Jaman Kila cku tuna move mpya na Kila move inazidiana kwa uzul hongeren sana ❤❤❤
@hansthegreat8423
26 күн бұрын
Asante sana
@Janubaba-rz2xs
26 күн бұрын
Safi kaka 🎉🎉
@TwalibuMohammed-pm2by
22 күн бұрын
Mmmmmh wachaaa kurukutata matetele😂🤣🤣🤣🤣👋
@JacobEston
26 күн бұрын
Umeupinga mwingi mkuu🎉🎉🎉
@Empereur_randall
19 күн бұрын
Uyu jamaa mina mkubali saaana CHILI ni mtalamu sana nawafata toka congo DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩 toka utotoni CHILI namuamini muno
@SaidShaban-zj7mc
26 күн бұрын
Nawasalimiaaa sanaaa baba yangu Nassib kutoka lishoto kwadoe pamojaaa na mama yanguu lechooo
@oasisfilmz5913
26 күн бұрын
Kazi njuri mkuu 🫡✌🏻
@Mbonde-f9l
3 күн бұрын
Mr kipala😂😂😂
@DonMooFILMES_Express
25 күн бұрын
Ninaanza kuona kila anayejiunga na Clam anapata mafanikio 🤝 Sikutegemea kama CHILI angeweza kuja na channel yake na nguvu kubwa namna hii
@Tabiatz
25 күн бұрын
Kunawatu wanajuwa utu nakujali wenzao clam nimtu nanusuu pia anaimani namungu kingine Hana roho mbayaaa ❤❤❤ nampenda buree
@DonMooFILMES_Express
25 күн бұрын
@@Tabiatz kweli kabisa, wengi wanawabana wasanii wao ili wasanii waelekeze nguvu zao zote kusapot channel zao
@Kitufemiwashofilm
25 күн бұрын
Hata aukakosew🎉🎉🎉🎉@@DonMooFILMES_Express
@MohdKidabe-e9q
25 күн бұрын
Hata Nami nimelion hilo🎉❤
@KASANGA_FASHION_DESIGNER
25 күн бұрын
Facts bloo @@DonMooFILMES_Express
@EmmanuelRaphael-vl6lh
22 күн бұрын
Chili uganga unauwezaga hakuna hyo sin anayokushinda wala kukuweza big up sana mwamba.
@Mbonde-f9l
3 күн бұрын
Kipara Mzee wa extre sound
@YunussOmarAli
2 күн бұрын
Moçambique 😂😂😂🎉🎉
@matugarecords
26 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥 kazi kubwa sana kaka
@hansthegreat8423
25 күн бұрын
Huna baya kaka
@sagevali
25 күн бұрын
Bi migomba na uchawi 🙌😅😅😅😅
@AmaniChari
25 күн бұрын
Bimgomba kuigiza kua mchawi ndio unamfaa
@AmaniChari
25 күн бұрын
Bimgomba mbona kichwa Wazi tangu lin mam
@sagevali
25 күн бұрын
@@AmaniChari hahahaha na ukali wake ule namkubali sana 😂😂
@ZenaKambi-d6n
26 күн бұрын
Ila kipala mtu smart xana ht akiigiza kijijin bd anakua msafi
@AIFOSMUGOTV
25 күн бұрын
Nkimwona kipara tayar nishaanza kucheka kwa kiingereza chake😂😂😂
@hansthegreat8423
25 күн бұрын
😂😂😂
@hansthegreat8423
25 күн бұрын
😂😂😂
@user-ps4oc3nt3u
23 күн бұрын
Kila penye nia kuna njiya hongera sana mchapa kaz mwenzang kwa kazi nzur tupo pamoja❤❤❤❤
@user-yz2ez8ln1b
25 күн бұрын
Kurukutanta matentele br0 nakubali xana kazi zak0🙏
@AmaniChari
25 күн бұрын
Umeikosea hii ya chili
@JumajrJr
7 сағат бұрын
Nakubali mwonyi mkuu
@mejubagu6825
25 күн бұрын
Chilii mungu hakulinde ❤❤❤❤❤
@AmaniChari
25 күн бұрын
Ampe nguvu kwa kweli ila namuaminia huyu baba
@NasriRamadhani-po1lz
23 күн бұрын
Kazi nzur pongezi kwenu team nzima chilli geng 🎉🎉🎉🎉
@hildasanga7234
18 күн бұрын
Chili kama chili analud kwenye ubola wake😂😂😂❤❤❤❤🎉🎉🎉
@AllyYamkiwa
21 күн бұрын
Kazi nzuri❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@TigerGabrielsaint
12 күн бұрын
Kila picha nikiwaona tim vevo 😂😂😂daa nizuri iyo picha 😂😂
@EllyvadiazTz
25 күн бұрын
Kulukutanta ma ntenteleeee hahahaaaaaaa nomaaa mwinyiii
@DonMooFILMES_Express
25 күн бұрын
Chili nikikuona natamani sana umvute na Ringo kwenye Clam Gang ili kamati ya Chili na Ringk irudi hewani. Nimekumbuka sana ile sauti yako ya kisauti 😂😂
@Kasimuhakimukasim
25 күн бұрын
kweli mvuteni naringo tin wait
@DonMooFILMES_Express
25 күн бұрын
@@Kasimuhakimukasim umeona eee?.
