Amejifunza makosa yake atarekebisha,kama Mungu anasamehe binadamu nasi twapaswa kusameheana,turekebishane kwa upendo
@davidm8306
2 ай бұрын
When I saw Sonko, I knew it will end well😂😂. I love this channel; it always has a positive impact. God bless you, Sonko.
@davidwalondi-wj2el
3 ай бұрын
Sonko is a good man I love the way he has uplifted many lives. He acted as a parent here.
@dannyosolo2752
3 ай бұрын
Mungu akubariki Sonko Kwa kumsamehe mwizi and give him job
@VeronicaDunbar
2 ай бұрын
Mheshimiwa amempa pesa. Si kazi. At least leo atakula. Je kesho? Kijana ataka Sonko ampe kazi, but mmoja wa wale vijana wengine, ataka aje kumuona yeye kesho.
@rashidgogo5558
Ай бұрын
Ivi binadamu mnataka kushinda na mungu eti mungu kasema mwizi akatwe mkono kwani moto hakuuona tuwache sifa zakijinga wew bingwa wakuchoma binadam.wenzio jalibu kidog2 kutia kidole kwenye chupa ya chai iliyojaaa uji ndio mtajuwa maumivu yamoto wengine wanakimbilia kuchoma bila kujuwa kaiba nn ila sifa nakutaka kuoneka shujaa tusichukue shelie mkono tunakosea sana
@ramadhanmahongole9293
2 ай бұрын
Uliye samehe mwizi utaenda kula mema ya mbingu 👏👏👏❤️
@ZsbAlbarwani
2 ай бұрын
Wewe ni mtu na nusu kumsamehe mwizi na kumpa kazi Mungu akubariki
@saidmatola8015
2 ай бұрын
Sio kumsamehe tu na kumpa kazi kampa na pesa. Dah wangekua manyang'au wengine wangemchoma moto....
@ThomasAthans-l8z
3 ай бұрын
😂❤ Huyu akiiba tena.. weeeh! May God save him in JESUS' Name.
@jenyyusuph4973
2 ай бұрын
Njaa njaa kweli wajomba Mungu atupe njia hawa wamefanyiwa maisha magumu na serkali wakiiba kidogo wanachomwa mawaziri wabunge wanaiba kupeleka mali kwa makahaba wanaachwa Mungu urudi ukumuke watu wako
@temeketv
3 ай бұрын
Sonko wewe ni mtu na nusu, MUNGU AKUBARIKI🙏🙏🙏🙏🙏
@DanyEnto
2 ай бұрын
Kuanzia Leo Mimi ni sonko family 🙌
@JuniorVsllence
2 ай бұрын
Ht Mimi ni sonko family😅😅
@JuniorVsllence
2 ай бұрын
Kwenye kibanda changu Cha mama ntilie nitaandika sonko😅😅😅😅😅
@ChristopherGomango
Ай бұрын
Just like me 😂
@alphamolosabaly2784
Ай бұрын
Quel sonko ? Le Sénégalais ?
@zainabmuhammed6294
2 ай бұрын
Ila samahani kidogo kama ntakosea alivyo kwambianMungu akubariki kwahakika ulipaswa useme Amin aminn
@msomirajabu-mt9ug
2 ай бұрын
Hakika bro uliyesamee na kumpa hela bac ujue mungu hatokuacha kukupa mahitaj ya moyo wako mungu akubariki sana bro kwa moyo mwema kama huo.
@allymwinyi970
2 ай бұрын
MUNGU awabariki kwa kumsamehe. Tuna Imani atajirekebisha na hatarudia tena Inshallah. From Tanzania.
@gloriaamase9764
3 ай бұрын
Kama ni tanzania hata hawangemskiza angechomwa haraka Sonko Mungu akubariki 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@MayaAlamari
2 ай бұрын
Allah awasamehe pia kumsamehe huyu kijana nskumuelekeza maisha afanye vibarua apate rizki
@humaidsawafi2788
25 күн бұрын
Kwa kweli mwana damu una moyo na Mola ata kupa mema ya duni na mwisho kwa kuweza kumsamehe huyo kijana kwa udhaifu wake Asante kaka Mola awe nawe ulipo
@kelvinmalowa1423
Ай бұрын
You changed the lives of Many youth in Umoja and the entire Eastlands. Could come up with something like..... soliciting for funds from well wishers..and even taping in social responsibility funds from corporations, companies and banks....and channel the Money in empowerment programs. ...and Turning and teaching them to become self Reliant in life.
