Naitwa chado natoka geto napenda ugovi Safi sana tem chado Like nyigi kwa chado❤❤
@hbjasho436
Ай бұрын
Acha makopa kopa Kwa mtoto wa kiume mbaya uta uponza😮
@hbjasho436
Ай бұрын
Acha makopa kopa Kwa mtoto wa kiume wew uta uponza
@herimornchriston6083
22 күн бұрын
@@hbjasho436 hahhahaha !!!! usipende kufikilia hasi !!!!
@Rurdinisultani
4 күн бұрын
😅😅😅😅❤❤❤❤
@TumaMwinyi-sk6dw
3 ай бұрын
Aliefurah kumuona Baga gonga like apa🤗🤗
@allybin08
3 ай бұрын
Hii kitu ndio kwanza imeanza but najikuta nimeipenda imenipa hisia kali sana😊😊 CHADO 🙌🙌🙌
@royamani
2 ай бұрын
Bangii zote zimeishaa mwananguu😅😅😅😅😅chadoo master na enjoy Sanaa movie zako Mzee babaa all the way from+254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 the OGs
@ChuxDaniel
3 ай бұрын
Baga noma sana kaka nakukubali Toka way back broo unatisha sana
@NasseebRamadhani
3 ай бұрын
Baga mtemi unajua kaka adi unajua tena pamoja na kaka chado
@GetrudaMbilinyi
3 ай бұрын
Nakukubali san chado ila mbona gozi simuoni muuni mwenxio umemwacha wap,naipenda san cup yenu,alf tena apo umemleta baga umetisha sanaaaaaa,muongeze kitale apo kati ase utatisha zaid brooooo
@HamadMwagoani
3 ай бұрын
Unyama chado huo ombi langu kwako tafadhali fanya kazi na kitale
@sharifahemed6328
3 ай бұрын
Ili iweje
@RizikiZiki
3 ай бұрын
Wacaweee mission impossible nini 😂😂😂chado non bague yani 🎉🎉🎉🎉🎉haya twende kazi ❤❤❤
@ReshimaAbdalla
3 ай бұрын
Hongera chado Nimependa story ❤
@AgnesyMakongo
3 ай бұрын
Kazi zako si haba kwa kweli ni nzuri sana na unafundisha 💪💪 Mungu akutie nguvu zaidi
@Elusha-x6o
7 күн бұрын
Jamani uu wimbo unaitwaje me naupenda
@SIMONIUMSIMON
Ай бұрын
Bado usichana wake ako nao, 😅 Kenya 🇰🇪 likes zenu team chado😊
@Maarifasnr-gu6dp
3 ай бұрын
From Mongolia am watching the show
@prezgal8869
3 ай бұрын
Baga bwana😂😂😂eti mgeni nani,mgeni komba au😂😂😂😂😂😂
@Salmakikuli
3 ай бұрын
Kazi nzuri chado miezi 30😂😂
@mohammedhassan-o9s
3 ай бұрын
Fundiiii😅😅😅❤ ipo gud than imkuwa powa kumuona baga mtemi ndan.
@MzeeRaca
2 ай бұрын
Safi sana chado kazi nzuri💯
@kayandamkali4086
3 ай бұрын
Masela na mungu bonge Moja la move
@HaroonAhmed-y7y
2 ай бұрын
Chado masta movie iko fresh sana
@EurickMwangunda-wb9wo
2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥✌️✌️✌️✌️
@ImaniIbrahim-rt2js
3 ай бұрын
Oyq mwanang chado umeupiga mwingi ❤❤❤❤
@AhmedMohamed-mw3ev
3 ай бұрын
Chado baga hii hatari sana baga ee yukowapi mwanao lukey mrejeshe munauwa sana
@rogynee8135
3 ай бұрын
BAGA nakukubali ❤
@LamaMandenga
3 ай бұрын
Chado Pinga kazi nakukbari sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@MashimangoAbediOlivier
3 ай бұрын
Naipenda iyi niko Congo njo ku nyumba 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@FridaLwambano
12 күн бұрын
Hongera sana
@JordanJohnson-ni7iw
3 ай бұрын
Nakubali man chado
@lulubize2919
3 ай бұрын
Konki master baga mkumbaye ozaaaa
@OfficialBawa-yn3zn
2 ай бұрын
Dah mwamba Baga amerudi mzee wa izi kazii,,,,,Acha kina nagwa waone moto ,,,,,,mwamba karudi💪💪💪
@MwanashaRashid-i9y
18 күн бұрын
Lete episode 40 mm nagalia sana2 ela hyo cheusi mbea kweli😅😅😅😅😅😅😅
@ImmanuelAidan
3 ай бұрын
Wakenya mnatafuta nn huku si muende kwenye maandamano😂😂😂😂😂
@SaidMwashambi
3 ай бұрын
Wakenya ndio kiboko ya Dunia unajua mwanzo Africa hakuna kama kenya,tunajua haki zetu nyie wengi munakua kimya mukigandamizwa tu😂😂😂😅😅😅
@MrAslan47
2 ай бұрын
Kenya tuk kipindi kipaya but mission impossible go provide some relieve 🎉🎉
@AugustinhoManyangaunitedboetz3
2 ай бұрын
@@SaidMwashambisisi atugandamizwi ban alafu sisi atupendi maugomvi coz Kuna watoto wadogo wanakufa bila hatia kisa kufanya mambo yasiyokuwa na msingi ili kumaliza matatizo yenu inatakiwa itumike busara na sio nguvu ndugu zetu Kuna watoto wanaowategemea
@christopherotieno4866
2 ай бұрын
We nae umezidi hata kama lazima tuwapongeze wnzetu wa-TZ.
