From DR Congo 🇨🇩 Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu Mwalimu Ndacha 💐💐💐💐💐💐
@AnitaJuma-eb4jn
3 ай бұрын
mwalimu Ndacha nemekuelewa may God guide many years and prosperity
@Nolithajack12
3 ай бұрын
Ndacha nimwarimu ❤ nimukweri Mungu arakuripa
@daudmtoba191
3 ай бұрын
Mwalimu ndacha ubalikiwe mno😂😂 nafurah sana sana Kwa mafundisho yako mazuri 🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷❤️❤️🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@christophermotonyi2547
2 ай бұрын
Ndacha the best teacher
@CubakaCirhuza-j1c
15 күн бұрын
Mwalimu Francis Ndacha, Mwenyezi Mungu wetu akubariki!
@mathieuombeni4643
3 ай бұрын
From DR Congo 🇨🇩/Mwalimu 👉🏼 Mwankemwa, leo ameingia shuleni
@gastokonzo9798
3 ай бұрын
Daniel oja ZAKO dhaifu
@MajiiIfande
3 ай бұрын
Daa, Mwankemwa umebabaika sana. Unatumia nguvu nyingi sana kupotosha watu.
@khizarjr7694
15 күн бұрын
Subhana Allah mwenyezi mungu azidi kuwaogoza makafiri
@didasmajor9288
3 ай бұрын
Nimependa sana mdahalo huu, barikiweni nyote kwa elimu nzuri
@mwoso
3 ай бұрын
Kumega mkate haikua dhibitisho ya kuabudu siku ya jumapili. Pia yesu kufufuka siku ya tatu haikumanisha watu waanze kufanya ibada jumapili.
@ABELYZAKAYO
19 күн бұрын
😢ama kweli wapinga kristo niwengi maana ivi Kati ya MUNGU na mwanadamu Nani wakufuata
@sirpleasureb
3 ай бұрын
SABATO YANGU YA KWANZA KWA MAPENZI YA MUNGU TANGIA NIZALIWE ITAKUA JUMAMOSI IJAYO 22:6;24 NIOMBEENI WATUMISHI.SHALOM
@JosephMpangala-wd5mp
3 ай бұрын
Àmina, Mungu akubariki sana kwamaamuzi sahihi, umechagua fungu jema, ninakuombea.
@sirpleasureb
3 ай бұрын
@@JosephMpangala-wd5mp amina.tuombeane.
@dancanomwenga6955
3 ай бұрын
Amina, Mungu akulinde na akujengee Imani thabiti
@Motheking-ps2tl
3 ай бұрын
Nipe maandiko jumamosi ndio siku ya ibada
@sirpleasureb
3 ай бұрын
@@Motheking-ps2tl luka 24:53-56 then luka 24:1-2.
@AMKENIKWAYAGospelmusic
3 ай бұрын
Katika amri kumi hakuna ibada inazungumuzwa,Mungu alisema Nisiku ya mapumuziko Ibada inafanyika Kira siku MATENDO YAMITUME 2:46. Soma Hapo na pumziko ,Kupumzika kwa Mukrito anapumzikia ndani ya Kristo Asante mbarikiwe Amen 🙏🏻
@japhetndoro6533
3 ай бұрын
Hii mada ukimwangalia huyu mtanzania nikama anakataa sabato ndacha barikiwa sana
@francisjoseph1074
3 ай бұрын
Sabato NI kwa wayahudi sasa nyie wabantu na sabato wapi na wapi , myahudi akisali siku ya sabato NI Sawa , na kunasababu
@japhetndoro6533
24 күн бұрын
Soma marko2:27-28 Sabato ilifanyika Kwa ajili ya mwanadamu kwaivo ww ni mwanadamu ama nimnyama
@gracemoraa3963
16 күн бұрын
Mchungaji Ndacha mungu akupaliki sana nawacha roho asidi kukuongoza kutoa watu kutoka upotofu.
