Tunashkuru sana clam vevo kwa kutuletea tena movie nyingine ila tunaomba tu uwe unawahisha mwendelezo kama unakubali ushauri WANGU Kwa Clam naomba like yako hap jmn
@mbagee
6 ай бұрын
mwambie aache usenge na kujifanya wanaongea kingereza
@user-fs7xc2bb5d
6 ай бұрын
@@mbagee😂😂😂😂 aweke na tafsir au sio
@Agyy628
6 ай бұрын
@@mbageeElewa neno MISTAKE😂😂😂😂😂
@Lulvercameleonkemba
6 ай бұрын
Wakibaki na uswahili mwingi hatofika kimataifa ndo mana anafanya ivo tuelewe kuwa saizi dunia inashikwa na english ila ata ivo situmelewa movie au sio
@damasmayanja2930
6 ай бұрын
Mwakatobe this time kaja kivingine❤
@gersonissa9124
6 ай бұрын
Wa kwanza Mimi APA toka congo 🇨🇩 nipe like zangu 😂🎉🎉
@malkiawavijiji4652
6 ай бұрын
Ya karia koo si et ee
@cheyagidereu1606
6 ай бұрын
Ujaangalia una koment tu
@deborahmidiburo3541
6 ай бұрын
Ndugu yangu wewe🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@Ammarloliso
6 ай бұрын
Huna baya
@deborahmidiburo3541
6 ай бұрын
Umejitahidi data ya congo 🇨🇩 sio raisi kuwa wa kwanza
@razesdragon
2 ай бұрын
Leo 23/05/2024 kama umerudi tena kutizama iyi movie MISTAKE gonga like 👊🇨🇩🇨🇩🎉
@batridapaul92
6 ай бұрын
Mwakatobe ndani ya nyumba😅😅😅
@ConfusedBreakingWaves-rx4to
6 ай бұрын
Nyingine Kali sana Clam vevo wakenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 mupo mumeikubali ngonga like tukisonga
@judithpendo9985
6 ай бұрын
Hii nayo lazma tuende nayo adi kikomo 😂team strong hoyeeeeeeeeee mko wapi jmn😂km wapenda clam VEVO 🇸🇦🇰🇪 like apa please ♥️♥️♥️
@leezbeth6082
6 ай бұрын
Hoiyeee sisi ndo tuko au sio 🇰🇪🇸🇦
@rosemsafiri7568
6 ай бұрын
😅tuko hapa🇹🇿🇦🇪
@user-db9qi3io8z
6 ай бұрын
Tupo tupo time furusi
@rizikladyherson8451
6 ай бұрын
Tupooo
@user-pu3sw5hq8f
Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@user-gc2rd8ln3v
6 ай бұрын
Waooooh Gumbo nmefurahi sana kukuona ntaenda kumwambia Recho kwamba umekimbilia huku kumbe 😂😂😅😅🤣🤣
@FredyKasuga
6 ай бұрын
Kazi nzuri sana lakn naomb kingereza kinyóoke basi watu wamekosea sanaa humuu daah
@rizikladyherson8451
6 ай бұрын
SWADAKTA wasitumie kizungu etiiee
@jacklineminja-fg9ji
6 ай бұрын
Kwa kweli mapokezi hii movie sio madogo na mm naipokea kwa mikono miwil nipeni like zangu
@dmblackfilmz
6 ай бұрын
bado tunasubiri BIB BOSS season2 kwanza ongeya kwa kazi kubwa ulifanya ya SNACK BOY
@user-jn1zp9fd7l
6 ай бұрын
Duuh nyie mbn mnaniwahi Kila ikitok naomben namm like zenu🎉🎉🎉
@user-qs2qn6ff7t
6 ай бұрын
Clam katunukiwa na mtoto nzuri so mchezi😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@alexnyamache690
6 ай бұрын
Welcome back clam vevo ❤like za Qatar 🇶🇦 siko wapi
@user-qr2nh4uf8u
6 ай бұрын
Clam vevo ni number one kwa sasa akuna mpinzani mimi ni mu congomani nikiwa south Africa i love u clam
@user-lm1tr4el2e
6 ай бұрын
Series ni nzuli sana lakini tunaitaji mwendelezo uwe haraka-haraka. Much love❤❤ Clam Vevo Group from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@PatronizerTz
5 ай бұрын
Big up Sana hakika Sanaa unaiweza
@BebecheriLadyswineipupa
6 ай бұрын
Haaaa iyi inakuja vibaya Tena! Inaonekana itashinda snake Boy Wallah 😂😂munatuacha na hamu wajameni🇨🇩🇨🇩🇨🇩tunapenda movie zako sana courage vraimant Mon frère clam Vevo
@giveninyagawa2784
6 ай бұрын
Mwakatobe jambazi this time so funny 😂😂kazi nzurii clam vevo
@NewtonKe-kx2ul
6 ай бұрын
From Kenya kuna mapokelezi si haba... Salute 🫡🫡 CLAM
@erickkiptoo5254
6 ай бұрын
Yooo😂😂 nilithani "si haba "nikusema chache
@NewtonKe-kx2ul
6 ай бұрын
@@erickkiptoo5254 😂
@AmisiWisongata
6 ай бұрын
AMISI
@ryankoech
6 ай бұрын
@@erickkiptoo5254😂😂
@Maleaz-go8jv
6 ай бұрын
Nimemuona kipara kwenye ubora wake 😂😂
@charlesmillinga992
6 ай бұрын
Kazi juu ya kazi kakangu. Big up kwa Director bora kwa sasa.
