Sisi yanga tunahuru sehemu yoyote kucheza hayo ni maneno yetu daima mbele ilove yanga na inshallah tutashinda 💛💚💚💚💛💚💛💚💛💚💚💚💚💚💚💚💛
@ManfaceFildoline-d9x
4 сағат бұрын
Miraji upo sahii sanaaa ❤❤❤❤
@ashuramhandoashuramhando6798
47 минут бұрын
Anaitwa Miraji mchambuzi wangu pendwa rangi zetu Ishara ya Upendo💚❤️💚❤️💚❤️💚❤️💚❤️💚❤️💚
@majashotwotimes5026
4 сағат бұрын
Miraji ww ni mtu wa mpira sana...big up
@godifreychalesi5394
3 сағат бұрын
Miraji na chagamba muko sahii sana yanga kwenda Zanzibar
@chrispinrafael3831
2 минут бұрын
Apo sawa miraji Leo nimekukubari uwa uko vizuri best
@teketekekinunda1174
10 минут бұрын
Ubaya ubwege yanga bingwa💚💛🖤
@NassirAmeir-c7p
2 сағат бұрын
Na Leo wapo bubwini yanga kabla ya mchezo wao saa 2
@Salumjamhur
3 сағат бұрын
We miraji inamana mechi kuhamishwa zanzibar ndo ulalamike,, wananchi nao wa zanzibar pia wanaitaji burudan tuliaa
@Q_Lax
55 минут бұрын
Miraji sio mnafiki huwa umenyooka
@user-po7md8vx3s
Сағат бұрын
Miraji some time unajichanganya wewe unataka ujue ya yanga ya nini ndio maana mna jipa tabu mno wewe isaidie timu yako sisi tuna jicho la mbali baba,achana na yanga
@HusseinHussein-f7n
2 сағат бұрын
wew mwenyeo miraji nakuambia tena umeingia kwenye mtego maan huwezi kuwasifia nyuma mwiko kwa kucheza na cbe
@HemediRashidi-p4s
2 сағат бұрын
Miraj nakubali sn family chagamb
@kamwagamwanjale1575
5 минут бұрын
Wewe Mr Miraji ni mchambuzi na si hao wengine wanaoibuka kama uyoga kipindi cha nasikia na jua likichomoza hunyaukaq
@SadickKinyata-h8o
16 минут бұрын
Oy miraji ongelea ya timu yako umekazana chagamba chagamba chagamba yanini yote hayo maneno mengi kabla ya mechi subili mechi iishe
@charlesmwita4245
Сағат бұрын
Sema miraji unujua kujenga UONGO unao fariji
@KulijeNovart
9 минут бұрын
Hakuna mashaka yoyote kuhusu uongozi Wala wachezaji, kama ni hivyo mechi zijazo watachezea wapi? Dua Haina nafasi katika hili, Dua ni sehemu ya maisha ya kawaida
@DoreenMlay-e8g
5 минут бұрын
nakuelewa sana chagamba sio hao wanabwabwaja 2 hawajui wanachokifanya
@suleimanmwenyemvua995
30 минут бұрын
Sawa kabisa simba mkifungwa mfungwe tu msitafute visingizio vya uwanjani😅😅😅😅
@TABUATHUMANI
2 сағат бұрын
Miraji we muongo hakuna anayeihujumu yanga!
