NI Headlines za mwimbaji kutokea Bongo Flevani, Nandy ambae leo amezindua wimbo wake mpya aliyomshirikisha Koffi Olamide uitwao Leo mbele ya Waandishi wa habari nyumbani kwake Mbezi Beach Dar es Salaam.
Sasa Ayo TV & Millardayo.com ilifanikiwa kuzungumza na Dada yake na Nandy & Meneja yake kuhusu yake tusiyoyaju...'Wimbo ni mzuri tunashukuru leo tumeuzindua rasmi hapa mbele ya waandishi wa habari na mapokezi ni mazuri'- Dada yake na Nandy
Aidha Dada yake na Nandy pia alifunguka kuhusu Mjengo anaoishi Nandy na akasema..'Hapa ndipo anapoishi Nandy ambapo amepanga na analipa Milioni 2.5 kwa mwezi ila ana nyumba mbili zipo zinaendelea na ujenzi moja ipo Mbweni na nyingine ipo Goba'- Dada yake na Nandy
Негізгі бет MJENGO ANAOISHI NANDY MBEZI BEACH ANALIPA MILIONI 2.5 KWA MWEZI, ANAISHI NA BILLNASS.?
Пікірлер: 354