Neema ya Mungu inatosha Sana kwenu... endeleeni kumtegemea Mungu Sana ktk ndoa na huduma pia Mungu Ni mwema Sana ..🙏🙏🙏
@julytito3891
2 жыл бұрын
Haya maisha ya ndoa we yaone tu kwa wenzako yakija kwako ndo utaelwa vzr ,,Mungu aiponye ndoa jmn zinamambo mengi san
@mathiaszakaria7052
2 жыл бұрын
Jamaa ana mke mzuri Sana Mungu aibariki ndoa yao
@marthasimbila8184
2 жыл бұрын
BEATIFUL LADY...Hana shida yoyote hajazoea tu interview
@violettemitchel6772
2 жыл бұрын
Na mie nahisi hivyo....sijaelewa wanaosema Ana stress
@dixminderjngao1056
2 жыл бұрын
JOEL LWAGA ndo una mke mzuri kiasi hiki❤
@mbalilax162
2 жыл бұрын
Her facial expressions tells the real thing she's passing through, far different from her words, the energy she's using to convince herself everything is clear, it's not much enough to stimulate her body language...may God encourage her, something's wrong somewhere😔
@celinamgundoi8420
2 жыл бұрын
Jamn waja tupunguze maneno halafu km ishu ndoa hakuna ndoa isiyokua na changamoto na pia km mnampenda kwel pigen goti na muwaombee wapendwa wetu kuliko kujaji na kumuhukumu mtu pia hatuwezi jua km anauchungu moyon ama furaha hyo ni siri yake mwenyewe kikubwa tupunguze kuhukumu tusije tukahukumiwa sisi.
@drvidah7030
2 жыл бұрын
Huyu dada kuna kitu anapitia...it seems amehifadhi vitu rohoni .pole mwaya
@millymack1370
2 жыл бұрын
No make up and still beautiful
@magdalenasilasmasayanyika2401
2 жыл бұрын
Bint mzuri mwenye hekima na busara kajibu kwa stara zote hongera Joel umepata mke bora nasio bora mke
@mariasixmund7964
2 жыл бұрын
She is so beautiful Mungu amtunze
@mercysheshikihumba1670
2 жыл бұрын
I love Joel lwaga songs 🥰🥰🥰🥰🥰🥰❤❤❤❤🤗🤗 😂naweza kuwa msaidizi wake ,bure bila malipo
@nellyshivere4267
2 жыл бұрын
She is bitter over something,.. Body language speaks volume. But God is good nothing is impossible with Him
@neemagoodluck4401
2 жыл бұрын
Sure
@JanneleP
2 жыл бұрын
I sense that energy as I start watching ..whatever its ..may God heal her maana people fight battles they never tells anyone
@keziahgitonga670
2 жыл бұрын
Excellent questions and pace. I like how she answered the questions alot of wisdom, grace. She's very personable
@endeshyamat8728
2 жыл бұрын
the lady is cute Mungu akutunze dada.
