Hapo kaongea tunapagawa sasa sunireni awashone dadeeki
@abuushaymaatz
12 сағат бұрын
Ambacho hamjui ni kuwa Ateba ana akili kuliko yeyote hapa, sababu hiyo kauli Ina faida kubwa, na nimtego mkubwa, laiti hao walinzi wakiingia kumkamia Ateba, watakuwa wame isaidia Simba kukifanya kiungo na wings kuwa vzr, sababu Ahua Atakuwa huru vzr na anaweza leta madhara. Kiufupi sijui Kama mnatafakar hayo maneno vzr
@YusuphJilala-r4e
11 сағат бұрын
Ana akilikuliko madunduka wooote😂😂😂
@rawalidrajabu5360
9 сағат бұрын
Unakumbuka kauli ya kibu mkandaji na kile kilichomkuta?
@Asia-p5r
7 сағат бұрын
Uzuri ni kwamba yanga ni dude kubwa players washatokaga mda mrefu kwenye hizo mind games....kikubwa wameshasikia na natumai wako tyr kupambana sy na ateba tu bali crue yt ya forward line ya simba
@AgnessMussa-jb4gn
11 сағат бұрын
Kachambueni mkeo huwezi ukamwambia mtu mjinga tumikeni sana mda utaongea
@raymondsekabigwa5907
11 сағат бұрын
Broo wewe no human akili. Ateba anajitambua yeye ni mchezaji mfungaji. Lazima aseme malengo yake. Unaumia nini?
@deepseaonline3792
9 сағат бұрын
Nusu fainali ya club bigwa sio ndoto ya simba kashafika 1974 na upande wa shirikisho sio ndoto kwa simba na yanga ndoto ni kutwaa ubigwa wa CAF
@aloycesagara4361
13 сағат бұрын
🔥
@KhalidHoza
8 сағат бұрын
Mbona ngasa aliweka mpaka nyumba yake na alifunga
@noorbazaar9063
10 минут бұрын
YANGA HAIMO KABISA KTK TIMU BORA ZA AFRIKA ISIPOKUWA NI TIMU BORA YA WAANDISHI NA WACHAMBUZI WA TANZANIA 🇹🇿
Kila mtu anahaki ya kusema anachojisikia kwani inawakira nini? Kila mtu anatetea sehemu yake ya kazi
@ChandaruaMchele
8 сағат бұрын
Wewe jamaa acha ushabiki kwani kakosea nini hapo mchambuzi wa mchongo
@noorbazaar9063
13 минут бұрын
HUYU NI MCHAMBUZI WA UTOPOLO FC AMBAYE ANAIAMINI YANGA SANA. UPEPO UNABADILIKA NA NDIO KAWAIDA YAKE.
@meshackleonard
9 сағат бұрын
Hakuna mchambuzi hapa naona mchang'ombe tuu.
@HadijaMussa-cf4em
11 сағат бұрын
Ila filter izi😢
@frayy5595
8 сағат бұрын
Mb zangu daah 😅
@florahcyprian6175
9 сағат бұрын
Mbona aly komwe alisema hatu shindi mechi tano mbona hamku jaji
@Asia-p5r
7 сағат бұрын
Na imekuwa kweli au siyo....
@mitinjemaziku
2 сағат бұрын
Kuongea ni haki yake maana mdomo ni Mali yake yule ni mpuuzi na tutamloga yeye anatakiwa kufunga sio kuongea hovyo hovyo kama zezeta Ye mchezaji acheze aache kuongea kishabiki
@raphaelkyando1094
10 сағат бұрын
Kwani kosa la ateba ni lipi jamani maana alusema wajibu wake na sio kuizodoa yanga na ndio kaja wa hilo
@nasseralshaibani6995
8 сағат бұрын
Hawa watu wajinga. Hakuna mwana Jessica aendae vitani akasema nnakwend kushindwa
@nasseralshaibani6995
8 сағат бұрын
Urinate tabu hawa waandishi wa habari wote malaya
@salymgaimale235
13 сағат бұрын
Hajajiweka ktk wakati mgumu huo ni mwongo wako acheni kutisha wachezaji na wewe maneno yako unayo akiba
@SillinusNyanda
10 сағат бұрын
Wakati mgumu upi c kazi yake.
@HemedMjema
53 минут бұрын
tatizo mkai wewe ni yanga
@khalidsharji2462
2 сағат бұрын
Kama wewe unaihofiya hiyo hofu ni kwako tu
@salymgaimale235
13 сағат бұрын
Hamna kitu nawewe uanategenea akili zako zinalungana na mtu mwingine wakimchezea lafu sheria za mpira zipo tuache maneno ya kichochezi yule ni mchezaji
@SalumSalehe-c8e
12 сағат бұрын
Mkai wewe nikuma mtu anaweza kuongea lolote wewe ndio hauna akili
@LucianaSintufya
7 сағат бұрын
Tatizo Hawa miikundu wakina mkai wasenge kutwa kuisema simba
@Yassin-z6o
10 минут бұрын
Nyie makolo hamtakagi kuambiwa ukweli. Ateba atapata tabu sana, itakuwa kama ile ya kibu denis. Miezi mitatu nje.
@frankmlalila1705
8 сағат бұрын
Neno ateba Hana akil km kichwa Cha habar kilivyoandikwa hapo mbona sijasikia kwenye maneno yke??acheni ukuma maana niliingia kwa hasira ili nimtukane lkn hakuna chochote hapo
Пікірлер: 47