Nyumba nzuri sana sema bado miundo mbinu yake siyo mizuri majani mengi uchafu,sasa wanajenga nyumba nzuri Kisha miundo mbinu yake ovyo michafu kwanin msiweke lami sasa huwa hamtembei basi hata nje ya nchi muone wenzenu wanavyofanya wakijenga nyumba za complex kama hivyo au
@RebecaMwakajinga-h1v
21 күн бұрын
Jamani muwe mnajenga hata za million kumi kuinua watu wa chini ili wanufaike kama wanachama
@imanmohamed2215
2 ай бұрын
MashaAllah TabarakkahAllah
@athumaniabdi4122
8 күн бұрын
Nasikia Kuna mikopo ya nyumba toka nssf naomba majibu mwenye kujua
@GubraCity-dm5sx
8 ай бұрын
Njooo uku oman tuongee vzr
@GilbertGombeye
Жыл бұрын
Mimi ambaye ni mwana chama wa n s s f naomba kununua nyumba nifanyeje ilinipate ya kuishi😊
@CharlesLutandula
8 ай бұрын
miminaona mnawanyonyatu wafanyakazi nahela zao mimi ningefurahi kama mchangiaji /mfanyakazi anapostaafu wapewe hizo nyumba ilinaowafaidi mafao yao leohii mfanyakazi anapostaafu wengi hupoteza maisha tokana na msongowa mawazo kutokuwa na makazi wafikirieni kwanza wahusika wanaochangia mpaka mkajenga hizo nyumba wafikirieni
@simbarajabu4157
2 ай бұрын
Mnatuibia pesa zetu ,wanachama mnashindwa hata kuwakopesha viwanja ,mnajilimbikizia mimali nyingi tu
@GilbertGombeye
10 ай бұрын
Nyumba hizo ni kwa ajiri ya matajiri na wakubwa wa serikali tu wanachama wa N s s f hawana chao
@yusufmohamed8874
8 ай бұрын
Ukisikia wazimu ndiyo huu Labda kama walengwa si WATANZANIA wenye nchi yao Baadhi ya nchi kama Afrika kusini wamejenga nyumba kama hizi na kuwapa raia wao bure... Sawa uzeni ila iwe reasonable price kwa mtanzania wa kawaida ili waache kujenga kiholela
Пікірлер: 24