Mama ameni inspire sana,nimempenda sana Kweli umaskini ni sumu,nachukia umaskini na naukataa umaskini.
@nolimittvonline6822
Жыл бұрын
Kweli umaskini siyo mzuri kabisaa
@esterjoseph9474
6 жыл бұрын
niombeen jaman Mungu anisaidie namimi skumoja nitimize malengo yangu kwan mmewangu hstaki nijishugulishe kwa chochote ananiudumia vizur lakin nataman kusmama kama mam Mungu awasaidie wamama wote mnao jishugulisha mtimize malengo yenu
@thebatafly9376
5 жыл бұрын
wanaume km hawa hawajui leo wpo kesho hawapo
@advocatekarama4917
4 жыл бұрын
Amen utafanikisha malengo yako 🙏
@LucyJMtitu
4 жыл бұрын
Wanaume kama hao weka kushoto.hawaoni mbele.
@janefidelis2255
4 жыл бұрын
Chukua maamuz yakoukimfuata sana unaweza kua maskini wakudumu
@heriethmbwambo8272
3 жыл бұрын
Kiukweli mwanaume Kama huyo hajitambui hajui Kuna leo na kesho tafuta watu wenye hekima wamshauri ,na wewe endelea kumombea mshauri usichoke atafunguka tu.
@samwellwiza1098
2 жыл бұрын
Ukikosa heshima katika maisha ya kawaida tafuta elimu, ukikosa heshima katika elimu tafuta hela, ukikosa hela katika vyote hivyo tafuta Mungu atakupa heshima.......
@estermahenge-ks3dr
Жыл бұрын
yani Mungu umemuweka wa mwisho
@priscaemmanuel5027
9 ай бұрын
Mungu Ni wa kwanza
@samateryussuf5938
5 жыл бұрын
hongera sana , ukihangaika unafanikiwa tu , vitafunio vyake vyote bei ni 500 tu
@modernbob199
7 жыл бұрын
Hyo bank ijitangaze zaidi hasa sehemu za vijijini
@shabanizuberi4503
4 жыл бұрын
Huyu Dada namjua mama rusajo,nimepanga nae nyumba moja,,mbagara!hongera yake na mungu azidi kumuinua
@mpalleymwaipola7435
4 жыл бұрын
Shabani jirani na ni mdogo wangu.habari za siku nyingi
@shabanizuberi4503
4 жыл бұрын
@@mpalleymwaipola7435 ,,salama Dada angu VP familia wazima wotee?,daa yaani ni miaka mingi sana Dada angu,.
@angelainnocent2991
6 жыл бұрын
Hongera sana Mama wewe ni mfano hai... Nahisi kuelimika sana.
@BundaraMaria
4 ай бұрын
Kujiamini ndoo mpango .mzima wakina mama tusimame uhakika ❤❤❤
@gloriamagesa2331
7 жыл бұрын
umeizindua akili yngu
@roselynejason4572
4 жыл бұрын
naomba mawasiliano na huyu mama jamni...ameninspire saana
@jacklinejoseph5291
4 жыл бұрын
jamani ongela nimeshituka kukuona hapa nimesom na mwanae kwl huyo mama Ni mchapakaz Sana anastahili pongezi
@mpalleymwaipola7435
4 жыл бұрын
Asante sana
@user-vw5pd3uu9o
7 жыл бұрын
naitwa merry nipo Oman kiukweli nimependa nitaomba nikifika Tanzania
@chiefbarutv6327
6 жыл бұрын
habari aisha
@daudmakala7274
5 жыл бұрын
Oman sehem gan
@magdalenamadusa440
7 жыл бұрын
Nashukuru kwa ushuhuda mzuri Dada umenifumbua fahamu zangu
@beatricemdoe7789
5 жыл бұрын
Jamani.nimefanya zandani Miaka 12 bila nafanikio mpaka nimechika naombeni mnisaidie mkopo hata na Mimi nijitegemee kufanya biashar
@salmaalimusa547
5 жыл бұрын
@@beatricemdoe7789 pole mumy
@sherifmpozembizi5335
4 жыл бұрын
Asante Sa na Sauda. From Europe.
@estherjoseph941
4 жыл бұрын
Hongera bibie ila naomba hiyo benki ilete huduma na mikoani wakina mama tupo.
@amirikilagalila3737
6 жыл бұрын
KWA KWELI INAFUNDISHA SANA
@edithaaron4520
7 жыл бұрын
Nimeipenda sana
@piusrenatustv2672
3 жыл бұрын
Mama umenigusa sana naamin nami Mr BEBWA nitakuwa billionea
@osodowilberforce2321
Жыл бұрын
Congratulations Madam Margreth.
