Safi sana, mafundi woow nimewakubali kitu kimenyooka hadi raha, Mungu awape zaidi waliochanga na Zahir ubarikiwe kwa yote🙏🏽
@nadiahassan1359
2 жыл бұрын
Mashallah Hongera timu nzima ya maximum Tv na kila aliyetoa sadaka yake. Mama Happy Inshallah M.Mungu akupe uzima unyanyuke furaha yako irudi tena hakika hii ni zaidi ya upendo 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🙌
@halimajaphet8926
2 жыл бұрын
Maaashallah mwenyezi mungu awalipe sana kwakazi unayo ifanya
@cocorita8367
2 жыл бұрын
Wahoo jamani mama Happy pona dada uenjoy nyumba yako.
@sadiamassage9589
2 жыл бұрын
Mashaallam haraka sana dah inamaana ukiwa na pesa yakutusha wiki mbili tu nyumba imeisha duh wako sawa mafundi
@hassanmpemba5747
2 жыл бұрын
Masha Allah nyumba nzuri sana kazi nzuri brother zahir hongera zako na waliochangia mungu awazidishie zaid na zaid
@nooor1120
2 жыл бұрын
Maa shaa Allah nyumba sana nzr.,hlf madirisha makubwa hata sio lazima chumba kiwe na madirisha wawili dirisha moja linatosha.
@rahamrahma6259
2 жыл бұрын
Mashaallah hongera sana kaka kwa usimamazi mzuri
@nasraabdallah850
2 жыл бұрын
Mashaallah kweli mafund wapo vizur yani ukuta upo km umepingwa plasta hongera sn kaka zahir kwajitihada zako mashaallah
@adijarashidi1426
2 жыл бұрын
Kaka zahir namuomba Allah akulipe kila lakheri Na atujaaliye mwisho mwema sote in sha Allah
@remiomar7154
2 жыл бұрын
mashaAllah mashaAllah mungu awabariki nyote mliochangia
@kennyrogers4734
2 жыл бұрын
Safi pongezi kwenu wadau kwa harakati zenu ila ushauli wangu siku nyingine mkishamaliza kujenga msingi tu mjaze kabisa kifusi kwenye fondeshen ili kuepuka gharama kubwa ya kuingiza kifusi ndani adi kijae watu watataka pesa nyingi hapo
@fathimamct232
2 жыл бұрын
Dhahir unatupa moto pale unapokusanaya pesa kidogo lakini unatowa kitu Cha uhakika Kuna vituo vinachukuwa pesa nyingi na watu wanaishia kuombewa Kodi za nyumba koala wakati Sasa hapo sijui pamekaaje Mungu akupe khery na akuondoshee maradhi na akuondoshee Hasad za kilimwengu na akupe Pepo kesho kiyama kwa sababu unagiswa sana na watu fukara .
@aishajeanine3552
2 жыл бұрын
Alhamudulillah jmn Kazi nzuri sana Mwenyezi Mungu akujalie umri kk zahir uzidi kusaidiya wanyonge.
@bahatiagape7121
2 жыл бұрын
Jaman kaka zahir...kazi unayofanya ni kubwa sana...Najiuluza tuu...nan anakulipa wewe kwa kaz hyo kubwa unayofanya jmn.Mungu akulinde daima 🙏
@isunga1964
2 жыл бұрын
Woow hongera sana ila hapo kwa jiko wangefanya choo jamni kuna usiku kupika wapike hata kwa kolido kutokea kwa nyuma
@ruqayaruqaya4283
2 жыл бұрын
Mashallah mjengo umenyooka hd raha zahir mungu akuweke mdg wangu inshallah na ma happy mungu amfanyie wepes aje aone nyumba yake inshallah 😢
@saudahassan6667
2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah kaka zahr hongera sanaa allah akuhifadh
Пікірлер: 153