@mamafranjovlog72
2 жыл бұрын
Indeed beautifully lady
@chani_tayra_official1860
2 жыл бұрын
She's not okay 😢😢😢😢
@joanwakesho3378
2 жыл бұрын
Body language she is not okay
@happinessmillanga982
2 жыл бұрын
Unaonekana unamachungu sana kila unachoweza kupitia Mungu anajua unauwezo wa kuyabeba
@magrethelia1085
2 жыл бұрын
Akiiii She's not Okay 😧😧 Mungu Amtie Nguvu
@lilianjeremia1024
2 жыл бұрын
She so pretty 🤩😍😍
@HappyMwakalikamo
Жыл бұрын
Hongr
@anicyaedward5605
2 жыл бұрын
Wooooh mrs Joel we love you 😍
@zuwenazuwena7764
2 жыл бұрын
Huyu dada anaficha vitu moyoni mpaka sauti inadhihirisha nyieee daaah
@typbhjk786
2 жыл бұрын
Nimecheka kweli embu tafuta interview za nyuma kabla ya haya uone ongea yake ndio uje ucoment tena
@sinyoritamoha1629
2 жыл бұрын
Hajazoea camera tu, ukimulikwa kwa camera lazma uwe na kiroho dunda, ukiwa na machozi ya haraka unaweza kulia kwa hofu😂
@janepatrickmesso7487
Жыл бұрын
Mungu aponye ndoa zetu jmn😢
@nemajaquecene9167
2 жыл бұрын
Karembo mashallah ❤️
@elizamwaikasu4367
2 жыл бұрын
Ana uchungu mwingi moyoni..anatakiwa kulia kwa nguvu zote kupunguza sumu
@stellajoseph6235
2 жыл бұрын
Unahisi ni wa ndoa au mengineyo
@tedymwandara5480
2 жыл бұрын
@@stellajoseph6235 Ni ya ndoa ndio.Haiwezekani uvumi ndio asikie hivyo
@rahesterraester8450
2 жыл бұрын
Yaani
@queeniloge3677
2 жыл бұрын
Kwani aliwahi kuwaambia ana uchungu na ndoa yake???
@winnifridaashery8187
2 жыл бұрын
@@queeniloge3677 Nashangaa
@hamoudcreator6343
2 жыл бұрын
Mbona kama kuna jambo ivi machoni mwake☺️☺️
@estherminnahboaz6956
2 жыл бұрын
Wengine wahajazoea ma camera sijui kuhojiwa mbele za watu..amejibu vizuri na yupo so bright na classy👌
@m.mmarckus6298
2 жыл бұрын
@@estherminnahboaz6956 kweli kabisa
@maluumaluu8516
2 жыл бұрын
Kabisa Ana kitu moyoni
@asnathmwaipopo6877
2 жыл бұрын
Congratulations mamy MUNGU azidi kuwatunza vyema katika maisha yenu ya ndoa. 🙏 na azidi kukupa uvumilivu huohuo uliokuwa nao.😘
@kiniyabh8646
2 жыл бұрын
Sijasomea usaikologia, ila huyu dada anapitia mengi mpaka kiwango kutoficha, the voice is really vibrating ile ya emotionally, body language yake pia inaonyesha she is not fine, please girl go for a therapist, astrologyist, or a life coach, to assist you 🙏
@millymack1370
2 жыл бұрын
She is just not used to cameras and interviews..ni uoga tu wa kawaida..kwa mtu asiye na uzoevu huo.
@magynzioka1122
2 жыл бұрын
Mkikimbiloa Wana ume handsome mwimbaji na unawivu utakufa mapema
@rithadonatus8110
2 жыл бұрын
Nyuma ya panzia atujui nini kinaendelea kuwa na mwanaume star ni mtihani
@miladymyla
2 жыл бұрын
@@millymack1370 yes, I want to believe she had tension. I have been in such situations. She needs to be prepared for such for her husband is a celeb, there is no way she will totally avoid interviews and cameras
@lauraadhiambo6851
2 жыл бұрын
Astrologists use witchcraft and other mystical powers that are not of God
@brandsmedia4861
2 жыл бұрын
Hayupo sawa huyu mtumishi🧑🦯
@lilianestephanie7881
2 жыл бұрын
Ilaa😂😂😂😂😂
@angeljihadi7499
2 жыл бұрын
Apati mimba ndio shida na kikwazo kwenye ndoa yao Mungu amsaidie uyu dada kwakweli
@miriamkwembe
2 жыл бұрын
Unajuaje hawataki watoto? Sio kila mtu ana wito wa kuanzisha familia kibaiolojia
@prettynesspastory3111
2 жыл бұрын
Real likitajwa jina Joel moyo wake unaugulia maumivu makari ukimwangalia vzr hayuko sawa!!
@thabealaizer3313
7 ай бұрын
😊❤nampenda
@zabibuamissi1141
2 жыл бұрын
Wangekuja wote kwa pamoja ingependeza zaidi
@araphatimura7970
2 жыл бұрын
My brother Joel napenda San kaz zake zinanibaliki San nyakat zot mungu akubaliki nafamilia yako
@angellugendo3373
2 жыл бұрын
Eti acha kuzingua kaaaah?
