Asanteni sana kwa kujitolea kuhubiri injili ya kweli wengine waokolewe MUNGU awajalie ushunjaa injili isonge mbele.
@almasrluhagami1497
2 ай бұрын
MUNGU=MWANA=MALAIKA MKUU duh kazi kazini
@AggreyWanyama
2 ай бұрын
Be blessed my brother's
@petermwega3566
2 ай бұрын
Link iko wapi
@ISAALMASIHI9823
2 ай бұрын
Swali: je malaika ana sifa ya kuitwa Mungu? Kama ndiyo kwanini Yesu ametukizwa kuliko malaika wote? Malaika hana sifa ya kuitwa Mungu, Hawa ni wajakazi au askari wa ufalme. Mungu ameumba malaika tofauti tofauti, mikaeli anaitwa mkuu anayesimama mbele ya bwana, swali je Yesu anasimama mbele za bwana? Jibu hapana Tofauti ya Yesu na Malaika Yesu anaweza mtuma malaika wake malaika hawezi Yesu amepewa utukufu na kuitwa Mungu lakini malaika hakuna hata mmoja Yesu anaketi mkono wa kuume wa mungu(kiti cha mamlaka na nguvu) lakini Mikael hawezi hata kusogelea Watumishi mpo vizuri, shida inayowakabili ni udhehebu udhehebu, Mafundisho ya Leo hayana mvuto
Пікірлер: 8