Pamoja na kwamba mazoezi yanasaidia kupambana na magojwa yasiyo ya kuambukiza pia yanasaidia sana katika uimalishaji wa kinga, afya ya akili, muonekano, ngozi na kubaki na uzito unaotakiwa.
FANYA KWEKI, USIBAKI NYUMA
MTU NI AFYA
#mtuniafya #wizarayaafya #projectclear #fanyakweli #usibakinyuma
Негізгі бет Mkurugenzi wa huduma za kinga, Dkt. Ntuli Kapologwe akiungana na watanzania kwenye tukio la jogging
Пікірлер