@esterjacob2978
2 жыл бұрын
pole my dia,keep being strong...God is Faithfully.
@habbyhalawa5266
2 жыл бұрын
Ur not happy Dada poleee
@jacklinejosephat9973
2 жыл бұрын
Kuna tatzo hapa amna Love yoyote dada pole tafta MTU uongee nae haiwezekan uje kabla ya mume inaonekana kuna kaubabe flan hivi alafu unamuogopa mumeo
@lovenessdiva3370
2 жыл бұрын
Kuna kaubabe kaaah 😂🤣🤣jmn
@jacklinejosephat9973
2 жыл бұрын
Eeeh watu wengne wanaingia na waume zao ukumbini
@hildafrank3405
2 жыл бұрын
Sijui kwann Kuna upepo m,baya wa wasanii wa injili kuachana
@lucygodlove8838
2 жыл бұрын
Body language.....mmmmh something is not right.
@esterntandu1999
2 жыл бұрын
Hata Kama anachangamoto kwenye ndoa yake ndio ayaseme mtandaon?
@mathermartine6760
Жыл бұрын
Mungu anaenda kukupandisha viwango mamy
@maidamwaipopo9603
2 жыл бұрын
Hakuna kitu kibaya kama kujaza vitu moyoni
@magiehermess9949
2 жыл бұрын
Wee acha tuu. Mwisho ni BP
@ericksonpreacher547
2 жыл бұрын
Good and lovely
@janembalinga7074
2 жыл бұрын
Hongera dada uko na maisha privacy mpka raha siyo kama wengine
@najuf8021
2 жыл бұрын
Kadada kazur nahakana hata meakup
@lilacleudafamily8536
2 жыл бұрын
She is composed. Na kizungu chake kuzuri Sana compare na wengi Sana nimewasika kutoka tz waki fanyiwa interviews..Hana shida yeyote Kwa ndoa yake tuwache kukuza Mambo yasiyo kuweka...inaonekana mtumishi anapenda Sana wenye makalio makubwa 😜😜
@zakiamseka9698
2 жыл бұрын
Kizungu ni lugha sawa na kijaluo au kiarabu so wala sio sifa kivileee
@lilacleudafamily8536
2 жыл бұрын
@@zakiamseka9698 hicho Kiswahili chako hapo Tanzania tuu hakuna mahali kina weza kupeleka
@naomim104
2 жыл бұрын
She is not composed...her body language says it all .......
@musamalaba6401
Жыл бұрын
Dada ana hekima yake, hata kama kuna magumu nyuma yake sisi hatujui, ila tunasema kile tumekiona,
@baysuraoman7910
2 жыл бұрын
Mtihani
@edithmakundi8483
2 жыл бұрын
Kuna kitu hapa muangalie huyu dada usoni hayuko sawa kabisaa mioyo hiii jamani ina mizigo kuliko stooo
@uwimanacitegetse9926
2 жыл бұрын
Kiukweki kwamtazamo kunajambo hapo ✍🏿
@munaahmed8499
2 жыл бұрын
Tena kuna jambo zito mno wa huyu dada
@frorenceetoile3016
2 жыл бұрын
Nahisi ana ogapa camera ana aibu saana ndioman
@evakiwia1052
2 жыл бұрын
Hana shida hajazoea interview,hapo hofu ya Camera tuu
mdada anaonekana hayupo sawa kuna kitu nyuma ya pazia
@sweetluc2660
2 жыл бұрын
Kweli huyo Dada hayupo Sawa kabisa moyo wa mtu ni kichaka wanawake tuna beba mizingo Sana moyoni
@barakanatus5676
2 жыл бұрын
Fact
@salmaalimusa6809
2 жыл бұрын
@@sweetluc2660 hasa alipokua anasemq mumewe ni mtu waaina gani katak kulia
@sweetluc2660
2 жыл бұрын
@@salmaalimusa6809 Acha tu a nacheka usoni tu huyu Dada moyoni ana majereha
@jojosky337
2 жыл бұрын
Mzuriiii sana
@veronicasulle1849
2 жыл бұрын
Mmh humu kila mmoja ni mwamasaikolojia wamegundua dada wa watu hana amani hatari na nusu
@marympango9247
2 жыл бұрын
Ha haaaaaaa.....hii ndo Tz.
