Katika kutekeleza kampeni ya MTU NI AFYA. Amesema kampeni ya mtu ni afya imejikita katika swala la kubadili tabia ya mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla kwa kuzingatia usafi wa mazingira, usafi wa mtu binafsi, mazoezi ya viungo pamoja na hedhi salama.
FANYA KWELI, USIBAKI NYUMA
MTU NI AFYA
#mtuniafya #wizarayaafya #projectclear #fanyakweli #usibakinyuma
Негізгі бет Mkurugenzi wa huduma za kinga Dkt. Ntuli Kapologwe ametembelea soko la bwilingu lililopo Chalinze
Пікірлер