Nataka niwaambie kwa kutekeleza programu hii itawasaidia sana kuwa raia wenye afya njema kwenye mikoa yenu. Nimuda sasa kila mmoja wetu tukafanyekweli kwa kupambana na mfumo wa maisha unaoitwa mfumo bwete.
FANYA KWELI, USIBAKI NYUMA
MTU NI AFYA
#mtuniafya #projectclear #wizarayaafya #fanyakweli #usibakinyuma
Негізгі бет Mh. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisisitiza wito kwa wakuu wa mikoa kutekeleza program ya mazoezi
Пікірлер