@princekillian3640
6 ай бұрын
wakwanza from kenya much love 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥
@francisnjorogewanjirugitao3575
6 ай бұрын
Nipitie kwangu usubscribe na ubarikiwe Sana
@princekillian3640
6 ай бұрын
@@francisnjorogewanjirugitao3575 🤛🤛
@Bébé-undi
6 ай бұрын
One love kutoka Burundi 🇧🇮 tunayipenda hiyo🎉🎉
@anesansibert2968
6 ай бұрын
Mwakatobe kama mwakatobe awamu hii n mwiziiii😂😂
@user-qc5kq2zm2b
6 ай бұрын
Kama unamkubali CLAM VEVO kama mimi naomba like yako hapo jamani
@francismuthiani349
6 ай бұрын
Kenya one .. one love from Kenya 🇰🇪
@geffdepoet5974
6 ай бұрын
FINALLY MWAKATOBE WITH ANOTHER CHARACTER
@PetronillahChizi-sk5fr
6 ай бұрын
Kumbe umeona😂😂😂😂
@halimajuma6157
6 ай бұрын
😅😅😅😅
@lilwiz_07
6 ай бұрын
Zee na msuli wake
@user-mb7oe3pg3y
6 ай бұрын
Ila urogi hajaacha😅😅😅
@prettymasha2430
6 ай бұрын
Big Boss parts 2 lini
@LatifaSaid-lm8cl
6 ай бұрын
Sawa lkn apo mwisho umetuongopea kwaiyo ata ku epa umeshindwa aahhhaa sio kweli
@user-yk8ro8tj5r
6 ай бұрын
Mwakatobe ajawai kuwa series kabisa na kipala chake😀😀😀😀😀
@SOS_VILLA
6 ай бұрын
This guy is taking bongo movie to the next level 🔥🔥
@neemaghafla
6 ай бұрын
Aisee..unastahili maua yko🎉🎉...i ki2 🔥🔥🔥
@benimanzekele9075
6 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉yes you are right 👍
@novicetz_
6 ай бұрын
This is not Bongo movie bro That was for kanumbas generation Bongo Movie will never come back either the return of the late STEVIN CHARLES KANUMBA
@Thekasukusfam
6 ай бұрын
Kenya 🇰🇪 tuko ndani!! Mistake yenyewe❤❤
@MudjumureSekamuke
6 ай бұрын
Clam unatisha sana excellent vraiment movie yako 🇨🇩 Congo tunaifata kwa hamu
@MkasyswallehsaidSwalleh
6 ай бұрын
Hongereni team clamvevo ...ila mwakatobe na kipala wanna man wnazingua😂😂😂😂 🤣🤣🤣
@symochanji6896
6 ай бұрын
Much love from Kenya ❤❤
@Datenya254
6 ай бұрын
Najua ni vyema kujaribu mambo mapya nyakati zingine,ila naomba tuwache iyo kizungu twendelee tu na kiswahili chetu...Series ni kali sana..production na storyline pia iko juu sana.Nimeikubali.Bravo Clam Vevo.
