Ninavyofahamu Mimi mkuu wa mkoa ni raisi wa mkoa kwaiyo unachokifanya mweshimiwa kinaendana na Kasi ya raisi wetu wa awamu ya tano ,nakupongeza sana mh,mungu aendelee kukutia nguvu .
@twalibuchilumbe7751
5 жыл бұрын
Uyu RC angekuwa waziri tu maana duh nakubali kazi zake
@alitesco4943
4 жыл бұрын
Huyu ni future president mashallh
@geromehavyarimana7828
5 жыл бұрын
Namukubali
@skjjsj1889
3 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa. Pongezi sana piga Kz Pambana
@alexmugisha4848
Жыл бұрын
Kizuri hakidumu, ipo siku mama atafanya jambo zuri juu Yako🙏
@subiradalabu6616
5 жыл бұрын
👐👐👐👐👐👐😀😀😀😀
@christopherkizigo5454
5 жыл бұрын
Kiongozi wa kweli anapaswa kuwa hivi. Big up mkuu kaza but safisha magugu yote yanayowatafuna Watanzania
@upendojosefu4457
2 жыл бұрын
Hakika unafaa sana wewe ni kionzi bara mwezi mungu akulinde
@FausitnePonera-fq9pj
7 ай бұрын
Hapo lrnga manispaaa wanakelo sana hao mpka wanaudhi😊
@janethjustin5256
5 жыл бұрын
i am real real impressed with you Hapi usibadirike👏👏👏
@freddymello3227
5 жыл бұрын
Hongera sana Mh. mkuu wa mkoa. kwa Mwendo huu tutafika. Tanzania bora inakuja!
@mwajumajuma3334
5 жыл бұрын
Yan uy mkuu wa mkoa wa iring angekuj tanga raha xan
@freddymello3227
5 жыл бұрын
Mwajuma Juma ,yaani kwa namna hii Tanzania tungefanikiwa sana.kama wote wangekuwa namna hii. ila Tanga ntakuja mimi,naomba mvumilie kidogo
@poulkiarie254
5 жыл бұрын
Aki , Rc Hapy si magufuli akupe transfer uje hapa kwetu kenya unyoroshe kindogo,Hongela sana mheshiwa.
@fatumashabani5341
4 жыл бұрын
Honger san mkuu was mkoa wa iring hii ndo Tanzania mpya Allah akulinde san
@bahatiali5018
5 жыл бұрын
Yaaani natamani uongozi huu hongera kiongozi
@janethnkembo5808
2 жыл бұрын
Kweli.haki itendeke..
@raphaelsikumbi5517
2 жыл бұрын
Rc hapi wewe ni kiongozi safi pia ni hazina ya taifa
@zainabubalama4622
4 жыл бұрын
Mh Rc hapi tunakuomba ufike Kijiji cha Wangama usikilize kero za Wananchi wako
@faidhamyovela179
5 жыл бұрын
Dah kweli hii awamu kali zaman utamuona wap.mkuu wa mkoa ujieleze jaman magu ashukuriwe sikuhiz wakuu wa mikoa tunapanaga mambo pamoja
@maligisadotto8631
5 жыл бұрын
Watumishi wa idara ya ardhi sijui huwa wanafundishwa utapeli chuoni, maana wamekuwa chanzo cha migogoro ya ardhi nchini kote kila Halmashauri ni shida tupu. Wanatakiwa wabadilike vinginevyo watavuna walichopanda.
@bintlola3127
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@magorimagori9264
5 жыл бұрын
hahaaaahaaaaaa
@zittotv9972
5 жыл бұрын
Maligisa Dotto mmm
@chobingozubery1998
4 жыл бұрын
Hongera wajina uko vzur kaza buti hakuna namna
@khamiskombo5965
4 жыл бұрын
Aisee...huyu jamaa cjui katokea wap kiukweli, ila yupo vzr sannaaa...angekuja hata Zanzubar.