@tsumamartin6878
3 ай бұрын
Leo kinyanganyiro
@marrygicho4050
3 ай бұрын
Kuna watu wako kwenye giza sana kuyaelewa maadiko' kama amrita kumi za MUNGU hazijabadiriswa bona mtu azibadirishe? Mtakuja mwambiaje YESU arudipo.
@stevesostenes1389
3 ай бұрын
Mwl Mwankemwa pole, huyo Ndacha ni fundi sana aisee.
@ellymakongo656
Ай бұрын
Ndacha Mungu anakutumia
@EdsonDaud-rg5jk
3 ай бұрын
Mwalimu ndacha ubarikiwe sana ushuuda umeutoa kweli u sahii
@dismasndaro
3 ай бұрын
Wao wamepigwa upofu juu ya siku izi sabato ni amri ya mungu na pumziko la mungu mwenyewe mbona mmekuwa vipofu wa kiroho jamani
@aminakadzo1142
Ай бұрын
Mungu akupe umri mrefu ndacha na kikundi chako na akutumie zaidi ❤
@PascasMathew
3 ай бұрын
Sabato na Ukristo ni vitu viwili tofauti . Yesu mwenyewe hakwenda kuabudi ktk sinagogi balialienda kuwafundisha habar za ufalme wa mbinguni ,na baada hapo alikwenda kuomba ktk mlima wa mizeituni .
@nicodemuswidambe5132
2 ай бұрын
Wasabato cyo dhehebu ni waabudu siku ya saba. "Seveth day adverntist" hivyo tusibabaishane wao ni waabudu wa siku ya saba. Hakuna kingine. Swali langu: Agano jipya nani alileta na kwanini??
@moshantoj
3 ай бұрын
La kushangaza ni kwamba hata hawajui maana ya mnyama na ni wachungaji 😂😂
@japhetndoro6533
20 күн бұрын
Nani hawajui Mambo ya mnyama
@BonaneCanisius-t1s
5 күн бұрын
@@japhetndoro6533ni wenye wanaenda ibada sunday wale tu.
@MUSSAMSAFIRI-cj9nz
3 ай бұрын
Ndacha yuko vizuri sana tatizo lake c mwislam tu ila ukweli anaujua sana
@ismailmasoud6001
3 ай бұрын
Huyu muda c mrefu anasilimu, maana mahubiri yake ya Sasa anahubiri MUNGU ni Mmoja , sio watatu..! Lkn hapo ndacha anamuuliza mwenzie atoe andiko kati ya MUNGU au Yesu ni nani alibadilisha sabato, yaani ameshajua Kuna MUNGU halafu Kuna Yesu, 🤣🤣🤣.
@ZabronWambura-yb5jf
2 ай бұрын
@@ismailmasoud6001mnajifariji😅😅😅😅😅
@EmmanuelMoses-pb1zh
3 ай бұрын
Nimejaribu kumsikiliza mwankemwa lakin ata sielewi kabcaa
@DanielErnest-nn2zj
3 ай бұрын
Na hauwezi kumuelewa maana anapinga amri za Mungu
@JafethOdhiambo
3 ай бұрын
Hana jibu la point
@JONATHANSETI-yd5uq
Ай бұрын
Huwezi kimuelewa wakati Bado haujachagua kumuelewa pole sana ndugu ,waruma 14:1-
@nicodemuswidambe5132
2 ай бұрын
Kumbe kuna sabato nyingi? Duuh hiyo tafsiri ya wakolosai mmh huu ni uongo.