@EtienneBalola-sn9xk
6 ай бұрын
Twendeleee Na kishwahili chetu Kabisa
@NajmaHassan792
6 ай бұрын
Usinichekeshe mie nacheka kma fala😂😂😂Ila movie ipo swa
@mabwetebrown5432
6 ай бұрын
Acheni lugha itumike ili movie zisonge mbele
@didahsalim6521
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@patrickphiri9784
6 ай бұрын
Kizungu kinafanya watu wengi watazame hii mov ata wazungu
@AbasiRegina
6 ай бұрын
wewe ninoma kaka clam cris mungu akupe uwezo na nguvu zakufanya kazi nzuri
@saidially5892
6 ай бұрын
kutoka kwenye uchawi/uganga hadi ujambazi . mwakatobe wamekuonea 😂😂😂😂😂
@sitybby0069
6 ай бұрын
Asante san bro kwa mpya hii ulio tuletea tumeipokea❤❤ kutoka kenya apa❤❤❤😊
@soudybaroog2753
6 ай бұрын
Movie 🍿 Kali sema kingereza Cha umu Cha mchongo kakoso na yule jambazi mpola pesa sijawaelewa acheni kubahatisha
@andrewkilave3532
6 ай бұрын
Hawa ni comedy wameamua kufanya hivyo ili tucheke tu na tuitilie maanani
@rukiaathman7811
6 ай бұрын
Hivi mmemuona sinaga tabia za umbea umbea😂😂😂😂🔥🔥💯
@charlesmillinga992
6 ай бұрын
Aisee director kazi bora kabisa. Nimependa reactions na emotions aiseee. Very mucj interesting jamani. Kanumba is back niaminini maneno yangu. Clam Vevo is the real one.❤
@Kamoste
6 ай бұрын
Nimefurahi kumuona gumbo kwa clam kwa mara ya kwanza na bwana Amka....clam niliwaambia habahatishi akipika kitu amepiga hongera sana❤❤natumai nitamuona director gozi na shadow hapa ndani pia doko pia hii series yamfaaa...❤❤much love from kenya japo kuwa nimechelewa 😅😅pend sana hiii wale wangu wakenya 🇰🇪🇰🇪kilifi kikambala mtwapa majengo.vipingo tujuane kwanlikes❤
@user-it7cr5lb9u
6 ай бұрын
😂😂doko😂nakipara chake😅
@isayasilvester7276
6 ай бұрын
Gumbo mbona kweny big boss yupo amecheza sio Mara ya kwanza kuwa na clam
@Kamoste
6 ай бұрын
@@isayasilvester7276 aaaah kweli umenikumbusha ila hapa amekuwa main character ♥️ nampa maua yake
@Kamoste
6 ай бұрын
@@user-it7cr5lb9u nakwambia single huku kwa majambazi..doko ninavyo mjua kwa ukali wake ...Atapiga vizuri sana...Gozi nae apewe yake duuuu aisee series tamu sana
@Almas92mwarabu01
6 ай бұрын
@kamoste kaka yaani Kama ulikuwa mawazoni mwangu kwakile unacho kisema
@user-oj6cz8to5i
6 ай бұрын
Clam vevo nakubali mwanang umenifanye niaze kuipenda bongo movie tena
@EsterCosmas-ff8pb
6 ай бұрын
Jamani hata cjui niseme nn mm napenda sana moves zako clam ❤❤❤❤❤❤❤
@user-bf4rn2gx1v
6 ай бұрын
Klam ni mm hamisi nyalinga kutokeakigoma kagongo yamigazin kiufup mm apa nakukubalisanakaka unafanya mambo mazur mungu akubalikisana❤
@Spagles
6 ай бұрын
PENGO LA KANUMBA SASA TARATIBU TUNALIZIBA SAFI SANA CLAM V💪🏹
@user-dn9zk1gi6c
6 ай бұрын
Pongezi my brother💪💪 much love from Mombasa Kenya
@mosesashikoye3288
6 ай бұрын
Always ready to support our Neighbour Tz. Well done Clam. Much love from Kenya 🇰🇪
@nickluca1512
6 ай бұрын
Huyu jamaa aliyempokeaa clam...anajua kuigiza sana 🙏🙌🙌🙌🙌👏👏
@justblackcode
6 ай бұрын
This Clevo type of a guy...napenda sana filamu zako❤💙💚💛
@gabrielmnangala7822