@MsAisha-w4o
2 ай бұрын
Nimelia kwa uchungu alivyosema nisameheni msiniuwe maisha kitendawili tuishi kwa misamaha samahani ni neno la kawaida ila kwa mungu ni kubwa sana kaka mngu akubariki kwa kumsamehe uyo kijana.mpeni iyo kazi awache wizi kajifunza kitu ndani yake📌🙏
@CoulibalyYaya-w9q
25 күн бұрын
Je comprends pas mais vraiment que dieu vous bénisse, c'est pas tout le monde qui peut faire ça Avoir raison d'agir comme il se doit mais tu laisses vraiment merci beaucoup à vous.
@vanchillahvanchillah7691
Ай бұрын
Sonko mwenyezi mungu akujaalie na akuzidishie utajili katika maisha Yako unamoyo mzuri sana
😭😭😭 kaka sikujuwi hunijuwi najuwa unawatoto umejiuliza mengi sana juu ya huyu kaka alie iba mpaka kumsamehe mungu mkubwa sana na atakulipa kaka ninavyo juwa mwizi anapigwa hadi kifo au kuchomwa au kupelekwa polis🎉🎉🎉🎉🎉MAUWA YAKO KAKA
@Mariam-fm8vq
2 ай бұрын
Aki sonko MUNGU akulipe mema❤❤❤
@JacksonHinju-d7i
14 күн бұрын
Hoo safi sana broo jamaa kajifuza kitu nazani atarudia
@aubreychuma5449
2 ай бұрын
Daah hadi machoz yamenitoka wanaume tunapitia mengi xana 😢,,,, mungu awabarik sana hawa wameamua kumsamehe
@husseinkazimoto784
2 ай бұрын
Napenda sana kazi zako Mheshimiwa Sonko nilikuwa nakufatilia sana long time ago
@joshuabizkid
29 күн бұрын
Heri angekua mjanja akuombe kazi kuliko kuomba pesa coz hizi sitaisha arudi kuiba bado akiwa njaa bado😅😢
@husseinkazimoto784
2 ай бұрын
Safi sana bro, unajuwa vijana wengine sio wizi ila ni ugumu wa maisha ndio inasababisha kuingia kwa watu na kuiba ili kupata pesa ya chakula
@musaiddi9606
3 ай бұрын
I really watch ur clips every day ur such an incredible person may Allah bless you abundantly
@KwizeraFidel-s8w
3 ай бұрын
Wakenya muwache unyama ata km nimwizi lkn msichome yeye after hii maisha n kila mtu atabeba mzigo usihesabiwe damu yamtu plz that's why ilove rwanda 😢
@harrietamogollah162
2 ай бұрын
But sknko has a good heart..God bless you for forgiving him..
@zainabmuhammed6294
2 ай бұрын
Alhamdulilahi mwenyezi mungu akuzidishie bro
@Felicia_grow
3 ай бұрын
Woiyee ina huruma kama mzazi😢😢😢😢.....hope he will change haki.
@Nora-v1m3p
2 ай бұрын
Ameona wezi mbaya atabadilika atatubu. Soko Mungu akubariki kw kumsamehe
@shemnyaka
3 ай бұрын
Sonko mbali na umang'aa he's very human very understanding. God bless you Sonko
@petermusyoka9915
3 ай бұрын
I love how sonko is punishing thief while enjoying soft drink polepole😂
@GraceMenge
3 ай бұрын
God bless you so much Hon. Sonko for your kind heart, una roho ya utu sana maze thumps up Sir. Watchin from kisii am your fun
@amochetienou8366
2 ай бұрын
Bravo les frérots, merci bien à vous tous d avoir pitié de lui.