@filexbenefits5612
3 ай бұрын
Hama siku ya kwanza ya juma, konfiushoni, results of being in Babylon
@edwardmugendi-hb1tj
3 ай бұрын
hapana hawa watu wanashetani kichwani siyo kawaida asee, maana kitabu cha danieli kiko hai na kimeenza kufanya kazi mpaka sasa lakini haya majamaa hayana habari yanazani bado, najisikia vibaya mimi siyo sili😢😢
@GodfreyErene
3 ай бұрын
Hao wasabato ukiondoa kurud kwa yesu mara ya pili na mambo ya unabii hawana mafundisho tuzidi kuwaombea maana wanaabudu siku badala ya kumwabudu mwenye siku. mch daniel barikiwa sana kwa kuwafundisha washika siku.
@GodfreyErene
3 ай бұрын
😂😅😂yaani ndacha nilikua namuamini sana ila kwenye kutetea sabato kachemka vibaya sana, ukweli ni kwamba hata wanao shika sabato Bado wanashindwa kwani wengi wao tunawaona wakipika,wakisafiri, wakibeba mizigo na hata wengine kuwapa watu mifugo Yao kuwachungia siku ya sabato.kinyume na sabato inavotaka
@BonaneCanisius-t1s
5 күн бұрын
Kipofu kitaombea watu wazima?
@BonaneCanisius-t1s
5 күн бұрын
@@GodfreyErenesasa hapo ndipo mume funga Macho kbs kwanini mna amini amli kwanini moja mnayitowa? Soma Matayo 5:17 Yesu mwenyewe alisema kwamba hakukuja kutowa Amli za Mungu
@albertvalentino130
3 ай бұрын
Wasabato mnatia huruma linapokuja suala la kuitafsiri Torati kwa muktadha wake ---- mnafanya vizuri mnapoutetea ukristo dhidi ya imani nyingine zisizo za kikristo,lakini nadhani mnahitaji kunyenyekea na kukubali kufundishwa ili muweze kujua nini muktadha na makusudi ya sheria ( Torati ) juu ya mwanadamu,ikiwemo hiyo amri ya Sabato,ukizingatia na hitaji la msingi la mwanadamu la kuokolewa kutoka dhambini.
@BonaneCanisius-t1s
4 күн бұрын
Wongo wako we leta andiko
@tsumamartin6878
3 ай бұрын
Ulipotuma video ndacha akiwa Bukavu congo,nilikuomba mpatane Leo Daniel pata dozi yako
@samerastus
2 ай бұрын
1. Je mnapo tofautiana katika andiko inaashiria nini? 2. Mwalimu Ndacha Je, kuna Sunday na Saturday kwa Bibilia?
@godwinkileo7702
Ай бұрын
Kwahiyo kujifunza neno la Mungu ni jumamosi tu😅😅😅siku zingine hakuna kujifunza? Hatari kweli
@samerastus
2 ай бұрын
Wakristo msikashifiane mkikosoana kwa ni nani aliye sawa katika Majira na siku za ibaada,mradi ninyi nyote mu waaminifu na wamoja wa Kristo. Someni (Mariko 9:38-41)
@Gkk1949
2 ай бұрын
Yani huyu mchungaji hajui hizi picha sina maana gani
@bonifasiemanueli21
3 ай бұрын
Mwankemwa hamuwezi Ndacha kwa Neno,ni hatari hata waislam wanamuogopa😢
@herimwinge-et9ei
26 күн бұрын
Ndacha mkali na nimuelewa lkn kwa Waislamu Ndacha anafundishwa kwa sababu Quran aijui anako tegemea yeye kunawabobezi wa kwenye Biblia kwa Ndacha anakua chai ilio poa anakua mtu wa kujitetea tu.
@christophersimwinga6689
3 ай бұрын
Amri na Sheria hazikusaidia kuleta ukombozi zilishindwa na badala yake ikaja neema Kwa kifo Cha BWANA Yesu kristo .ndio mana Agano la kale likaitwa Agano chakavu Kwanini tuendelee na Agano chakavu . Mi naona hili Mmekosa kazi
@filexbenefits5612
3 ай бұрын
Wacha watu wakose kazi ww uliyenayo ifanye, hata nashaka waijua kazi yako gani na wala kwa namna io huwezijua
@Shomariamuri1
3 ай бұрын
Umeptea wewe ndugu yangu. Hakuna sheria ya Mungu ambayo mtu yeyote anafaa kuvunja.