@user-vw5pd3uu9o
7 жыл бұрын
mm nimeipenda hiyo
@aishahayata4831
5 жыл бұрын
daaaah umenitia moyo sana
@catherinefaney948
4 ай бұрын
Asante sana,nimejifunza kitu
@MalcolmBukene-ic4tf
2 ай бұрын
Naona kunjia nyingi zakufaniki nashindwa nifuata ipi naomba ushauri
@azizamkindi1784
6 жыл бұрын
Naomba no zako
@conniesilayo250
5 жыл бұрын
Nime Furahi sana Naona Ndoto sangu Sita Timia
@jasminngoya110
5 жыл бұрын
Nifanyeje nijiunge nanyi nipate mkopo nijikwamue na umaskini nimechoka mnoooo nisaidieni. Najihusisha na nursery school lakini pia najifunza kutengeneza sabuni za maji nisaidieni wapendwa
@jumandutu2275
5 жыл бұрын
Nimempenda huyu mama
@bernadethajohn54
Жыл бұрын
Hongera mama NAMI natamani niwe Kama ww
@mwaminiiddi8310
4 жыл бұрын
Mama nimekupenda bureee mama yangu mama mm ni mwanafunz wachuo natamani biashara naomba mawasiliano.
@neemaisaya8290
9 ай бұрын
Asante Sana nimejifinza kitu
@josephinemule3604
Жыл бұрын
Hongera sana umenitia moyo sana
@happymasangula9909
4 жыл бұрын
yaani nimefurahi mno..! naamka sasa
@mpalleymwaipola7435
4 жыл бұрын
Pambana
@dianahmarco1491
5 жыл бұрын
Nashukulu sana dada kwa kunifungua akili naomba namba zako
@mpalleymwaipola7435
4 жыл бұрын
0753710681
@abdonbageita865
6 жыл бұрын
good entrepreneur
@omaiim4014
4 жыл бұрын
Hongera sana
@heriethmbwambo8272
3 жыл бұрын
Hongera Sana mama songa mbeie
@farajakiba5609
4 жыл бұрын
Duuuuuh kwann nisiweze sasa nimefurah xana an
@annamasale3893
4 жыл бұрын
Duh hongera mama
@mpalleymwaipola7435
4 жыл бұрын
Asante sana
@delfinamushi1213
5 жыл бұрын
hiyo Bank mbona haijitangazi?wanawake wengi hawaijuwi njoon huku pembezon mwa jiji bunju mtuelimishe tujiunge tunapenda sana hata kuweka akiba zetu za vikoba.
@zulfamnzava6735
6 жыл бұрын
Dada nimependa kazi zako sana naomba namba zako
@deomagoha100
6 жыл бұрын
Nashukuru kwa kunifungua juu ya hii benki
@kabulamanyangu4703
3 жыл бұрын
Nilikuwa nmelala ila nmeamka
@joycejacob6263
Жыл бұрын
Good nitajiunga benki Iko wapi
@rayarashid9742
6 жыл бұрын
Zanzibar miko wapi
@genilozalukambaiga4802
6 жыл бұрын
na Mimi nataka kufunga kuku nifanyeje
@jescajohn5034
4 жыл бұрын
iyo ya kubaki nafunguo nimeipenda
@mohammedrashid2906
Жыл бұрын
Upo sawa
@joseefaidabutu6467
5 жыл бұрын
Asante
@nyanzalakaporo2504
7 жыл бұрын
Mimi naitaka iyo bank ndoto ya nyumbani naimani itanisaidia sana
@janethshem5782
5 жыл бұрын
nyanzala kaporo Tanzania Women’s Bank(TWB)
@mutesiflorence4183
3 жыл бұрын
Dah nimejifunza kitu wakat wakuamka ni sasa
@esterjohnstone3137
3 жыл бұрын
Nimependa benk yenu nawezaje kujiunga nipokigoma
@joinanganunga6985
Жыл бұрын
Vizur
@stellahemilian9168
4 жыл бұрын
Dah hii bank kweli imelenga kusaidia jamii,jamani mikoani vipi
@josephinemule3604
Жыл бұрын
Naomba nitumie namba zako mama yangu ninamengi ya kuongea na wewe
@maryamoman5926
5 жыл бұрын
Kwei😭😭😭
@noeljohn4057
6 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii mada.Sasa naomba contact zako lakini pia ninaomba kujua chakula bora cha bata ili watage sana.Asante sana.
