Napenda kukupongeza chado kwa kuwapa nafasi wasanii wadogo kufanya kazi pamoja na wa katika movie hii endelea kufanya hivyo mungu atakubariki 🎉 like kwa chado master
@sharifamohd3857
18 күн бұрын
wapi hao wasaniii wadogo😅😅😅😅
@user-wc4di9yt4u
8 күн бұрын
@@sharifamohd3857Kwan hujaona huyo kijana mdogo
@NasraKingazi
18 күн бұрын
Kama unampenda chado like hapa
@ButoyiRukiya
18 күн бұрын
Nampenda chado yuko vizuri 😅 yani sijacelewa kabisa
@user-zu8yr7mh4h
18 күн бұрын
Like kwajili ya chado master mnyama nipeni kidogo naombeni tafadhali
@indexchitanda4477
18 күн бұрын
Safi sana tem chado Like nyigi kwa tem chado ❤❤❤❤
@munenephineas
18 күн бұрын
Ww mwanaume hacha kulilia mwanaume
@ChuxDaniel
18 күн бұрын
Sema jamani tuwe wakweli hii movie nikubwa kuliko Yani atali atali chado unajua sana sna sna kaka
@aminabad-i4k
9 күн бұрын
Chado mwamba asiemuerewa chado huyo hovyoo
@jayvannyclassic191
18 күн бұрын
Leo na mm mnipee likes zangu, more love from 254
@MkasyswallehsaidSwalleh
18 күн бұрын
Kisong cha mahaba nacho kitamu cjui ntakipatapi .Pole kaka gadaya,l feel your pain 😢
Chado master nakukubali sana pamoja na Baga❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉
@Bestudio-2
17 күн бұрын
Safi sana kuna sound moja matata sana bravoo
@dulliebullieentertainment809
18 күн бұрын
Chado Jina la nyimbo jameni
@mikesancho3095
17 күн бұрын
Chine-aniue
@user-jg1no4uw1t
18 күн бұрын
Unahendeleya vizuri sana MTU wangu chado master
@BarakaAbedi-ne7pi
18 күн бұрын
Wa kwanza Leo kaz mzuli bro 🎉🎉
@ChuxDaniel
18 күн бұрын
dahh mwanangu Baga ndo atutakuwanae Tena au😢😢😢😢
@Thuma_junior
18 күн бұрын
Yani chado sijui nimsifu nani nyote muko talented mwanzo hao waproblem 🤣🤣🤣👌👌👌👌👌👌humu tu humu tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰bagaaaaah
@Mariootz-fl9vc
18 күн бұрын
Nice blo
@AminaShaban-h9r
18 күн бұрын
Wakwanza Leo nipeni like hata 10 jamani
@mariamumdoe1466
18 күн бұрын
Chado msalimie sana ngadaya kazi nzur ❤
@FarajiJackson
18 күн бұрын
Sana sana boy naqbar chado❤❤❤❤
@HappyCompass-vh4vq
18 күн бұрын
Nilikua sipendi bongo movie lakini hii nimeikubali❤❤❤
@user-eu5xt1vb6f
18 күн бұрын
Niko tu in love na huwo wimbo😢
@luckylucky7153
18 күн бұрын
Nampenda sana chado so hand some boy
@SebastiaoRomaoJose
14 күн бұрын
Ongeza dakika chado! Nakubali sana mwamba... Mimi chabiki kutoka mozambique🇲🇿
@DaudiEmanuel-yv3jt
18 күн бұрын
Naombeni like ata kumi tuu
@samirydedagi9583
18 күн бұрын
Wakwanza mm like zenu
@AhmedAhmed-gf1rd
18 күн бұрын
Good
@fatumajuma9388
18 күн бұрын
Hiki chawashwa kwl km kkake anavyo sema😂😂😂Much love from 🇰🇪🇰🇪 Chado❤
@user-kk5hv8rf7n
13 күн бұрын
Daaaah! Mnatisha sana kaka haswa kaka ake kindege upepo😂😂
@SophieMakaranga
18 күн бұрын
hiko kitoto kitafutien nguo nzurii zashule maan hzo hazifai jmn duh..yaan zinamuharibikia niushaur tu jmn ....ila mnafany kazi nzuri sanaaa❤🎉
@Realme-xm3sh
18 күн бұрын
Au avishwe na juba yan hijab ndoyaendan na sket ndetu viatu pia abadilishiwe avae visimpo black iyo itapendeza na shat ya mikon mirefu
@Kidoaaisha
17 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka sana@@Realme-xm3sh
@aishaomar2287
18 күн бұрын
Ngadaya ulipigwa changa la macho! Ati kaka kumbe wanakakana😂😂😂...wafanyie zile za kwenye problem wakuheshimu hao 😊
@hutahuta1170
18 күн бұрын
Chadu lupango ngome 😂😂😂 nakupenda chado
@ArafaAmirAmir-ci7ld
18 күн бұрын
Jumba Bovuuu😂😂😂
@omarkioko3602
12 күн бұрын
Kazi safi Mr chado 👍👍👍💪💪💯✔️🙏🙏🙏🇰🇪
@VillaviaChemutai-if2ry
18 күн бұрын
Chado nakupenda pia ....utapata barua kutoka kenya
@user-mk3zl3yr3m
18 күн бұрын
Chado umetisha
@erickymalato8840
16 күн бұрын
😂😂nkimuona ngadaya tu namuona kama ni msukule kama problem 😂 akili funguka katika jina la yesu
@Maarifasnr-gu6dp
18 күн бұрын
Kwa ninavyoijua nchi yenu ya tz icho kipensi na iyo kofia vitakuletea matatizo chado masta ni ushauri tu from Mongolia am watching the show
@aishaomar2287
18 күн бұрын
Hua hawaruhusu?😮
@Maarifasnr-gu6dp
18 күн бұрын
@@aishaomar2287 yeah hawataki raia wavae kitu kinachofanana na chao ila huko kwenu tu tz huku Mongolia unavaa tu t-shirts trouser kofia mkanda buti boxa ila uko kwenu ni issue
Kila mchuma majanga hula na nani jamani ?,nmeuliza naitaji majibu...
