MUONGO BAHARESA ANAJENGA NYUMBAZAKE ZA KUIHUJUMU ZANZNZIBARI TU NA KUWA HEKA SERIKALI NA KUKARIBISHA UMALAYA KWA WATU WA ULAYA NA BONGO TU KULIKO KUJENGA WATU WAKAKAA WENYEWE WAZANZIBARI 😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇👹🇮🇱😇🇹🇿👹🇮🇱😇🇹🇿
@utaani1
6 жыл бұрын
Mimi ninafurahi nikiona bakharesa anapewa viwanja akatengeneza mambo muhimu. Bakharesa ametufanyia mema mengi tu wazanzibar wala hatuna cha kumlipa
@mwanaidiramadhan3919
5 жыл бұрын
👍👍👍
@jemakhalifa6807
6 жыл бұрын
jazakallah
@salehyussuf9675
6 жыл бұрын
Mashallah
@zainabzanzibar1518
7 жыл бұрын
mashaa Allah
@rashidmohamedomar8300
6 жыл бұрын
Bora kula tembele kivulini kuliko nyama juani
@ahmedyoung7300
7 жыл бұрын
nice
@albahryonlinetv9319
5 жыл бұрын
Mbona mskitn haupo mana nao ni huduma muhimu hasa kwa wazanzbar
@casineobote9989
7 жыл бұрын
woooooooo 🙋
@mosaidi2633
6 жыл бұрын
safi sana ,jaribuni na pemba pia
@rashidmohamedomar8300
6 жыл бұрын
mo saidi ss bado hatuna haraka na kabla wizara ya ardh haijatoa ardh lazi EIA ifanyi na tupew full project tuisome tujue amejipanga kuhusu win to win s'tion. Na ss tumueleze tunataka nn. Maana nahisi kukamilika kwa huu mradi hakutokua na neema kwa wanzibari wazawa lakini madhara yote ambayo yatatokana na mrad huu ss ndio tutayoyagaramia. Kuna maeneo mengi kwa hawa watu wa media wanatakiwa wawe wnahoji ili nasi tujue mfano Utamaduni wa W'bar utalindwa vip Watu walikua wanatumia haya maeneo walihamishwaje Kwa kua kuna miradi midogo midogo ambayo W'bar wanaisimamia kadr ya ukomo wa budget zao mradi huu mkubwa umejipangaje kuhakisha hii miradi inaish kwa afya bora Na kwa wle ambao wapo karibu na mradi huu, watapata ajira, hii itasaidia kuwa na usawa katika ugawaji sahihi wa fursa na kuepusha kuona ukoo ya bakhresa tu na marafiki zake ndio wameshikilia all d'ct and indirect oprtunities Kwa pemba ss nahisi tushirikishwe kwen EIA. miaka mitano kabla ya ujenz, Ili vijana wetu wapate muda sahihi wa kujindaa na kuwa wanufaika sasahihi na project Miaka mitano sio ming kutokana maisha ya mradi unavyotarajiwa kuish na pia kwa sasa watu wengi hawana elimu ambayo iwafanya wawa waajirika sana sana watakua vibarua Na hili sio gumu kwa nchi inayopigania utawa bora.
@hassanmfaume4522
6 жыл бұрын
mo saidi kule shirki kubwa Sana wataroga ht nyumba zenyewe..!
@mwanaidiramadhan3919
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@amourmtungo623
6 жыл бұрын
Bab kubwa, why not?
@arafsaaa8844
7 жыл бұрын
mashaallah
@masudikiyungi4338
7 жыл бұрын
Kila la kher ndugu
@mohamedsiadi8144
7 жыл бұрын
kweli au watu wanasema tu jamani
@saidmsomaly7285
7 жыл бұрын
mmmmmmmh zipo 150 tu
@barakobama7429
7 жыл бұрын
waambie ao mim mwenyew nazijua zipo 150 tu fumba moj iy
@ibrahimkhamis1862
7 жыл бұрын
Barak Obama iyo hatua ya kwanza lakn mpaka kumaliza mradi nyumba zitafika 500
Пікірлер: 21