@christophersimwinga6689
2 ай бұрын
Kuendelea kushika amri na Sheria ni kukataa ukombozi ulioletwa kwa njia ya yesu kufa msalabani. . Sheria amri Torati na sadaka vilishindwa kuleta ukombozi ndipo yesu akafa msalabani kwa ajili ya kuleta ukombozi
@ZabronWambura-yb5jf
2 ай бұрын
@@christophersimwinga6689yesu anasema mkinipenda mtazishika sheria zangu,,,pili ilivofika sabato yesu alienda sinagogi akaponya,,,tatu yesu anasema utoapo sadaka yako na zaka yako iwe ni siri yako na baba yako,,,,sasa unapotuambia hivyo vilipita si yesu asingevifundisha
@AizackKalenge-ro5rc
2 ай бұрын
Wasabato Fameingia kwenye fungamano la Agano la kale
@RossaRutasha
2 ай бұрын
Ndacha hamumuwezi anaijua. Biblia sana
@thechosen6220
2 ай бұрын
By the time ndacha anamaliza his first argument debate imeisha😂😂😂😂 Daniel roasted the mwakemwa🎉🎉
@albertvalentino130
3 ай бұрын
Kwa mkristo anayeujua ukristo wake vizuri,kila siku na muda wote ni muda wa ibada --- ibada inapaswa kuwa ni sehemu ya maisha ya kila siku na muda wote.
@alzawahirabdallah2299
3 ай бұрын
Hakuna kanisa la kwenda kila siku utakuwa maskini na ndio maana ukawekewa kwa wiki mara moja upate kutowa fungu la kumi vizuri
@aliyyuhibu3561
3 ай бұрын
Daniel yuko vizuri ndacha chagua moja kumfata paulo au manabii
@HamisRashid-xl4mn
2 ай бұрын
Mkali wanini rumbaneni wenyewe uisilamu umenjooka hana lolote huyo
@LilianMpenda-gw5pp
Ай бұрын
Mmenyooka wapi wakati mnasali iddi siku tofauti, washiha, wahabia na wasunn lkn mnatofautina na kurumbana
@PatrickKitula-ro9tk
2 ай бұрын
Jumamosi ni siku ya Saba?.. Kwani mosi ni saba?.. Sasa kama jumamosi ingekuwa siku ya saba basi jumapili ingekuwa ndo mosi.. Mimi najua mosi(jumamosi siku ya Kwanzaa).. Jumapili siku ya pili.. Jumatatu siku ya 3..jumanne siku ya 4..jumatano siku ya 5.. Alhamisi siku ya 6..na ijumahaa siku ya 7...sasa jumamosi inakuaje ni siku ya Saba..?
