Mwaka 2002, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria ya kupambana na ugaidi likifuata matakwa ya Marekani iliyokuwa imetangaza kile ikiitacho Vita Dhidi ya Ugaidi Ulimwenguni. Tangu hapo, kumejiri matukio mengi yanayohusishwa na utekelezwaji wa sheria hiyo. Sheikh Ponda Issa Ponda anaiangalia miaka hii 22 ya sheria iliyoleta mateso mengi zaidi kuliko manufaa.
- Күн бұрын
Miongo miwili ya Sheria ya Ugaidi Tanzania | Mateso ya Kimyakimya na Sheikh Ponda | EP. 01
- Рет қаралды 2,770
Пікірлер: 26