@veronicasulle1849
2 жыл бұрын
@@marympango9247 hahaaaha haswaa ni burudani tu
@cristinacosmas2156
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@neemaemmanueljackisonemman7486
2 жыл бұрын
Mi nikiangalia naona kama anauchungu sana
@ismaelinnocent6812
2 жыл бұрын
Huyo hajazoea media km wengine bana na sio mapepe mnataka acheke ovyo
@kikie_chyna
2 жыл бұрын
Hana furaha😭
@christinewomanoffaith5479
2 жыл бұрын
Aisee km kweli vile
@cutepretty3619
2 жыл бұрын
Her marriage is not at peace walahi
@seiprei
2 жыл бұрын
Heheeee
@marykadzo1033
2 жыл бұрын
Huyu dada hayuko sawa kuna jambo linamsubua. Hana furaha
@emidahayoub8849
2 жыл бұрын
Haswaaa
@neemangwesa3372
2 жыл бұрын
watu msiokuwa na furaha huwa mnaona wengine hawana furaha pia mxieww
@masalakulwa7601
2 жыл бұрын
@@neemangwesa3372 🤣🤣🤣
@rithadonatus8110
2 жыл бұрын
Hata Mimi naona hivyo
@aminakipande5645
2 жыл бұрын
@@neemangwesa3372 🤣😥🤣
@gellauskololi7196
2 жыл бұрын
Mke akishaanza kwenda kwa media hio ndio mwanzo basi, napenda wa south Africans jinsi wanaprotect family
@tullyibrahim8098
2 жыл бұрын
ni mzuriiiiiiiiiiiii mpaka mzuri tena
@rahmansekela4651
2 жыл бұрын
She is so not okay.
@stellaisote376
2 жыл бұрын
Deborah lukalu
@dosianasimon312
2 жыл бұрын
Mh hapana kuna jambo
@RachelLeonard
2 жыл бұрын
Aliyeona Dada kamchangamkia huyo mkaka wa suti nani maana alikuwa hana amani. Joel hayupoooooo
@leticiabwanduluko3732
2 жыл бұрын
Moyo wa mtu ni kichaka huifadhi mengi pole mwaya wifi
@catherinemaiko7975
2 жыл бұрын
Mange alitudanganyaga mke wa joel alishawahi kuugua kichaa🙄🙄🙄🙄
@marjoriechebetaganyanya
2 жыл бұрын
She's wenging in swahiri😝🤣🤣☺️☺️
@tabithachamhene7956
2 жыл бұрын
Ako na kitu moyoni
@ummydaudi4940
2 жыл бұрын
Samsingi za matter
@shiplegcm4948
2 жыл бұрын
Anatetemeka sana
@florachrist9602
2 жыл бұрын
Oi
@hellohallo7856
2 жыл бұрын
Mbona kama hana amani
@hezrongeofrey1452
2 жыл бұрын
Nyie acheni kuzingua alie nini sasa,kuna kitu gani cha kulia hapo,mnapenda kuzushazusha na kuleta hofu na taharuki zisizo na msingi ili mnayoyawaza nyie yawe realities,mbona kaeleza vizuri tu mambo yake sema homa tu ya Media Interview of which ni kitu cha kawaida kwa Begginers,Hebu ongeeni vitu vya msingi acheni kumkaribisha Shetani kila sehemu,I hate this
@nay099
Жыл бұрын
Ukwel
@tinahpeter1950
2 жыл бұрын
Mbona kama anataka.kulia
@estherminnahboaz6956
2 жыл бұрын
Hii shape duh🙌🙌 kumbe ndio maana munalove anakufa uturuki kwa ma surgery 🤣🤣🤣🤣
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
Hahaaa umenichekes
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
Hahaaa umenichekesha