@user-uc6xe7ht4k
18 күн бұрын
Hula nawakwao
@HaroonAhmed-y7y
18 күн бұрын
Madonga naikubali sana mshikaji wangu
@rehemakatundu7027
18 күн бұрын
Ila uyu binti anakiranga sana
@MarKarim-km2yh
18 күн бұрын
😂😂😂Baga million 10 na bikra unachagua bikra MBONA LEO police na bikra umechagua police 😂😂😂😂😂
@KiduBoyJr.
9 күн бұрын
😂😂
@user-hd4rg6en7m
9 күн бұрын
From DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 i love you so much chado
@jospinludunge
18 күн бұрын
Nzuri sana
@TangaMashewa-qe8kk
18 күн бұрын
wote wanaoomba like wakat hawahusiki wote wanawekwa
@mabulasimoni1425
13 күн бұрын
Anqjua sana chado
@user-cb1xx5bl5m
18 күн бұрын
Alafu naweeee najma achakuwatiaaa wenzako kwenye matatizo
@maimunarajab6826
18 күн бұрын
Hichi kitoto jaman daaah Ila ni funzo kwa serikali hvi vijitoto vyengine visumbufu sana vinajitakia vyenyewe kubakwa mbora wafungwe woote jela ndio vitapungua kushobokea wanaume
@SarahRichard-iv2dl
18 күн бұрын
😢😢😢 jamani sisi pia tuna haki ya kupenda
@maimunarajab6826
17 күн бұрын
@@SarahRichard-iv2dl ttzo kupenda kwenu ni mattzo kwa wenzen
@KaroliMagana
7 күн бұрын
😂😂😂hapo kwa Binti kuhusu kusoma ndo bac tena
@user-gc4py7zt8t
17 күн бұрын
Movie Iko poa sana but nataka jina wimbo
@user-ii1ym5fe7j
18 күн бұрын
Kaz nzur 🎉🎉🎉
@JamilaRajabu-g8y
14 күн бұрын
Mmeua hiii move❤❤❤ yan atalii
@alibakar5815
18 күн бұрын
Haya sasa
@EurickMwangunda-wb9wo
12 күн бұрын
Baga umeyakanyaga😅😅
@NeemaMfangavoo
15 күн бұрын
Ila kaka kabinti😅😅😅😅 kananipa raha sanaaa😅😅😅
@rizikisam6481
18 күн бұрын
😂😂😂😂 ila huyu mwamba mm nnampendaga eti ni shoga angu
@HawaShamte
9 сағат бұрын
Jamn wanawake tutuzeh silih za waume zetu jamn
@GmoneyKanuti
16 күн бұрын
Ngadaya anasauti nzuriii
@youngpozzey7135
14 күн бұрын
kaka jini unalizwa kisa mapenzi, si roga tu huyo jamaa kitu kisisimame
@rogynee8135
18 күн бұрын
Hii nyimbo ameimba huyo msichana nayempenda chado
@EmmyMo
17 күн бұрын
Ngadawa umeua mwamba😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@HBOYLAVA
17 күн бұрын
CHADO MASTER LIKE KWAKE💯
@IbrahJumbe
17 күн бұрын
Woow amazing unaandik n mkon w shot bibie napend san
@user-vu6wk7bt5y
18 күн бұрын
Nice brother chado❤
@dadyKendrick-tx5ds
18 күн бұрын
tilatulatilala tulia mtot wa samia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@MtiliCharles
9 күн бұрын
🎉kaz nzur❤
@RommyChaulla
18 күн бұрын
Bagaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa we mbwa hujawah kuharibu
@AsumaniSikitu
18 күн бұрын
Uo mzki kaimba nani
@user-fj9lh6fn6r
18 күн бұрын
😅😅😅 kidemu kinatka kuwapa msala waun😅😅
@user-qq4zr3sk2g
18 күн бұрын
Cheusi mwanangu 😂😂😂
@AdamZainab-mb7qj
18 күн бұрын
Ajifany apenda kutoa bikra ay sas kimemkuta 😅 anaependa kutoa bikra comment hap
@nasrinahirwete8111
18 күн бұрын
Kindege upepo 😅😅😅😅😂😂
@user-rj8zh8ok7q
17 күн бұрын
Msela so mtu
@user-ih6ky8qf1h
13 күн бұрын
Aka kawimbo kaz😊uri
@AbelFrancis-ww7cb
18 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂mukichoka kitandani munahamia kwenye kochi
@roggerssimon122
18 күн бұрын
Mm nmemfata mbabe baga namkubali sana af ile ile haipingwi 😂😂😂😂😂😂
@ShukuluNyundo
18 күн бұрын
❤nakukubari
@ShadrackMgala-k7h
18 күн бұрын
Dah sio poah movie ni kali sana
@ZaitunsuleimanZani
18 күн бұрын
Daah nimekubuka mbali yani mm mwenyewe nilimfunga 🥺
@salamaslaim6678
18 күн бұрын
Kaz mzuli sana love
@RajabKhamis-il5to
18 күн бұрын
Das ist gut movie
@Realme-xm3sh
18 күн бұрын
Muendelezo jmn dk mnafany chache sn tunawaomba bas muwe mnatup vipand angalau vi2 dabo au tuongezen dk ombi lkn🙏🙏
Пікірлер: 246