@AgnesMhanzi
Ай бұрын
Wakristo tumepotea San tena tumepotea kwa mapokeo ya wanadamu na cjui kwanin hatusomi Daniel 7:25 alivyofunua kubadili sabato jaman kwann hatuelewi wakiristo duuuh, tunaangamia
@AizackKalenge-ro5rc
2 ай бұрын
Sabato inabaki tu kama historia lakini sio uhalisia ni Agano jipya
@JamesJastin-bg1rx
3 ай бұрын
Mim naona bora nisilimu tu niwe muislam maana naona huku ktk ukristo ni changamoto
@BIBLIANURUYADUNIA
3 ай бұрын
Fanya hima
@YothamZabron
3 ай бұрын
Mim nimetoka huko utakako kwenda , wewe sepa bro hatukutaki
@JamesJastin-bg1rx
3 ай бұрын
@@YothamZabron sas makasiriko Yanin kila mtu namaamuzi yake acha kutafuta kiki ktk mitandao
@Shomariamuri1
3 ай бұрын
Uko ndo umeingia shimoni kabisa. Kwenye majini tena 😂😂😂😂😂
@JamesJastin-bg1rx
3 ай бұрын
@@Shomariamuri1 Sasa siafadhali hayo majini lakn huku ktk ukristo kufirwa wew unaona Raha? Yani mwanaume mwezako akutumbukize mboo ktk mkundu wako wew ndy unaona sahihi wew niache mim nisilimu wew Baki hukohuko ktk ushoga uwendelee kufirwa ktk pachapacha ya matako yako
@KennedyLaizer-wx8uw
2 ай бұрын
Jonathan Edwards had put this matter clear. Go and read the work of Jonathan Edwards on perpetual sabbath
@DanielErnest-nn2zj
3 ай бұрын
Mwankemwa hana hoja kabisa, na keaho ndio kitaumana yaani. Ndacha watibu maana wanaumwa ni wagonjwa
@richardodoyo7558
2 ай бұрын
MUNGU kasema wanadamu wote wasali siku ya saba ambayo ni juma mosi ww unapnga wee muze acha kupindisha bibilia
@MushTazan-vf6ld
3 ай бұрын
Ndacha wa kaushe ao
@AnitaJuma-eb4jn
3 ай бұрын
Ooh lord guide us and show us your way 🙏🙏🙏
@AlphonsinaMkongoma
2 ай бұрын
Yesu ndiye Bwana wa sabato kinacho takiwa ni kumkili yesu na kutubu dhambi kinacho itajika ni kumkili Yesu na kuishi maisha matakatifu tu.izo Siku nikelele tuu hakuna siku itakayo mpeleka MTU Mbinguni sipokuwa utakatifu tu
@AlphonsinaMkongoma
2 ай бұрын
Yesu ndiye Bwana wa sabato kinacho takiwa ni kumkili yesu na kutubu dhambi kinacho itajika ni kumkili Yesu na kuishi maisha matakatifu tu.izo Siku nikelele tuu hakuna siku itakayo mpeleka MTU Mbinguni sipokuwa utakatifu tu
@bonifasiemanueli21
3 ай бұрын
Pengine Mwankemwa yuko sawa
@Shomariamuri1
3 ай бұрын
Hakuna siku Mwankemwa atakua sawa
@AmourHamza-m3j
2 ай бұрын
Hivi ninyi ni waiziraeli?
@JILBERTDaniford
2 ай бұрын
MIMI SWALI LANGU NDACHA NAOMBA ANIFUNGULIE ANDIKO LINALOSEMA au kutaja Jumamosi Moja KWa Moja kwenye maandiko
@JosephMpangala-wd5mp
3 ай бұрын
Ukweli utabaki kuwakweli,nauongo utabaki kuwaongo,mwanadamu amepewa uchaguzi wa kuamua anasimama upande upi,mwisho nihukumu.Mathayo7:24-26.
@AgnesMhanzi
Ай бұрын
Yaan mwankemwa kusoma kote nakushinda hata mmi ambaye siiju biblia kabisa nmegungu ukweli sabato ni jumamosi mwankemwa jibu ufunuo wa Daniel 7:25 umefunua nini au majira nyakat amebadilisha nyakat gani we mwankemwa unawapoteza wakristo unatuangamiza kabisa
@SamuelmuneneMuthoni
2 ай бұрын
Mwakemwa wacha ukaangwe 😅😅😅😮😮
@AizackKalenge-ro5rc
2 ай бұрын
Kukusanyika kulianzia kufufuka kwa Yesu Matendo ya mitume1:8,2:1-Kanisa la Yesu lilizaliwa siku hiyo ya baragumu kuu,Ni jpili,
@peteryona3018
2 ай бұрын
Mwalimu Mwankemwa uko vizuri
@japhetndoro6533
20 күн бұрын
Mwakema mwongo nawe
@ChristianGregory-gf3gq
Ай бұрын
Ninakuelewa saana mwankemwa
@RossaRutasha
2 ай бұрын
Maneno tu toa andiko we mtu wa jumapili
@abedmusau9305
2 ай бұрын
napenda mafundisho ya mch.Mwakemwa. the bible interprets itself. All other writen infor, the Bible is final.
