INAWEZEKANA kabisa Ukiwa Na Mungu na ukiwa Na Focus ❤
@LovelyFishingRod-ij7mk
23 күн бұрын
Utukufu kwa Mungu, mambo hayo yanawezekana aswa ikiwa mwaminifu kwa mungu na kila Mtu Mungu anangangia namna ya kufanikiwa, hongere sana dada
@chikujuma18
24 күн бұрын
Mashallah hongera mama mola hamtupi mja wake 💝💝💝💝💝
@HusnaMtitiko-yt4ru
23 күн бұрын
Huyo mume alijipalia makaa na huyo mwanamke ndo alikuwa mafanikio yake lait angekaa naye hadi leo basi wangekuwa matajiri wa maana lakin mwanaume aliona kulisha mkia wake ni fahari kulko maisha angalia sasa huyu mwanamke hata akiwa kwenye ndoa ni muaminifu hawezi kusaliti ❤️
@shakilamasoud2983
24 күн бұрын
Hongera sana dada, Mwenyezi Mungu akuzidishie zaidi
@sir_ENOCKMACHA
24 күн бұрын
Safi sana hongera mamaa hivi ndio vitu navipenda...so inspiring
@seneu.2128
22 күн бұрын
Hongera dada wewe sasa ndio super woman.
@rosemilingi7860
16 күн бұрын
Kabisaaaa
@fidesbernard4835
24 күн бұрын
Hongera mdogo wangu, mpambanaji mwenzangu mwenyezi Mungu aendelee kukupigania🎉🎉
@faudhiasalum7279
24 күн бұрын
Karanga zina lipa sana
@knowledgetv5594
21 күн бұрын
Millard Ayo, Hizi ndio habari za kutweet na sio zile zingine za kukamata wadada poa. Nashauri ungekuwa na kipindi rasmi kwa ajiri ya vitu hivi kwani vinajenga mno.
@husnasalim9614
10 күн бұрын
Nimekupenda sana umezidi kunipa ujasiri kua naweza🤝🤲🏼🤲🏼🤲🏼♥️
@candyismail1256
24 күн бұрын
Hongera kipnz,Mungu akasikie kilio chako
@Kabwela776
24 күн бұрын
Historia ya mafanikio yake naiamini kabisa ni uangaikaji wake binafsi hongera sana mama Mungu akuzidishie !
@ukhutfatumah1154
19 күн бұрын
Hongera sana Kuna midada ipo MTAAN eti ohoo mie nibebe beseni kichwan mie hongera sana my dear
@WilliamIbrahim-dt5nb
24 күн бұрын
Hongera sana
@AsiaSalim-e4d
23 күн бұрын
Masha ALLAH hongera sana ❤
@fatmamansour2764
14 күн бұрын
Mashaallah M mungu akuzidishie kila la kheri akuondolee vikwazo kwenye biashara yako
@gracekunambi7438
24 күн бұрын
Mungu humwinua mtu kutoka mavumbini.
@focus140
24 күн бұрын
Kabisa
@J_Jeromy
24 күн бұрын
Amiin
@user-sj5le4sf7i
22 күн бұрын
Asante malikia wa nguvu ❤ wanawake tunaweza
@daudimichael7338
24 күн бұрын
Hongera sana, wewe ni wa mfano. Mungu aendelee kukubariki utakuja kuwa bilionea siku za usoni
@FghgRyy
15 күн бұрын
Maa shaa Allah hongera sana hata mm naweza In shaa Allah biidhn Allah
@omanmct135
24 күн бұрын
Vizuri sana dada❤❤❤
@user-nc9il2fj1i
19 күн бұрын
Monica hongera hata Mimi napambana mungu atufanikishe
@yusramichael585
22 күн бұрын
Mashaallah 🥰 Allah bless you mpambanaj💪.....nataman nikuone nipo nyankumbu pia jmn
@EvarineMdaki
24 күн бұрын
Be blessed Bertha
@SurprisedBanyanTree-wu1cg
23 күн бұрын
Hongera sana dada
@magrethelikanah5110
19 күн бұрын
Ameeeen ameeeeen safi sana. Mungu atukuzwe.
@beatykrisam81
23 күн бұрын
Mungu nisaidie na mm
@tumainichanya3268
24 күн бұрын
Hongera Sana mpendwa wangu
@emmanueltillya2017
23 күн бұрын
Huyu ndio super woman.mpambanaji wa nguvu.
@RajabuLesali
24 күн бұрын
Ongera san. Mungu abariki. Rizki ya halal
@stonetown578
24 күн бұрын
Allah atazidi kukuongoza.
@tidomilinga3750
22 күн бұрын
Hiyo nyumba haipungui m 50 Kwa macho ninavyoona
@Mlokoz_twangalatwz
24 күн бұрын
Hongera sana dada mzuri
@GabrielMwakasagule
24 күн бұрын
Hongera sana mama
@zuwenasalim2794
21 күн бұрын
Mwanamke wa shoka ,wengi watasema kunakitu chaziada unategemea,lkn hawajui kwamba unasev ,nahaswa ukijua unataka nn nakuamua Mungu akuangulie karanga inahela nyie achen tu
@faudhiasalum7279
24 күн бұрын
Hongera sana mom😢
@devothaemanuel
23 күн бұрын
Hongera Mama
@ayshunamir
22 күн бұрын
MashaAllah
@richardrichope3528
24 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@aboudasilver6541
23 күн бұрын
Mainshaallah
@NellyFrancis-nn3qb
15 күн бұрын
Hongera
@communicativegirls4433
13 күн бұрын
Hii ni historia inayoleta nguvu.
