Kiwanda cha Sukari kilichopo Mbigiri Wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro kiko mbioni kukamilika na kinatarajiwa kuanza uzalishaji mwaka huu. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Kampuni Hodhi ya Mkulazi.
Негізгі бет MKULAZI KUANZA UZALISHAJI WA SUKARI MWAKA HUU
Пікірлер: 13