@careysonscollections5023
2 ай бұрын
Majina ya juma yalitiwa na Warumi bali sio Mungu. Mjadala hauna msingi.
@shyneafya2468
3 ай бұрын
Mwankemwa Kwan unasema et wale wanafunzi wa Paulo aliwakuta wakisoma torat ya Musa ni sawa na Yesu alisoma kitabu Cha Isaya Kwa kusoma ivo Kwa nn Yesu alikuwa nae amekosea ilitakiwa asome Injili? Kipindo vitabu bilivokuwepo ilikuwa agano la kale wote walisema ivo
@jonathanmusyoka3143
3 ай бұрын
Mwakemwa hoja dhaifu zako zinataka chai ya asubuhi nikikunywa zip moja chai kabla slaizi ya mkate una hoja ni akili zako tutao akili zako tuwekee kanisa isome shida ya ulokole mwingi
@hassanimouigni6648
3 ай бұрын
Kumbe ndacha unajua mungu ni moja halaf unatafuta vigezo ku wadanganya wenzako
@abdallahdataguy
3 ай бұрын
wajinga ndiyo waliwao. Mungu anasema ni mmoja mara baba na mwana. Hovyo kabisa
@ZabronWambura-yb5jf
2 ай бұрын
Mungu ni mmoja kwani kuna mtu alikwambia wapo kumi😅😅
@msemakweli243
3 ай бұрын
Mwalimu ndacha kashinda kwa hoja mnasema je?
@JeanMuzaliwa-bs6qh
3 ай бұрын
kbs
@bonifasiemanueli21
3 ай бұрын
Apana
@msemakweli243
3 ай бұрын
@@bonifasiemanueli21 lete kweli yako ya hoja
@samxx411
3 ай бұрын
Sasa kashinda kwa hicho kipande kidogo alichowekwa na wewe ndo umeshaamini??? Hebu kuwa na akili kwanza, mbona ndacha katoa maelezo yake yote
@msemakweli243
3 ай бұрын
@@samxx411 wewe ndo ujitambui nimesikiliza kila mtu lete ukweli ulionao wewe na mmi nikuletee tuone
@alzawahirabdallah2299
3 ай бұрын
Mungu alishasema atawafarakanisha wenyewe kwa wenyewe
@albertvalentino130
3 ай бұрын
NDACHA kwenye huo mfululizo wa amri,ipo pia amri inayosema " USITAMANI " yaani,usitamani kufanya dhambi --- Yaani kwa Mungu,ni dhambi kwa mwanadamu kutamani kufanya dhambi --- Je,wewe Ndacha hujawahi kufanya dhambi? --- Neno la Mungu linasema kwao wanaotaka kuokolewa kwa njia ya sheria " Imewapasa kuitimiza Torati yote " hakuna mwanadamu atakayehesabiwa haki kwa matendo ya sheria.
@JosephNyaberi-sb1rf
3 ай бұрын
Jinga hii ni ya wapi?
