Mjadala kuhusu hoja ya kuwa muundo wa serikali tatu ni gharama na mzigo kwa taifa. Gobless Lema, Wakili Awadh Ali Said na wachangiaji wengine wengi kutoka pande mbili za muungano wa Tanganyika na Zanzibar wanajadili hoja hiyo. Wasikilize.
- Күн бұрын
Mjadala: Je Muundo wa Serikali 3 ni mzigo kweli? Watanganyika na Wazanzibari wauchambua
- Рет қаралды 7,473
Пікірлер: 29