Mashaallah shekhe mbaraki mwenyezi mungu atuongoze kupitia elim uliyo nayo
@abdallaalisalim5770
11 ай бұрын
Masha Allah, Allah amzidishie umri sheikh wetu tupate kunufaik mamb ming yanayohusu Dini yetu, Yaaarabi tupe mshikamano katika Dini na utupe mwisho mwema "Amiin yarabalaalamn"
@znzislamiconline121
11 ай бұрын
Sheikh Mbarak Allah akujaalie umri wenye furaha na afya njema
@salamakhamis8092
3 жыл бұрын
Baaraka llahu fiiqu kwa upole wa kufahamisha na kufafanua mas ala kielimu na kiadab Alla akuhifadhi
@bintshariffmuhammad620
Жыл бұрын
MashaAllah jazakallahu khairan Allah akuzidishie ilmu na akuhifadhi wafamisha vizuri sana bila kuudhi yeyote
@suuahmed71
Жыл бұрын
Maa shaa ALLAH. Hawataki tu kukubali mawahabi. Shekh umeeleza uzuri na clear kabsaa
@intervention_team
11 ай бұрын
Shukran Maalim Allah azidi kukuhifadhi wewe na sisi na uendelee kuturuzuku kile alichokupa Allah katika Dini
nakupenda sana sheikh aweis kw ajili ya Allah. .nimekuelewa sana. .nnawaomba sheikh aweis atuwekee darsa ya kuifasir barzanj kw mujib ya shuruuh zake.
@zakiaanwar677
11 ай бұрын
Hii darsa mashaAllah imfikie bachu ambaye anadai barzanji ni mrongo muelemisheni aelewe
@user-rt1bz7lk4s
Жыл бұрын
Maaa shaa Allah sheikh mbarak Allah akuzidishie elimu
@user-oy1or3bd2b
6 ай бұрын
nipo burundi alhamdulilah nafaidika sana kwajina naitwa yusufu
@PPLPPL-ld3vu
11 ай бұрын
Kaidi bin Saudi shukrani tunawafuatilia Singida tnzania
@zedibansa9615
3 жыл бұрын
Mashalla sheikh mungu akulinde na hasad
@maawymuhammad6779
Жыл бұрын
آمين
@user-xx1hk6xj7w
11 ай бұрын
Naomba Namba ya sheikhuhammad Awes Bakar Mohamed Zanzibar Tanzania
@user-xx1hk6xj7w
11 ай бұрын
Assalamualaikum Allah awabariki bakar mohemed Zanzibar Tanzania
@IbrahimAli-ns3vh
11 ай бұрын
Sheikh mbarak wallah nakupenda sana na Allah ajua
@abdallahmkomboz2679
3 жыл бұрын
Nimeipata Faida kubwa sana Alhamdulillah!!
@user-sl8hf3cq4f
5 ай бұрын
Allah asinifishi wala kumfisha sheikh wng mbarak kabla sija kutana nae live nampenda sana mbarak ahmed awes nikiwa Burundi
@abdulahmed2772
11 ай бұрын
Wallah sheikh sayeed allah akuzidishie karma hekima na akuandalie pepo yaarabb hakika una hekma sana na busara ya hali ya juu allah ibaarik mfundisheni bachu kijana wenzetu awe na hekma na si qibri
@user-xx1hk6xj7w
11 ай бұрын
Naomba Namba ya sheikhuhammad Awes
@abdulhafidhelbahassany5657
3 жыл бұрын
جزاك الله خيرا يا شيخنا
@shuaibabdikarim9026
3 жыл бұрын
Mashaallah
@saidshariff9600
3 жыл бұрын
الله يفتح عليكم
@zakiaanwar677
11 ай бұрын
MashaAllah baraka Allahu fiiq
@asaduzamanalmaxmud7671
3 жыл бұрын
Masha allah
@suuahmed71
Жыл бұрын
Wallahi kusoma tamuuu. Kama hujasoma waskize wasomi ukubali wanayo kueleza usiropokwe tuu. MUNGU akuweke Mbarak Aweis uzidi kutunufaisha. Mawahabi maskini hawana hio fahamu ya kufahamu
@abdousatarmahmoud8443
Жыл бұрын
Allah aku hifadhi sheikh Mubarak kwa ufafanuzi wako katika ikhtilafu baina ya waislam majibu yako yako sahih kabisa sheikh matatizo ina tokana na ( majazul aklya) ndungu zetu ma wahabi wana matatizo kuhusu lugha ya ki arabu ndio ina wasumbua
@princeshadrak2310
3 жыл бұрын
Bsmlh ma sh Allh
@kisomekiguwa3706
3 жыл бұрын
Kwani mtu yeyote hawezi kosea? au mtu anaetenda mambo mbazuri hawezi kutenda kosa?
@MkindiRama-lp6hy
11 ай бұрын
Maashaalah
@rachelevarist70
3 жыл бұрын
sheh una hekima sana
@nurudinsalim8955
3 жыл бұрын
doctor Mubarak ww ni msomi mkubwa
@karimdaud3993
Жыл бұрын
Kushindanisha quraan Ni bidaa
@mohagurey2214
3 жыл бұрын
Yaani hamuoni shirki katika umati Mohamed s.a.w leo hii?? Isipokuwa shirki asqar??? Subhanalllah. Na watu wanaomba asiye Mungu, Sihri kila mahali....
