri huna haraka wala papara wala mihemko na uvumilivu pia unao Mungu akuweke mbali na mabaya ya aiana zooooote, kweli umeamua kujitoa kusaidia na sio kuangalia pesa wala mashahara wala cheo chako pia unakitendea haki. Nakuombea afya thabiti maana ndio mafanikio namba moja.
@Abu-Hamza254
3 ай бұрын
Jerry Jembe penda sana mafazi meuPE🔥🇰🇪
@user-me5qu5kw4u
4 ай бұрын
Kutoka rohoni waziri pole na ogera kwa kazi daaah
@jamalimussa4928
4 ай бұрын
Nachoona iwekwe mifumo madhuti haswa ktk ardhi , maana waziri anatumia nguvu nyingi kutatua matatizo inamaana akija waziri mwingine ambae hawez kujishughulisha hatoweza kutatua , yaani hii mifumo iko manual sana
@twiseghekisilu8845
4 ай бұрын
Pamoja na mambo yote huyu mama na jirani hawako vizuri
@joshuamwalusambo2391
4 ай бұрын
Mm imekuwaje leo waziri huyu ameshindwa kutatua tatizo la huyu mama
@JamaliAmour-jp9dd
4 ай бұрын
ww mama kaaa tu kwenye maji maan kumbe unatak mtu asarendi hart
Пікірлер: 9