Mvua kubwa inayozidi kunyesha katika eneo la bonde la ufa imesababisha mipasuko mikubwa ya ardhi katika maeneo tofauti kaunti ya Nakuru. Wanajiolojia wanazidi kufanya utafiti kuhusu mipasuko hiyo inayozua hofu. Na kama anavyotuarify Maryanne Nyambura, wataalamu hao wameonya kuwa mipasuko huenda yakasababisha hatari kwa ujenzi wa ghorofa.
Негізгі бет Mipasuko ya ardhi Nakuru
Пікірлер: 10