@JabirBakar-ys8dw
Жыл бұрын
Ndio hayo mafahim yajibu an tuswahhahah
@mohagurey2214
3 жыл бұрын
Ukisema "vikao vya mtume" utakuwa ukijidanganya na kumdanganya ummah sababu si zake ni zenu tu. Itakuaje ilianzishwa miaka mia sita baada ya kifo chake s.a.w na baado mwasema vikao vya mtume??? Itaqillah ikhwan. Haya mutaulizwa na Mola na mtakosa jibu wallahi
@asaduzamanalmaxmud7671
3 жыл бұрын
Kaka fala tuzakuu anfusakum huwa ahlamu bimanitaqa
@mohagurey2214
3 жыл бұрын
@@asaduzamanalmaxmud7671 kaka how do I claim of purity by saying MAULID sio ya mtume??? I have everything to proof that my brother. Mambo ambayo yameanzishwa na mashia, tena miaka 600 baada ya kifo cha rasuul, tena uko misri, ambayo hamna sahaba achawahi kufanya, ambayo mali za maskini yakusanywa kwa jina ya mtume s.a.w ambaye sadaqa kwake ama ahli yake ni haram, ambayo haimo katika quran na sunnah na baado unataka tuamini na kusema ni kikao cha mtume??? وَأَنفِقُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ وَلَا تُلْقُوا بِأَيْدِيكُمْ إِلَى التَّهْلُكَةِ ۛ وَأَحْسِنُوا ۛ إِنَّ اللَّهَ يُحِبُّ الْمُحْسِنِينَ
@JabirBakar-ys8dw
Жыл бұрын
@@mohagurey2214 wewe haqqi unaijua lakini wallah unaipinga haqqi
@mohagurey2214
Жыл бұрын
@@JabirBakar-ys8dw sasa haqi ni kucheza dombolo ya maulidi bid'a
@JabirBakar-ys8dw
Жыл бұрын
@@mohagurey2214 maulidi hayafi ila utakufa wewe
@abdulrahmanabubakar5127
9 ай бұрын
Jamani hawa ni matapeli , musiwasikiza. Wako kwaajili ya matumbo yao , na hawaogopi kuzusha na kutumia uzushi ili kufurahisha mabosi wao .
Wewe huliwe una sikia neno mizimu hapo kina kyo sungumzwa husikie?
@is-haqmf8513
Жыл бұрын
Yani bora tu wahalalishe bid'aa hawa. Allah atusamehe
@abdulkadershariff1720
Жыл бұрын
Umesikiza darsa?
@abuyusuf-it5rm
Жыл бұрын
حديث لولا محمد ماخلتقتك هذا الحديث تفرد به عبدالرحمن بن زيد بن اسلم وهو ضعيف كما نصه البيهقي بل وبلغ بعض المحدثين ان هذا الحديث موضوع!
@toyikudratullah1466
5 ай бұрын
Sio kweli
@abushawalihamisi8225
3 жыл бұрын
Naomba namba ya sheikh awesu
@immtm4930
3 жыл бұрын
mimi sina akyamungu.
@pandumwadini9214
Жыл бұрын
Kwaiyo Mtume na Maswahaba zake na taabiina hawakuiona hiyo kheri? Njia bora ni kujiepusha kuliko kuingia ktk shubhat hizo.
@rashidhemed1444
Жыл бұрын
Kwani weye Kwa nini huyo mtume na maswahaba na tabiina na tabii tabiina mbona hawakuwafata mahujaji ktk funga ya arafa na weye unafanya kinyume chake na hamumfati mtume
@user-di8me2wb7p
11 ай бұрын
Mawahabi hua wako hivo kina alghurab hawana nidhamu kabsa😂
@omarmohd2514
2 жыл бұрын
Naomba Sheikh nikuone
@farahnurow4367
11 ай бұрын
10:45 - I was listening to this but I have been put off by Sheikh Mubarak quoting Ibn Sina and the host saying Allahu Akbar. I will stop listening. Ibn Sina was a heretic who put emphasise on greek philosophy than he did the Qur'an. He was obsessed with harmonising the two. Authoritative Muslim voices including Ibn Taymiyyah and Ibn Qayyim took him out of the fold of Islam. If you want to be taken serious, you should be careful about who you quote. Truth is truth but as audience, we don't know if the Ibn Sina quote you are throwing around is truth.
@kitosio
Жыл бұрын
Ghurafi huyu Qaadiria
@toyikudratullah1466
5 ай бұрын
Kuw n adabu.
@AbdulkarimShosi
2 ай бұрын
Dini yenu mawahabi ni matusi ilimu hamuna
@dullafani-us6yi
Жыл бұрын
Ndio utajua sisi ni wajinga huyu anatoa dalili Kwa elimu Sasa Mimi nawewe porojo bila elimu sawa na chemba zinazopitisha kinyesi Yani maneno (najc)...tutoe dalili
@khalidnoormohamed9350
3 жыл бұрын
Huyu sheikh anatumia elimu ya dini kinyume na uhalisia Bali anapotosha waislamu... Allah akuongoze
@immtm4930
3 жыл бұрын
Thibitisha kwa hoja tafadhali.
@lalybadi5397
3 жыл бұрын
Wacha chuki zako
@abushawalihamisi8225
3 жыл бұрын
Ww kasom ili umuelew sheik
@asaduzamanalmaxmud7671
3 жыл бұрын
Wwe kaka soma dini vizuri wacha kutowa fatwa bila masomo
Пікірлер: 81