@karibunyumbani3824
2 ай бұрын
Nimelia sana kwa hii video😢😢😢😢😢 but MUNGU awabariki mna moyo mzuri pamoja na hasira ya kuibiwa but mmekubali kumsamehe
@webnejs5365
2 ай бұрын
Mungu akubariki muhes umefanya kama mzazi
@salomegeorge7027
3 ай бұрын
Msamehee tu ni njaa..Mpe kazi ya kusafisha huko
@ZakayoGhuliku
22 күн бұрын
Mungu akubariki wewe uriye msamehe
@JuniorVsllence
2 ай бұрын
Kaka mungu atazidi kukubariki,watu wenye pesa zao wepesi kusamehe ingekuwa mwezangu Mimi hapo😅😅😅ingepita tu amri mchomeni😢
@ikoveryTV
3 ай бұрын
If you can't see good in this just know you will never see anything good.Sonko Mungu akubariki sana..... The guy got disciplinened and you gave forgave him na ukamtip Hadi.Thats enough for that guy bana.God will bless you..... Sisi binadamu tutabaki tukijudge tu
@nicholasodera4294
2 ай бұрын
Lakini this guy Sonko has a good heart
@abdallahsalem8499
3 ай бұрын
I salute you Mr. Sonko you have bern a good example us all keep up with the same spirit👍👍👍
@ngahuson5716
3 ай бұрын
Sonko uko sawa. Ata kama ni mimi ningefanya hivyo hivyo.
@Win-Finders
3 ай бұрын
ile kitu gani mike,?Kuna wale wizi kubwa sana ambao wanaiba ma billioni za pesa za ummaha anzia wao kwanza
@victorkisilu6383
3 ай бұрын
Sasa umecomment nini? Kwani sonko ni president?
@Win-Finders
3 ай бұрын
@@victorkisilu6383 mike si president amesema Ati amesamehe huyu "mwizi"
@eyan_eugene
3 ай бұрын
Mwesh ulicheza vizuri....Wewe na watu wako ...❤❤🎉
@Oxy-o9u
3 ай бұрын
😂😂😂ningelikuwa hapo huyo angekuwa anatekea akaiva 🔥🔥🔥as we talk i hate thieves with a passion wamenihangaisha bwana i hate them 😂😂😂😂😂😂😂 Na ataiba tena hawananga akili 😂😂😂😂
@faizalabdi7873
3 ай бұрын
plz kuwa president 2027 InshaAllah my vote ni yako bro
@Win-Finders
3 ай бұрын
Mike will never be the president of Kenya,uhuru amemaliza career ya Mike,he costed him so much ,kuna time Mike alkuwa anaendelea vizuri,from MCA to MP to Senator to Governor and almost to presidency before uhuru stopped him becoz he was envy of Mike's blink blink lifestyle
@Khalid-mf3iu
3 ай бұрын
Faiz uko serious lakini😂
@brianmutie1442
3 ай бұрын
Sonko God akubless sana Kwanza umemfunza kuwa kuimba si poa
@danielleDayn
3 ай бұрын
Si huyo jamaa Ni Wa pale Mangweni 😂😂😂
@Frank-x9v
2 ай бұрын
Big up bro ....God bless u
@Alexbazeng
11 күн бұрын
Mwizi ni mwiziiiii choma mbwa yy, navile tunazitafta nashida ningekupata kwangu ungejua ujui, na mtu asiguze comment yangu
@djexitkenya881
3 ай бұрын
Sonko tu nakupenda lakini Anza zoezi.... Hio kitambi ngori
@BeatriceWanjiru-q8s
2 ай бұрын
Kma sonko ungekua ûi! Huyu angeteketeswo akey aishe mpeeni kazi ka iko akey mwizi wa kulip watu na kua hao wezi.
@moviekaa
2 ай бұрын
Huyu jamaa atakuja kuwa mtu mwenye mafanikio sana. Mungu Muongoze huyu kijana wako aache wizi.
@George-jw2vb
3 ай бұрын
Sonko God bless you brother.