6 ай бұрын
Clam ni next level mwakatobe hd nimempotea
@user-hd4br5op3s
6 ай бұрын
Clam unajuwa sana tatizo dakika ni chache fanya hata 25 basi aaah ila mwamba unajuw sana you're looking like invisible man ❤
@richardbizera2225
6 ай бұрын
Jamani anayeona style ya kipara na mwakatobe aweke likes 🎉🎉❤apo
@coastboy8570
6 ай бұрын
Kiswahili kitukuzwe😂😂😂😂 love kwa sana kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-Andrleayohana
6 ай бұрын
Jaman me ni wa mwisho so naomba mnipe like zang 🎉🎉🎉🎉
@abuuhamda6213
6 ай бұрын
Clam never disappoint us 🎉
@susanaseyonyundo9689
6 ай бұрын
Exactly 😂😂😂
@jaymapepefatma5936
6 ай бұрын
Together we can 🤝💪❤️ this is love from Moçambique 🇲🇿🇲🇿
@kateshkalimbo
6 ай бұрын
Umechukua namba ya kwanza bongo moves mm from kenya
@priscakimburi-sl9ml
6 ай бұрын
Much love ❤️ from Kenya 🇰🇪 🎉🎉🎉🎉🎉wakuu kazi iko fit
@radyvking
6 ай бұрын
I said on behalf of machakos county Kenya we were waiting for this and now we are here ❤much love to clam ❤❤❤
@straightenergy6051
6 ай бұрын
Goood job
@zeinabathman5875
6 ай бұрын
Same here in Machakos ❤❤
@radyvking
6 ай бұрын
@@zeinabathman5875 pin location
@mayaashassan3918
6 ай бұрын
Wow nice sana hii movie inakuja na moto mkali sana🎉🎉🎉🎉 bravo bravo 👏👏
@Rugerh
4 ай бұрын
Jamaa kilam hatari hi hazn ya taifa
@masterlazar6745
6 ай бұрын
Hahahaha kipara ypo seriously kumbe anatak umbea wa tabia za hela
@KrisroyMoris
6 ай бұрын
Pure talent ⭐⭐⭐⭐⭐,big fun💪🏼,..c!aim vevo going far for real,🇰🇪 Love
@nationaltrendingmedia4603
6 ай бұрын
Clam is taking Bongo movie to the world
@Ngalaldos_dancers
6 ай бұрын
Wana flaming crew tumekubaliana na clam vevo❤❤❤❤congratulations guys🎉🎉
@Cristypalacekumar
6 ай бұрын
Tunashukuru sanaaaaaa 🇲🇿 um Mozambique
@LatifaOmary-uj3zs
6 ай бұрын
Big up Clam Yan bandika banduaaaa ulipo tupo endelea kukiwashaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
@ReyFocus
6 ай бұрын
Jmnii nzuri sana ya pili msicheleweshe bsi
@komlaakomlaa7465
6 ай бұрын
Kama umemuona Mwakatobe nipe like zangu apa🤣🤣🤣🤣
@dr_donye
6 ай бұрын
Tunataka kuingia trending kaka lifanyie kazii hilo 🙏👑🔥🔥🔥🔥
@daltontemboTv
6 ай бұрын
@Cram Vevo Umekua Ukileta Kazi Bora sanaaa Sokonii Kazaa Brow Pia usikawie kulete mwendelezo coz tunapenda Sanaa pia tunamiss Sanaa kazii zako brow ❤🔥🔥🔥🔥🔥
@Zadig_Le_Juste
6 ай бұрын
Keep shining Clam Vevo we like your movies 🇧🇮
@makameJuma-ex3ps
6 ай бұрын
minauliza inatokaje hii mouve
@christophermuthuri7701
6 ай бұрын
Izo ngorofa ni za Nairobi Kenya 🤣
@mziguchiafrica9343
5 ай бұрын
SOUTH AFRICA wabongo wameivamia much respect
@hafsahmassemoh3598
6 ай бұрын
WANGAP TUTAPIGA STORY UKU KANDO TUKISUBIR MISTAKE 2❤❤❤❤❤❤ MWISHO WA KAZ NDO MWANZO WA KAZ SNAKE TUMEFIKA MWISHO ACHA TUENDELEE NA UTAM MPYA 🎉🎉🎉🎉🎉
@catherinemueni4236
6 ай бұрын
Mmh mnarauka sana nlidhani mm ndo nmewahi leo😂anyway much love from kenya❤
@philipmutua6643
6 ай бұрын
Yaani kipara na mwakatobe nyinyi ni magaidi kwa sasa😂😂😂😂😂😂😂 Mwakatobe tafadhali Rudi uchawini😂😂😂😂😂❤
@agnesjohn9382
