Hahaaaa, jaman mbavu zangu fundi amekuja kukaza upande wa pili jaman nimecheka sana
@tumajunior6080
10 ай бұрын
Amekuja kukaza upande wa pili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sopa bana fundi wako mkali amekaza nati sawasawa ❤❤❤❤🥰🥰🥰🥰🥰yani tit for tat
@ombenkallenge1924
10 ай бұрын
🎉🎉like zangu Leo nimekuwa wa kwanza
@MOPEBLETv657
10 ай бұрын
Sopa raha kweli, with sopa, no stress❤❤❤❤
@Nairobi569
10 ай бұрын
Sasa Kaka sopa mbona usomeki unatubadilisha watu kila siku shida Nini au uwalipi Nini sisi muda mwengine ukituondolea mtu nasisi atuangalii yule babu aonekani toshi yule anaetoa macho shida Nini sopa awa wadada awajui kuingiza bwana
@gloryallen5944
10 ай бұрын
We shida yako nini si uone
@theophilwhiteheart1997
10 ай бұрын
kama nitakuwa nawaza vibaya samahanini ila haka kadada mimi naonaga kama ni kahuni kweli kwenye uhalisia wa maisha yake😅
@twahirujuma4221
10 ай бұрын
Jiran yangu huyo mwepesi sana wa kulia
@IDDNZARO22-eu5xx
10 ай бұрын
Hilo nalo neno bro😂😂😂
@jacklinejohn222
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂 pia kuna yule mwingine yupo kwa bhairam Recho anae igiza roho mbaya ila yule pia uhalisia nae anaonekana kabisa ndivyo alivyo
@AloyceEmanueli
10 ай бұрын
Yaaa ujakosea asee
@MikiMorningmiki
8 ай бұрын
Mmmmmmh 😂
@jenifermsele8243
8 ай бұрын
Hahahaaaa!!!! Kweli fundi anajuwa kukaza waya
@user-ds2zd7rl3p
10 ай бұрын
Kazi nzuri
@jacklineteresia2629
10 ай бұрын
Hii nayo noma Sana 😅😅😅
@abdallahkhalikijuma4874
7 ай бұрын
nuru nampenda sana ❤❤❤
@NeemaJosephat-xy3kl
Ай бұрын
Mafundi kaz yao kukaza ili pakae sawa
@CizaFrancine-
10 ай бұрын
Eti sauti ya fundi jamani 😢😢
@hilalyhintay2041
10 ай бұрын
Inabidi uendelee kukaza upande wa pili 😂😂😂 noma sana
@ZipoOnline4289
10 ай бұрын
Sopa hii iko poa sana, nakushauri jitahidi kupitia comment za watu
@ramadhanipadon3577
10 ай бұрын
😅😂😂sopa mzinguaji eti huyu ni fundi umeme amukuj kukaza upande wa pili
@user-ub3dz6ri6o
Ай бұрын
😂😂❤❤❤
@SarahEregwa-yd8rs
10 ай бұрын
We!!!zuri jamani twendelee
@juniorkamarat7233
10 ай бұрын
Noma sana😂😂😂😂😂
@GHgh-hq3zj
10 ай бұрын
😂😂😂 safi
@victoriangasa
10 ай бұрын
Noma noma😂😂😂
@sirielypetrombise519
10 ай бұрын
Noma kweli 😂
@ngaribaonlinetv
9 ай бұрын
😂😂😂😂
@aisha_mohammed5825
10 ай бұрын
❤😂😂😂😂
@fanibakari9315
10 ай бұрын
Nzur
@veronicamnico4773
9 ай бұрын
Safi
@frankanania7810
10 ай бұрын
kwa nn haupendi kugharamikia location yan asilimia kubwa ya movies zako umeshoot kwenye hiyo nyumba hautaki kubadilisha location
Пікірлер: 47