@KulijeNovart
2 минут бұрын
Kwa hiyo leo Dube akifunga magoli zaidi ya moja, mamluki watakuwa wameisha? Siku hiyo timu nzima haikuwa vizuri, leo utaoma
@YussufNdaa
2 сағат бұрын
Fact kaka wanookubeza waache2
@innosentmolel8057
3 сағат бұрын
Ni kweli wanasimba wote duniani tumwamini huyuu jamaa tuamkeni tutengeneze ubaya ubwela
@perepetuajohn
Сағат бұрын
Huo ni uwoga wao haoo makolooo wanaogopa kufungwa wanahofia sura zao wataziweka wapiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅
@perepetuajohn
Сағат бұрын
Hebu waulize we changamba nakutumia Kwa hao makolooo siku ya YANGA. DAY. Viwanja 2 vilijazwa na naniiii ??? Nasubilia jibu langu we chagamba
@voicdesition897
3 сағат бұрын
Miraji muongo mpila haupo ivo
@JasmineSelemani-c2w
2 сағат бұрын
Miraji wewe huko sawa
@NaahMakwava
Сағат бұрын
Ok
@peterchande957
Сағат бұрын
Miraji unajikanganya vby sana
@jimmymnuano7165
2 сағат бұрын
Miraji acha woga mbona unaingiwa na mchecheto utajidatisha bule
@KulijeNovart
8 минут бұрын
Mimi pia ni mmoja wao nataka Simba wasipite! Wapigwe tu!
@dalmasokoth4190
Сағат бұрын
Miraji kwani imeandikwa wapi kwamba kila mechi za kimataifa za yanga lazima zichezwe Kwa mkapa? Hayo ni mawazo yako na hayana uhalisia kuhusu yanga kupeleka mechi Zanzibar
@ISAACCHAWE
3 сағат бұрын
Hayo unayosema sio kweli Yanga walitaka kupeleka mechi kabla hata Mashindano hayajaanza kukazushwa kiwanja kimefungiwa na caf.
@MariaMnthax
18 минут бұрын
Nikweri ila watu waongeya uongo
@godfreyselomba9378
4 сағат бұрын
Miraji unatoa maelezo yamenyooka sana Ila nina code za ubaya ubwela yani ni ubaya ubwela kweli kweli.
@HusseinHussein-f7n
3 сағат бұрын
yani wameona uwanja wa mkapa hawatoweza kujaza uwanja kutokana na mechi yao
@SaidIssa-tq3yv
2 сағат бұрын
Wapi bumbwini giningi kuu wanatengeneza mambo yawe mazuri.
@husseinmgalula5864
2 сағат бұрын
Bro unaakili nyingi sana
@wamburanyarugezi9075
2 сағат бұрын
Kiukwel mpira wabongo Yan Kuna watu wakiongea hapo niwapinzan wanaongea facts sana Ila wasiojua mpira wanaachama2 big up miraji
@Salumjamhur
3 сағат бұрын
Siri iliyopo ni kwenda kumtambulisha fesal zanzibar
@NellyKaguli
Сағат бұрын
11:08 11:08
@DonaldBatez
3 сағат бұрын
Miraji ajui kitu chochote uyo
@AmanaHassan-cy4fi
2 сағат бұрын
Unayejua kitu basi upewe maikii walau sekunde 47 kama unamudu kuwamalizia Watu MB zaoo..
@HusseinHussein-f7n
3 сағат бұрын
Miraji wew mwenyew umeingizwa kwenye mtego na umejaa maan hakuna intaviyuu uliyofanya ikawa usiwazungumzie yanga wao umewaon lini wakiizungumzia timu yako wao wenyew wameshindwa kuizungumzia timu yao
@emmanuelmacha7138
2 сағат бұрын
Miraji ni mchambuzi zoo mbaguzi la nyeupe husema la nyeusi pia husema
@HusseinHussein-f7n
2 сағат бұрын
@@emmanuelmacha7138 humsikilizi vzr kama unatak kujuwa kama hata yeye anaingia kwenye mtego rudi nyuma kaskilize intaviyuu aliyofanya baad ya yanga kusema kuwa kagoma ni mchezaji wao mtazame alivyokuwa na mihemko alisema hatowaamini viongozi wa simba hatimae kagoma yule pale anacheza simba halafu ukisema ni mchambuzi kwani awo wachambuzi hawaingii kwenye mtego Tanzania kuna wachambuzi kuna wapiga debe
Пікірлер: 48