Mtuowa Mungu unafanya kazi nzuri,,nafuatilia nikiwa Kenya
@juniormakoko1355
8 ай бұрын
Nimeshukuru mungu sana kwa mtumishi wake,,Nimefwatilia mkutano wote nikiwa nairobi,,
@elijahludenyi2673
8 ай бұрын
Hata mimi nimefwatilia kwa ukaribu sana, na ninashukuru sana Mchungaji Baba yangu Abiudi Misholi Mungu akubariki akuzidishie miaka ili ukaweze kusaidia kizazi chetu kwa mafundisho yako mazuri.Kwa hakika sitabaki jinsi nilivyokua nimebadilika kwa damu ya yesu kristo na kufanywa upya mawazo na mienendo yangu Amina
Пікірлер: 10