@godfreyally-ps3fo
21 күн бұрын
🎉🎉❤
@annastaziaemmanuel8664
10 күн бұрын
Anaposimulia unaweza ukafikiri ni jambo la week moja tuu,ila ukiwa ushakutana nayo ndo unaelewa
@user-kb7zn8lm8m
20 күн бұрын
Inapendeza mama mjasiriamali
@khamismtoma4902
24 күн бұрын
💯
@EshaMichael-zw7zi
23 күн бұрын
🙏
@GRACENyanda-cn3pg
18 күн бұрын
Kwakweli Mungu ni mwema
@user-hw7kz8rv2c
18 күн бұрын
Amen
@FelisterNampoka
23 күн бұрын
Ongera dada
@pceodhc
24 күн бұрын
Hallelujah! Mungu azidi kukubariki na kukuongeza Katika jina la Yesu! 🙏🏾
@maseleenaesleen8149
20 күн бұрын
Waaaah hata mumeo akiona hii atatamani kukurudia
@NIKIZAGloria-l2k
10 күн бұрын
Mfano wa kuiga
@vicentmapunda3146
24 күн бұрын
😅😅😅au siooo.... !!,hapagwi mtu apa
@ZawadMussa-sd1od
23 күн бұрын
Uyu ni Mimi kbsa mungu mkubwa sana
@khadijamohamed3043
23 күн бұрын
AMIIN
@HanifaOman-oo4pl
24 күн бұрын
Basi. Sawa
@happykiwelu1451
23 күн бұрын
Hiyo ndo Mwanamke wa shoka
@tidomilinga3750
22 күн бұрын
Ulichosema hukua ridhaa kuolewa ulilazimishwa ndicho kilichokukost yawezekana kuna makosa ulifanya bila kujali ndio mana kakuacha
@MyMercy84
12 күн бұрын
Kosa baada ya watoto 2? Amesema kuna mama alikuwa anakuja hapo kufanya kazi za ndani ndio akapindua meza, ni huyo baba ndio amejichanganya, kosa ndio likufanye uende kwa mwanamke mwengine?
@zainabumartin9520
22 күн бұрын
Hii nikweli kabisa hata mm nimejenga nyumba kubwa tu nilikua nauza karanga
@immadangote6001
24 күн бұрын
Tumepigwa
@ziggertv3185
24 күн бұрын
Kwavile unategemea ajira utapata tabu
@user-ur8cq1ye3b
23 күн бұрын
Nauyo mume wako atapitia masha maugumu atoamini macho yake
@MyMercy84
12 күн бұрын
Wanaishiaga kujuta sana
@user-yd9ds1zs1i
24 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 hapa tumepigwa kweli ndug mwandish mtaji wa milioni 2, na mtaji una mkata amejenga nyumba ya milion 30, duuh!
@AshuraMbwana
24 күн бұрын
Inawezekana sana kikubwa kupambana tu bila ya kukata tamaa sisi kwetu tuna Jenga Kwa mtaji wa samaki laki tatu tu
@mariamdullazy8166
24 күн бұрын
Nyumba haijengwi kwa siku moja kwa sisi wapambanaji msingi mara coz mbili mara umemaliza
@user-yd9ds1zs1i
24 күн бұрын
@@AshuraMbwana sizan kama kweli inawezekana
@privasara3971
24 күн бұрын
Mtaji mdogo na faida mtu anayopata havihusiani kabisa.ndani ya mtaji huohuo anaweza akawa anapata laki 5 kila wiki.
@svt3
24 күн бұрын
@@user-yd9ds1zs1iinawezekana tena saana utakuta kajenga hiyo nyumba kwa miaka hata miwili au tatu akipata faida ananunuwa gunia 3au inne ya simenti mdogo mdogo anajenga yote ni ma hesabu na nidhamu ya bageti
@maseleenaesleen8149
20 күн бұрын
Kwa hiyo inaonyesha huyu mtoto wako wa mwisho sio mtoto wa mume wake aliye muacha
@edishaa3108
23 күн бұрын
Aseme ukweli tu nyumba kajenga ama imeshushwa kutoka mbinguni😅
@user-sc9fe7nk6y
19 күн бұрын
Hebu ushushiwe na wewe tuone mie n muuza karanga pia Niko Arusha biashara ndogo ndogo zinzlipa sana wekeza kwenye vikoba au michezo uone kama hujatoboa
@user-dy9fr2mi5n
10 күн бұрын
Naunga mkono
@mwamvuamagongo8163
24 күн бұрын
Karanga hizihizi ??
@SaadaAlsheibani
24 күн бұрын
Eeeh karanga hizo hizo unazokula jioni😂😂
@dicksonkilupa2258
24 күн бұрын
Biashara siyo tu karanga bali ni ile akili uliyonayo inakupa vipi mwanga ma kujituma. Sina mengi dada endelea kupambana wengi tumetokea huko.
@meddixempire292
22 күн бұрын
Suala la kumpelea mtu mzigo kwake mmmh nina wasiwasi hapo utakua na uchi unatoa
Пікірлер: 91