@malalezengo4405
6 жыл бұрын
hongereni sana akina mama
@neemaremigi5068
Жыл бұрын
Naomba namba ya huyu mama wa ubuyu tafadhali
@kidanishow288
Жыл бұрын
0753710681
@jacklinejerr2447
3 жыл бұрын
Tuna omba namba za iyo benk jaman
@mizesuleiman1834
2 жыл бұрын
Tatizo ua hawaongei ukweli wanaaminisha watu mambo ni rahic lkn wanamambo yao mengine😳😡😠
@ummulkheirzubeir6320
7 жыл бұрын
Arusha vp mpo sehem gan
@anethnico4537
6 жыл бұрын
kwa tanga mko wapi
@ireneemmanuel6021
Жыл бұрын
Naweza vp kupata namba ya mama sarujo
@kuruthumuissa6175
4 жыл бұрын
Iyo bnk iko wap jaman
@lilianluhasi7685
4 жыл бұрын
Nashauri Sasa kama imeunganishwa na Posta basi nashauri wawe na department inayohusu wanawake tu
@mpalleymwaipola7435
4 жыл бұрын
Wanayo.kuna account inaitwa Tabasamu.tembelea matawi yao sasa
@jenifasilayo3740
Жыл бұрын
Nikitaji kujinga mimi nipo mwana nyamala
@hiiughdhd4666
8 жыл бұрын
Naomba namba yako please
@georgecosmas1156
4 жыл бұрын
hata Mimi nimeipenda
@tahahsjsbbehbsd9610
4 жыл бұрын
Dada niajir na Mimi🙏 kwenye kazi yako
@nyanzalakaporo2504
7 жыл бұрын
ume nitia sana moyo dada Mpale, nataka nije kujiunga na iyo bank ya wanawake mko wapi kwa hapa dar.
@annajohn175
4 жыл бұрын
TWB ILIKUA BENKI YA WANAWAKE..ILISHAFUNGWA HAIPO TENA ...SO SAD ILIKUA DAR ES SALAAM ,POSTA YA ZAMANI...
@meyuunassor200
4 жыл бұрын
Mm nipo zanzibar napataje hio
@zulfamnzava6735
6 жыл бұрын
Mimi natengeneza cheni,hereni ,mikoba,Batiki,mafuta ya mgando na sabuni ya maji
@doreenmalesi6039
5 жыл бұрын
Zulfa Mnzava haki nami natamani kujua kutengeneza mafuta
@clarenceyengayenga5797
5 жыл бұрын
Habari Ndg?, unatenfenezea wapi huko?, nami nataka kujifunza
@salmaalimusa547
5 жыл бұрын
@@doreenmalesi6039 Na mafuta ya mgando yenye mchannganyiko wa miski nirahisi sana mumy
@neemamushi6037
5 жыл бұрын
Na mm pia nataman kujua kweli my friend
@dianawanavyotembeanihatarh7345
3 жыл бұрын
Hongera kwako
@happykilango5396
2 жыл бұрын
Hii benk iko wap
@aminafataki4263
5 жыл бұрын
Mi kigambon lakin mbona cpajui
@hiiughdhd4666
8 жыл бұрын
jamani dada naomba namba zako nataka tuongee zaidi umenitia changamoto sana umeishtua akili yangu
@juliethkelvin9478
7 жыл бұрын
dad asante kw kuinsper vijan weny change motor kam hyo naomb namba yko
@kidanishow288
7 жыл бұрын
0789243606 au tutumie maoni kupitia KIDANI SHOW FB paje
@daudisumai5803
7 жыл бұрын
ali kiba
@Evictanzania
6 жыл бұрын
+Kidani Show hii namba mbona haipatikan
@mpalleymwaipola7435
4 жыл бұрын
0753710681
@aishamohd9852
7 жыл бұрын
tunashukuru kwakutuwezesha wanawake but nilikuwa naomba kuuliza kwa upande wa Zanzibar iko wapi iyo bank
@rumbayarumba1528
7 жыл бұрын
an
@aminafataki4263
5 жыл бұрын
Nawe pia dada naaidi nitafata nyayo zako ila cjui kupika kashata
@jeskamgina7963
3 жыл бұрын
Naomba namba yako
@felistamedard3302
5 жыл бұрын
Mm iyo bank jaman please ipo wapi
@bernardmitti5920
5 жыл бұрын
Ilishaungana na benki ya posta (TPB BANK PLC)
@malandufaustina1818
2 жыл бұрын
Tawj lao lipo wp kwa dar
@conniesilayo250
5 жыл бұрын
Naa Moshi mko wapi
@khalidjimmy5774
3 жыл бұрын
We ofisin kwako ni wapiiii
@tatuathmani883
4 жыл бұрын
naomba namba yako yasimu
@kelvinjohn7932
4 жыл бұрын
How is watching this to open a restaurant give a like plz
@kelvinjohn7932
4 жыл бұрын
Comment also
@fauziakassim323
4 жыл бұрын
M sipendi mikopo mara hufe nan atagharamia
@luciamallya2331
4 жыл бұрын
Jaman Mwanza mpo sehemu gan ??