@tusmokinana3836
Ай бұрын
We unataka tukusalimie
@RukxainaSulyimani
Ай бұрын
Jamn aka kawimbo kanaitwaje mana nakapenda🥰 hatari
Sijachelewa sana Lakini mwamba chado namkubali sana... halafu huwa haniangushi kwa anavyoqchiya kazi zake haraka haraka isei mungu akuzidishiye man😊
@ShamsaGao-nn1ge
3 ай бұрын
Oya hii movie kubababakeeeeee😂😂😂😂😂
@aineaelias8430
3 ай бұрын
Hiii kubwa Sana Kaka mkubwa hii italeta mapinduzi wakubwa wako lazima wakuchukie❤❤❤
@Bisativa
3 ай бұрын
Naitwa chado natoka ghetto napenda maugomvi eeeehh😅😅ugomvi wa visu eeeehh😅😅nakupenda chado❤❤❤
@AminaMwanamgunda
Ай бұрын
Nimeipenda sana hii😂😂😂😂😂😊
@JamaliNdwata
3 ай бұрын
Chado hapo imeniletea vichaa tupu nakubali sana
@fahmyisco2912
3 ай бұрын
Baga ttzo lko unajisahau sna huyo demu unamuitaje askari wko😂😂😂
@Jacklinejohn7
3 ай бұрын
Kudadeki ngoma tamu mpaka tamu tena toeni ingine chap chap😂😂😂
@MohaYusuf-c7r
3 ай бұрын
Hii Kali uku Baga uku Chado salute Chado masta mind👊
@OmarAssira
3 ай бұрын
Nafurai kumuona maga 😂😂😂😂❤❤
@salmamohammed8416
Ай бұрын
Chado usimtese mwenzio😂😂😂😂 sema umeuwa hili movie tam sana👊👊👊😎
@Aminamwero
12 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@ArafaAmirAmir-ci7ld
3 ай бұрын
Oya Dady chado Unyama sanaa❤❤❤❤
@freddywizzyTz255
3 ай бұрын
Nice chado na dady mmefanya poaw sana
@RazakMsonde
Ай бұрын
👍👍👍
@ClaireGeorge-iw8xi
3 ай бұрын
Chado master plz I requested for the problem song I wanna download it
@FarajiJackson
3 ай бұрын
Sawa sawa chado naqbar ngoja tuione ii kz
@Bugana414
3 ай бұрын
Ng'adu kwa ng,adu ...yani mlipo nami nipo🔥🔥🔥🔥💯,..shabiki 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@alhimnamussasaid3619
3 ай бұрын
Bangi zote zimerukaaaa 😂😂😂
@FUMBAMTIMA
6 күн бұрын
Nice
@IssaNassir-tv6lh
2 ай бұрын
Wahuni tunajua love
@Rl_rapha_love.2004
3 ай бұрын
Ila usili kiboga kwanza tulia adi amalize shulle 😂😂😂😂😂
@AgathaCostantino
3 ай бұрын
❤❤❤ Jamani nawapenda mnatukosha
@clalencemtewa7425
3 ай бұрын
Chado nataka mje muhekti picha la kundi chado na kundi baga nataka nione mkono wa kufa mtu nani atakua zaidi
@charlesboki1825
3 ай бұрын
Chado akiwa mhuni ndio huaga yabamba
@BahatiHaji-b8v
17 күн бұрын
❤❤❤
@Ujumbewadini
3 ай бұрын
Chada Huyo jamaa ulomuweka kama muhuni fulani anaevaa madude masikioni mwambie kwenye movie zako atowe hayo madude mtu unaweza kuekti uhuni bila ya kutia hayo madude....
@hbjasho436
Ай бұрын
Ayo ndo unyama sasa
@paschalgibe1471
2 ай бұрын
🔥
@ShambaniB
3 ай бұрын
Chado master gee like nyingi hapa kwa chado master gee
@taddynick6013
3 ай бұрын
Safi man Chado
@SabitiMwishaa
3 ай бұрын
vp mzigoo unaendelea au michezo
@cyprianyinnocenty2002
3 ай бұрын
Fr0m tikt0k t0 here Here We g0 😂😂
@MercyWafula-x1x
3 ай бұрын
🔥🔥
@DayanerFidelis
13 күн бұрын
Pamoja chado masta,🥰
@KambaleMbangale
3 ай бұрын
Mnatisha kinyama ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@Stogwa
3 ай бұрын
Wa kwanza Léo nipeni ata tano from Moçambique
@MussaNey-mt5jc
3 ай бұрын
Hi muvie nme ikubali mastar wote masel wamo😊
@Tiffahtarick-x5b
3 ай бұрын
Oya Chado eeeh Nime ikubali hiyo move sasa una onaje nikupe mtt mfundishe makaxi hapo
Пікірлер: 420