@catherinenyokabi5746
3 ай бұрын
Bii diyo injili mwalimu Ndacha MUNGU akumbariki sana
@bethaniahemalautukufu-np3so
2 ай бұрын
Sabato ni ibada siyo siku ibada yoyote ya mungu wa mbinguni ni sabato
@OLUNGAJOSHMAH
3 ай бұрын
Yani hata kwao Unabii ni ushetani...walimu hawa kwa kweli watajuta huko mbeleni
@cosmassisa5256
3 ай бұрын
Haha 51:50 huyu Daniel mpotoshaji sana kwani hajui kwamba Paulo anaposema aliwaudhi Wayahudi ni kwamba alikuwa akiwaua Wayahudi. Kabla ya Paulo kuwa mtumi, alkuwa akiitwa Sauli na aliwaua Wayahudi wengi sana. Baada ya Yesu kumtokea ndipo alikuwa mtume. Sasa Daniel anakuja kusema kwamba kisa alikuwa Msabato😂😂
@tsumamartin6878
3 ай бұрын
Watandike viboko vya neno ndacha hoyeeee
@DanielErnest-nn2zj
3 ай бұрын
Kabisa yaani😂😂😂😂
@GideonLenard
3 ай бұрын
Ndugu zangu nawaambieni tuu kitu kimoja huyu mkenya tuache unafiki huyu jamaa ni mwalimu mimi nimekubali
@dullahfar7775
3 ай бұрын
Ndacha kasema siku inaanzia jioni kama sisi waislam na siku ya saba ni ijumaa anzia na mosi,pili,tatu,nne,tano.......
@dismasndaro
3 ай бұрын
Wewe mwakimwa una elimu kabisaaa tofati na ubishi alafu unajibu maswali tofauti kabisaaa
@nicodemuswidambe5132
2 ай бұрын
Kila mtu yupo sahihi ila kiukweli wasabato hawamjui Yesu. Ndo maana hawana alama ya Msalaba.
@BonaneCanisius-t1s
4 күн бұрын
Matayo 14:16 soma hapo utaona kwamba Wasabato wanamjua Yesu tena sana
@aliabdallah8456
3 ай бұрын
Tatizo la wakristo mnafuata mambo ya Roma Marekani Ujerumani hayo ndiyo mataifa yaliyoanzisha ukristo lakini Israel hakuna ukristo
@cosmassisa5256
3 ай бұрын
Hahaha hili somo la unabii la kitabu cha Daniel halieleweki kwa watu wa Jumapili kabisa.
@gidiboy9081
3 ай бұрын
Ila watu wa mitando hawalioni Hilo la kukwaruzakwaruza?
@AbekyamwaleMabamba
3 ай бұрын
Hoja za maneno mengi zinaharibu wasikilizaji
@FranciscoOresteBernabé
2 ай бұрын
Nakuliza ndacha kuna dhambi kusali ijuma ine au ijuma tano ? nipo moçambiqwe
@herimwinge-et9ei
26 күн бұрын
Oyaah Mtu wa Mungu tupene michongo uko msumbiji boy.
@collinsgathara4130
3 ай бұрын
Hapa muongo anaonekana
@isaiahonyapidi5662
3 ай бұрын
Ati siku ya nane😅
@DanielErnest-nn2zj
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@HeppynesLugoga
2 ай бұрын
Mwankemwa ubarikiwe
@saitotisapiyo5997
3 ай бұрын
Ndiyo maana huyu mwakemwa sikuhizi aliishà juu mwongo na mwongo uwisha
@Neemaamani-dj5dg
3 ай бұрын
Ndacha 🙏🙏
@EliakimPetro
3 ай бұрын
Shadraki wewe ndo hujui na danieli hujui watu wa jumapili mnababaisha hamna maandiko ya kuthibitisha ibada jumapili
@MahmoudKhamis-cv9pi
3 ай бұрын
Ndacha yupo Sawa Kwa hoja amemshinda jamaa
@machairtv2528
3 ай бұрын
Naitaji mdawakiere mmi na ndacha live kuusu ijumapi na ijuma mosi
@anafikamugisha8834
2 ай бұрын
Ndacha 🎉❤❤❤❤
@Motheking-ps2tl
3 ай бұрын
Ukiwawekea shehe apo anawasambaratisha wote.
@GideonLenard
3 ай бұрын
Nisha hama roma mapema tuu
@petergakinya1634
3 ай бұрын
So, wale ambao wanaenda kanisani siku ya sabatu wako na direct ticket to heaven?. Wana mutheri.
Пікірлер: 403