@mpalleymwaipola7435
4 жыл бұрын
Bidhaa zetu unazipata kahama.Royal supermarket
@mpalleymwaipola7435
4 жыл бұрын
Nenda kahama.royal supermarket
@winniemagomba7475
7 жыл бұрын
naitaji kazi dada maana ali teteeeeeeee kwangu
@aminafataki4263
5 жыл бұрын
Nakuomba unishauri dada cjui nifanye biashara Gani
@zerawitmabratu381
5 жыл бұрын
Allah akufungulie kheri dada
@bolingobolingo5321
5 жыл бұрын
0752688265.....nichek Dada
@bolingobolingo5321
5 жыл бұрын
0752688265 nicheki Dada yangu
@zerawitmabratu381
5 жыл бұрын
@@bolingobolingo5321 uwa chekiwe vp kaka 😁😁
@zerawitmabratu381
5 жыл бұрын
@@bolingobolingo5321 uchekiwe kivipi**
@shantelshanty5193
6 жыл бұрын
Nimeshukuru kwa ujumbe
@salusamson2552
3 жыл бұрын
Ntumie namba zako mama angu nakuomba nicheki ibox 0628969220
@agripinabolingo6476
2 жыл бұрын
Nielekeze na mimi
@jacklinejerr2447
3 жыл бұрын
Twb
@fakihdarusi4385
2 жыл бұрын
Elfu tatu ,Duh
@yaqoobsalim5808
2 жыл бұрын
Mimi nipenda sana hao njiwa
@playstore790
3 жыл бұрын
Hogera
@wilbardkundy5817
6 жыл бұрын
moshi mpo sehemu gani
@gloryayo1277
4 жыл бұрын
Naomba namba zako dada mjasiriamali
@mpalleymwaipola7435
4 жыл бұрын
0753710681
@mpalleymwaipola7435
4 жыл бұрын
0753710681
@erickpasta6154
3 жыл бұрын
samahani dada ubuyu unautengenezaje
@fatmaomarymwiha7691
4 жыл бұрын
Dada nisadie namba nimeipenda Sana
@fatmanasser6829
7 жыл бұрын
mimi najua kupika kashata na bisikuti tofaut tofaut lakini sijuwi nianzie wapi mpaka nipate wateja dada naomba unisaidie kwa hili plz
@leilakassim1992
7 жыл бұрын
Fatma Nasser ,anza kuongea na wenye maduka ya jirani pika peleka, kama unamtaji wa kutosha ongea na vijana wanauza stand unawauzia jumla wao wanauza reja reja,
@fatmanasser6829
7 жыл бұрын
Leila Kassim shukran inshaallah nitaanza kufanya hivyo asantee
Naomba namba zako....mm nahitaji mayai ya bata bukini..namba zangu ni 0712117275
@racheltonola9458
2 жыл бұрын
Aloo Dada mjasiriamali Tafadhali naomba namba yako ya simu.
@zulfamnzava6735
6 жыл бұрын
Kwa dar huu mkopo unapatikana WAP?
@salomebenson5545
6 жыл бұрын
Anaetaka kufuga kuku anitafute nauza incubator automatic(mashine za kutotoa vifaranga)na kama upo sehem hamna umeme tunazo zinazotumia ges,mtungi mdogo unaweza kukaa nao mwaka mzima bila kujaza .nitafute No 0743998234
@piliwisman7020
6 жыл бұрын
mm nataka hiyo incubator Dada angu
@shanelndimbo4138
4 жыл бұрын
I need 1 pls
@conniesilayo250
5 жыл бұрын
Dada Salome Besoni Mm Nahitaji Hayo Mashene nNitafute Kwa Whsapp †254710867858 Nipo nje Ya Nchi but Mm Mtz
Пікірлер: 188