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
Hahaaa umenichekes
@sirahgodwin1240
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣KWN MUNA YY ANASEMAJE
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
@@sirahgodwin1240 Si anajichonga haaaaa ngoja tusubiri aseme
@junuferjinu1444
2 жыл бұрын
NILIJUWA NI MM PEKEYANGU NIMEONA UYU DD ANATAKIWA AKÀEE CHINI ALIIII EEE SIKU ZIMA KISHA AONGEEEE KILAKITU KAMA MJOMBA MCHUMAR NDOATAKUWA NAAMANI NA NURU YAUSO WAKE ITAONEKANA HISINURU YAKE WALA TABASAMU LAKE KIFUWA CHAKE KIMEBEBA MAMBO MAZITO MNO
@ellyminja5707
2 жыл бұрын
Anza kulia wewe kwanza
@lovenessdiva3370
2 жыл бұрын
@@ellyminja5707 😂😂😂 Ukorofi sasa
@ellyminja5707
2 жыл бұрын
@@lovenessdiva3370 watu wana wivu na mambo yasio wahusu
@mhomboedward7200
2 жыл бұрын
Esco Donald mzee wa masuati kutoka msamaria Choir
@dosianasimon312
2 жыл бұрын
Mhmhmh nono kuna kitu hapa
@mapenzisorotanizimbazimba8742
2 жыл бұрын
Moyo unavuja damu
@agnesssanga7062
2 жыл бұрын
She Is Definitely Not OWWK yan Ako na mambo mob Kwa Moto Wake
@joelsamwel2580
2 жыл бұрын
Twende mbele turudi nyuma Joel kapeleka wapi pete mbona hana pete
@ireneassey753
2 жыл бұрын
Ni muoga kamera anatetemek kidog ata mie singeweza
@hellen1323
2 жыл бұрын
Kuhojiwa bana mtu anakuuliza swali la kijinga unapanic kama huyo dada kasahau kuwa ni mtumishi kauli za kuzingua kinywa cha mtumishi🤣🤣
@maryemanuel6122
2 жыл бұрын
Kawaida sana siyo malaika haishi mbinguni
@fatmahchambo3131
2 жыл бұрын
Dah
@zuhuzuli.5150
2 жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@felistermorungu7976
2 жыл бұрын
Mmmmmh🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@bintnouh4483
2 жыл бұрын
Me nna waswas joel anamnyanyasa huyu mwanamke
@salmaalimusa6809
2 жыл бұрын
Hadi anataka kulia doooo ndoa hz
@ahuriladaniel9849
2 жыл бұрын
Kabisa
@sharonjefwa5475
2 жыл бұрын
Hakuna ajuae kinachomsumbua ..don't judge
@rhodasamwel2485
2 жыл бұрын
Ndo mitandao hiyo my dear izoee tu
@davidkenya6414
2 жыл бұрын
Sometimes interviewers can ruin everything
@neemamwaikenda4238
2 жыл бұрын
Wabongo bhana hayupo sawa kivipi??
@samniza1763
2 жыл бұрын
Umeona eeh!
@magynzioka1122
2 жыл бұрын
Wabogo wape picha wajaze
@neemangwesa3372
2 жыл бұрын
Imagine, yaani wanapenda kuona watu hawana furaha
@melisakemy7071
2 жыл бұрын
Wabongo bwana
@violettemitchel6772
2 жыл бұрын
@@neemangwesa3372 kabisaaa....mie naona Yuko poa tu SEMA hapendi na hajazoea kamera interview.
@patriciaandrew1357
2 жыл бұрын
Joel una mke mrembo
@peterguandaru6239
2 жыл бұрын
This interview Guy is not wise he should read body language. Ata kama nikutafuta content that crap
Пікірлер: 181