@PresenterSangTv2024
3 ай бұрын
Sonko Ubarikiwe kaka... Unabadilisha Maisha ya wanyonge
@annwairimu5877
3 ай бұрын
Naomba nipe kazi Bwana Mike, yeyote ya usafi kufagia
@Vincent_worldusa
3 ай бұрын
Mwizi anawapea directions 😂😂😂
@ibrahimmavungu9
2 ай бұрын
God bless you papa 🙏🙏
@shabankolia8204
2 ай бұрын
May God bless u sir
@PatriciaSchmidt-ce8hm
2 ай бұрын
God continue Blessing u my bro sonko❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏💪😇😇🤗🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾✌️✌️✌️✌️✌️🇰🇪🇩🇪🍀🍀🍀🍀🍀🍀
@onesmomwakasege5215
2 ай бұрын
Angakuwa bongo huyo dah! Sipati picha
@mada658
3 ай бұрын
Looking good muhesh.bless you.your clip😂😂😂😂
@zainabmuhammed6294
2 ай бұрын
Love you so much lakini kwa hili
@michaelkazungu1987
2 ай бұрын
Sonko be blessed man
@HanWah-gf1wt
3 ай бұрын
Mwizi mkubea na mwizi mwenzake wa kuku, tofauti ipi.
@arnaudzouzoua1576
3 күн бұрын
Merci pour votre clémence mais trouvezlui du travail
@collinscotienoh2517
26 күн бұрын
Sonko mtunguyas.Vipindire ulisema hutawai wacha😂
@eddyderrickmail66
2 ай бұрын
Mungu awabariki kwa kumsamehe
@AminaJuma-r4y
2 ай бұрын
Choma 🔥🔥🔥
@solomongichohi4468
2 ай бұрын
Sonko💪💪💪
@VIRGINIAMUBANGA
13 күн бұрын
God bless you
@stanleywaita
2 ай бұрын
So you have done that before?
@stepheneotieno6061
3 ай бұрын
Uko swa sonko kama Kuna kazi mpe baba
@Robinson24560
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mwesh msamehe mungu atakubariki hata mwizi anajua mungu
@nouvamusik3482
3 ай бұрын
Hautawai filisika kwa maisha yako yote sonko kwa moyo ulionao boss.
@Dddma455
3 ай бұрын
Hata mimi nikiwa mwizi nione sonko amefika siwezi tetemeka coz najuwa siwezi chomwa😂😂😂😂😂😂 but wangekuwa hao makatiri wengine pekeao ningejuwa zangu 40 zimetimia😂😂😂😂😂
@fabianbrian8256
3 ай бұрын
Sonko for Prezzo
@fatumaadam4271
3 ай бұрын
Mungu akubariki sonko
@shabankolia8204
2 ай бұрын
Hapo nimekusalute sonkore waaah😭😭
@NancyKaranja-gu1vk
3 ай бұрын
Sonko .god bless you....simama presdent
@emilysawayi5787
3 ай бұрын
Nancy ni God
@Jacklinejohn7
2 ай бұрын
Jamani jamani daah 😢😢
@Danchira_dan
3 ай бұрын
Huyo sonko kweli mbinguni hawezi kosa
@ExcitedChefHat-ef5jt
3 ай бұрын
Sonko wa masonko huuo kijana badilisha maisha yake ubarikiwe kabisaa .
@jobtoo2681
3 ай бұрын
Mpige ngoto kwanza na hizo pete za gold najua ni blessing 😂😂😂
@GjhBjhhj
2 ай бұрын
Siku hizi haifai kumuuwa mwaizikicjapo chale kuwaita wale Wazee wanao lisha nyasi
@AliHaji-w1x
2 ай бұрын
Kwakweli mungu akubariki
@kenmwongela83
3 ай бұрын
Mungu akubariki wewe 💯
@anitarafa
3 ай бұрын
God bless you sonko
@MESSENGERWORLD1978
3 ай бұрын
Mungu akubariki saidi
@MwinyiHamisi-l1h
Ай бұрын
Sonko pea kijana kazi , kwale hkuna job uko
@ed-kd8ht
2 ай бұрын
Inkuwa laxada qarkod lashaqeyan kuwa sooqabtay shaqana qaas ugeeya kanlasoqabtay siawod dherad uhelo aba isasiyo aba uguhagar baxo shaqada eey laqabtaan iyago fursad kuradinaya ciyalo sidaas ookale kadib baburta darawal kanoqden shaqada uwadan lagudaneysta sawiro laga qada habka shaqada eykulajiran isaga kugar yeelan qaarkin inakamid tihin kuwaas ookale
@julietwangithi3117
3 ай бұрын
Mungu alinde vijana wetu.
@juliuschege3890
3 ай бұрын
Ukiwa mikononi ya Sonko uko Sawa Sonko hananga tabia ya kuua
Пікірлер: 227