6 ай бұрын
😂😂 ujambazi uigize wewe
@chidi_don
6 ай бұрын
Unyama ni mwingi sana bro yani sio poa kabisa kazi mzur sana bro 💯
@lucypaulo9238
6 ай бұрын
Leo wa Kwanza naombeni like zenu wadau
@lilianalmas5911
6 ай бұрын
Kichupa kipya hiki na Mimi ni wakwanza naombeni like zenu Kama unamkubali Clam vevo❤🎉
@babitwario7869
6 ай бұрын
from mombasa kenya wadau kizungu kiachieni wenyewe, nawapenda sana
@joashonserio5166
6 ай бұрын
Much love from Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-ql5jb4de1f
6 ай бұрын
Mwamba karudi tena 🔥🔥🔥🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@Immamk__44
6 ай бұрын
Nimefika right on time guys please give me some likes 😅🎉🎉
@user-sj4lz8vp5m
6 ай бұрын
Kiram huna mpizan njia waz kabisaaaaaaaaa%❤🎉
@noahchepe8036
6 ай бұрын
😂😂😂mzee wa ujue sinaga tabia ya umbea mbea kaja kijambazi round hii. Safi sana
@JulesDior-zl6rq
6 ай бұрын
Wakwanza miye from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@KelvinDamas-di5lo
6 ай бұрын
Uyu jamaa anajua kama unamkubali Clam vevo gonga like ata kumi tu🎉🎉🎉
@berdsonkalu3274
6 ай бұрын
bongo nawavulia kofia et 'hey beautiful boy' nilifikiri makanga pekee ndio amenifanya ni cheke ile siku napata anagonga gari akiashiria gari isimame ila maneno aliokua ikisema ilikua na maana tofauti ..... 'hey stand up', nipeni like zangu nikiwa kenya
@rich.kizza10
6 ай бұрын
kali sana hii, ila snake boy imeishia njiani au
@shamilamgata7754
2 ай бұрын
Mbona iliisha
@rangalmas8833
6 ай бұрын
Nakufatilia sana ndugiangu kama shabiki yaki hujawainiangusha so proud of you
@lawrencewanyama
6 ай бұрын
Clam you are very creative mkuu many love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dieudoman
6 ай бұрын
Kali sana clam vevo🙏 kama una kubali clam na wewe like 👇
@user-cp4ym1gh3k
6 ай бұрын
Kiswahilii chetuu tuu naona ndy kingefaa Kwa kingereza bado sana jmn 😮😮 move angalau kdg ila kuzuri bado sijaona kawaidaa sna
@sajalyamry6059
6 ай бұрын
Nakukubar my young brother Clam vevo unakimbiza ile mbaya respect for you kazi nzur
@alfrednguya9453
6 ай бұрын
keep it up, you have to show Tanzanians Steven Kanumba is living on you
@paulokemark7398
6 ай бұрын
In you
@Ismaelmeja
6 ай бұрын
Kali kama moto wa pasi am watching from Kenya 🇰🇪💪 TU naomba like hata kumi
@user-rk1we8mb3f
5 ай бұрын
Kazi nzuri sana clam mimi nataza kutoka kenya ila kiupande wa kimombo niko na shaka bro tafuta watu wanaokijua vizuri at least kabla yakuwapa vipengele waigizaji wako
@niyonkinzodenis
6 ай бұрын
Much love from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤
@abdulkadirjuma5902
6 ай бұрын
The English for me🙌😂. Clam please don't "lost" our time😂😂😂
@jnrkayvin9500
6 ай бұрын
😂😂😂
@johnsonguddu2668
6 ай бұрын
Maybe bcoz ni comedy
@emmanuelmchomvu2676
6 ай бұрын
Movie imejaa n comedy ndo maana
@Juxalexis
6 ай бұрын
Kwenini bing boss S2 aitoke mimi Niko DRC Congo
@user-pp6gz2zy5q
6 ай бұрын
Tukupe tu maua yako vevo upo juuuuuuuuuuuuu sana kitukipyaaaa chamotao
Пікірлер: 2,9 М.