Ni kweli anachokisema Jack. Mimi nilikua napenda sana kuchukua mikopo lakini msichana wangu wa kazi aliwakatalia maafisa mikopo wasinipe hela akasema yeye ni mtoto wangu na kiukweli sikupewa hela. Nampenda Mungu amkumbuke kwenye ujana wake ampe hitaji la moyo wake
@eggysulle7988
Ай бұрын
Maana ake n nn binti yko wa Kaz kuyasema ayo?
@kekiplus1andonly
Ай бұрын
Tatizo binadamu tuna dharau,yaaani ukiona mtu yupo chini kiuchumi au mchafu unaamini hana cha kukushauri..ila usidharau mtu,kila mtu ana kipawa chake,kila mtu kuna kitu Mungu ameweka ndani.
@florabuzoya3948
Ай бұрын
Watu wa Kigoma Wanajenga wakiwa wadogo sana,Wateja wangu wa kkoo ni Machinga ila almost wote wamejenga na ukiwaona huwezi amini unaweza ukawadharau ukiwaona mtaani lakini ni wazuri wa kusave sana na kwao Wamejenga na Wanafuga ng’ombe etc na unakuta kaanza mtaji na elfu 50tu
@zainabzain3434
Ай бұрын
Nakubali ni wachumi mno ninao marafiki tena ni ndugu ila kz zao utadharau lkn washajenga ndani ya kinondoni
@abelmbijima4324
Ай бұрын
Binadabu tunajisahau kweli wana msahau Mungu hizo nyumba tutaziacha tu ziwe nzuri au mbaya
@deborahissaya1601
Ай бұрын
Kweli duniani tunapita Ila vitu vipitie kwako acha hasira 😂
@mumyhendry2919
20 күн бұрын
@@deborahissaya1601Asanteee😂😂😂
@chainbre275
Ай бұрын
Hongera kwa house girl 🥰♥️🥰♥️🥰🤗
@Abbakhan.
26 күн бұрын
vidox kafeli kabisa mtihani uo 😄😄
@rhodahfrancismwanga9574
Ай бұрын
Kama vile Vido alivyo nenepa aise big up M Ayo kwa kuwalisha vijana hao vizuri 🎉
@eggysulle7988
Ай бұрын
Milad yupo vilevile😂😂😂
@rhodahfrancismwanga9574
Ай бұрын
@@eggysulle7988 Yaani kabisa 😂😂😂
@eggysulle7988
Ай бұрын
@@rhodahfrancismwanga9574 majukumu meng kichwa chamuuma😄
@nanyangeclara2222
Ай бұрын
😂😂😂
@israelkisaila8401
Ай бұрын
Mpaka amekuwa shapeless
@user-cb7sm8ts2z
Ай бұрын
Bigup sana kuna vitu nimejifunza 🥰
@osmundmtavangu
Ай бұрын
Mkeo anahojiwa redioni kuwa kajenga nyumba we kama mume sijui unajisikiaje kuingia na kuishi kwenye hiyo nyumba😳😳
@rebbywealth9869
Ай бұрын
Ulitakaje? Sio kila mwanamke anapenda uongo wa kufanya mume kafanya jambo kumbe hajafanya chochote
@BigZhumbe
Ай бұрын
Mtume alioa mke tajiri mwenye mihela akawa anaishi kwenye mjengo wake, anakula na kulala kwa mke, na alipofariki akarithi kila kitu, wewe ni nani ukatae kuishi kwa mwanamke wako?
@Gersah
Ай бұрын
Congratulations wolper
@giztony2009
26 күн бұрын
Mke anahojiwa kuwa kajenga kama mume sijui anajisikiaje naona anatumia first singular nimefanya nimeee pumbavu kabisaa
@athumanmbelako4317
Ай бұрын
Millard ayo naomba yauyo dada napenda sana sauti yake
@kekiplus1andonly
Ай бұрын
Naomba mwenye uelewa atupatie standards za nyumba...nini kinafanya nyumba iwe nyumba na zingine ziwe sehem za kujistiri😂😂😂😂
@m.mmarckus6298
Ай бұрын
😂😂😂simbaya bora ninayo yakujistiri
@eggysulle7988
Ай бұрын
Nikawa najiulza nn maana y jakuzi mpka nkaenda google😂😂😂
@vicentmapunda3146
Ай бұрын
Kun siku milad apiliga suit fulan iv aiseeeeee mhhhh
@GemmaSalim
Ай бұрын
Daaaa tutafute hela
@sky-wz5zi
Ай бұрын
Yaan Frida bana😅😅😅
@JaneJoseph-km4bo
Ай бұрын
Sio mzima😂😂😂😂
@aishafrancis7714
Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@beatricejohn1659
Ай бұрын
Hivi nyie mnaongea joto gani? Hivi joto lililopo India 🇮🇳 New Delhi lilifika nyuzi joto 52° watu mpk wamekufa AC zimegoma maji yanachemka terres bongo kuna joto?
@BigZhumbe
Ай бұрын
Saudi Arabia mahujaji zaidi ya Elfu moja wamekufa joto linapika watu alive.
Пікірлер: 34