@TwalibuMohammed-pm2by
22 күн бұрын
😂😂😂😂
@Mosetieunice
25 күн бұрын
Kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉Much love from Kenya 🇰🇪
@user-bk7de1jv3w
22 күн бұрын
Kurukuntantaantaa wantentereree😂😂😂
@juniorlungula9153
25 күн бұрын
Huyo chili kakomaa kweli, nimekumbuka nyumba ndogo
@user-zb7fs8iw2y
8 күн бұрын
Nmekufolo nanikapita n likes kwa kazi nzuri hongera 🙏🙏🙏🙏🙏
@SkudoMakudubela
Күн бұрын
Kipala we noma😢❤
@SamsonSony-e6e
9 күн бұрын
Kulukutanta mantetelee😂😂#CHILI n mnyama kabisa
@mathiaslyamunda2526
8 күн бұрын
Kulukutanta manteteleee 😂😂😂😂
@murtazaseleman6793
23 күн бұрын
Mwanangu wa faida big fan sana bro
@dr.mgungo1429
20 күн бұрын
Huyu mama namkubali sana sitaki agundulike jmn 😁
@BiisheBugao
23 күн бұрын
Nampenda sana bi hajra ❤❤ 🥰
@EmilykuvunaKonzi
24 күн бұрын
Kazi mzuri sana chill❤❤❤ much love from Kenya 🇰🇪🤜🤛🤝
@peterfujokalogi7821
23 күн бұрын
Waliokuja wakijua ni mkoba wa mama like hapa
@dr.mgungo1429
20 күн бұрын
Mkoba wa mama ipo Kweny akaunti ya Tanu
@Chifutarent2024
26 күн бұрын
Kal
@Awoshy
23 күн бұрын
Abigael ndio utuvalie mguu wa kuku😂😂😂😂❤
@bakarimakame4694
22 күн бұрын
Mungu amcmamie chili
@AmaniChari
25 күн бұрын
Ukista ajab ga Musa utapona ya firaun sjawahi kukuona kipaa akiigiza akiwa na mke
@Kitufemiwashofilm
22 күн бұрын
Huyu chili ni mtu na nusu kiukwel nampenda maan kaz zake ni mzuri sana kwanza ni mvumilivu kwenye game ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@BahatiJemss
22 күн бұрын
Jamani tunaomb episode2
@cleartzboy
20 күн бұрын
Chill unapofanya Kaz na watu make sure unachagua watu sahihi na watu wanao hitaji mfike mbali usfanye Kaz nawatu kwajil Wana majina ushaur
@Shadya-ju2el
Күн бұрын
Iiii move imenikumbusha kgm jmn watu walichapwa ,yan walichapwa , ata ambao hukuwakutegemea jmn 😢😢😢😢
@JayproMedia-gs7ql
12 күн бұрын
Waacha !! Mkongomani toka Bujumbura Chili naku kubali tangu mwizi wa kuku
@king-gtv2010
24 күн бұрын
Chili mwana wa sosi legend
@hansthegreat8423
26 күн бұрын
Unyama
@AllyBabu-kr6lg
24 күн бұрын
Chili mwanafamilia vevo❤❤❤❤
@user-zb7fs8iw2y
8 күн бұрын
Kakaangu unaujua kuupiga mwing much love ❣️❣️❣️❣️
@user-ex2id7sw4x
25 күн бұрын
Hongra mwiny mkuu kwa kaz yak inabamba vilivyo big up san team members nyot
@MussaRamadhani-q7v
13 күн бұрын
Kipara tu sijawai kua na imani naee kabisaaaaa😢😢
@AmaniChari
25 күн бұрын
Hii ya moto kwa kwel
@youngshivaofficial
21 күн бұрын
Kaza mtoto wa kiume 😢😢
@SylviaMaruti-sd6jc
20 күн бұрын
Kipara leo na mke hongera sana tuko pamoja ila twende sambamba msituweke san sasa
@Zainabuswed
11 күн бұрын
Nimeiyelewa sana
@LeticiaKilian
22 күн бұрын
Kazi mzuri sanaaa
@anualhemed6808
22 күн бұрын
Kweli hilo lakini wanachelewa sana kurusha episode snack boy
@Mwashinge255
17 күн бұрын
Kazi bomba toka kwa watu makini kazi zuri sana kaka
Пікірлер: 258