@ismaelgadiye4488
6 ай бұрын
Serikali hiyooooo Kali watu wasifanye utani wa mazoea
@mwaisimbashuga-de6fy
Жыл бұрын
Huyokiongoz mzulihanamashala
@MamaAfrica-f7i
6 ай бұрын
Safi sana
@salumjumaruhaga2513
4 жыл бұрын
Kazi wanayoo
@rahelmasiga1503
4 жыл бұрын
Huyu kiongozi Safi Sana unaokoa watu wengi na Mali zao hiki kipindi Cha awamu ya tano kila mtu Ana Uhuru wa kuongea haya jamani hayakuwepo ndio maana watu walikua Wana uwezo wa kufanya chochote
@grorynanyaro5571
2 жыл бұрын
Daa angeletwa kwetu arsha
@devothaignatus5911
2 жыл бұрын
Jmn ww baba naona unafaa kuwa Rais unaakili sana unaongea point tu
@severinifulgensi2686
5 жыл бұрын
Ha! Filikunjombe cha mtoto,waliopotelewa na mh Filkunjombe umewashaulisha machungu
@anafisuleimani7083
5 жыл бұрын
Safi sana mr hape kazi yako ipo vizuri sana
@sarahlydia2635
4 жыл бұрын
Tell them
@missmoresa8854
5 жыл бұрын
uko vizuri tetea wanyonge mungu atakulipa
@alexisnduwimana4363
4 жыл бұрын
Napenda gisi uu mku wa mkoa anatatua mgogoro ya wana inchi ningebaatika kuona number yake ya sim ya whatsapp
@PeterMarceli
5 ай бұрын
mkuu we mfano kwa viongozi wengine
@barrysulty1756
5 жыл бұрын
Kwa Awamu hii ya tano naona watanyoka hapa kazi2 tumbuwa wote walaji rushwa wanaoibia serikali nà wahujumu wote!
@ismaelgadiye4488
6 ай бұрын
Huyu ni mkali kuliko makonda tena siyo mchezo
@dariusmutunga6842
4 жыл бұрын
I can see the next magufuli in Tanzania keep it meeen
@barakamweta9958
4 жыл бұрын
Wamezoea utawala uleeeeee. Hawo wanga wa maendeleo, wamgeie. Wakuu wamikoa wengine wamelala utafikiri wao hawana matatizo, Raisi watoe wanaolala, kijana huyu, sabaya, makonda sikuhizi yuko kimya sijui kwanini, kwanini hujui, mtoehuyo
@barakamweta9958
4 жыл бұрын
Hawo wana siasa za analogy. Watumbuwe, Kazi kukaa ofisinitu, utafikiri wako lasaba, wasomi gani, wehu, watoe wote, mijeuri Hiyo,
@stanleyofficial6913
5 жыл бұрын
kamaa umemwona diamond wa iringa akiwaa kalibu na maiki like hapa
@oliviamasao2891
4 жыл бұрын
Mlizoea mnakaa ofisini kama mabwanyenye kila siku njoo kesho njoo kesho... mmenyooka mxiuwwww
@beatricenicholausiwasa7601
5 жыл бұрын
hichi kipindi cha magu mtanyoka tu mmetutesa sana
@jamaliddiin9357
5 жыл бұрын
Beatrice Nicholaus I was a hhhhhhhhhhh kweli kk acha wanyooshwe tu ,lkn cha ajabu , wakuu wa mikoa wengine wako wapiiiiii???
@maligisadotto8631
5 жыл бұрын
@@jamaliddiin9357 wengine naona kama hawaungi mkono nyendo za Rais na yeye anawacheck tu nadhani anawapigia timing🤔
@partohmsee5992
5 жыл бұрын
Kongole sana kwa kazi nzuri tanzania,,,Hila kenya tunaeza pata mmoja kama wewe,,,,,Kongole ...kongole
@salumjumaruhaga2513
4 жыл бұрын
Wapi makavu maana haooo
@rashidjumanne1984
5 жыл бұрын
Yaani Kama raisi mkoani haijawahi tokea
@exaverykalinga1487
4 жыл бұрын
Mimi huwa nafurahi sn kuona kiongozi anatetea wanyonge kama huyu.soma coment za watu ndo utaelewa.pig up rc happ tunakupenda wana iringa.
@salumjumaruhaga2513
4 жыл бұрын
Dhulma kubwa sana
@naomikakingo7070
5 жыл бұрын
Haaaaa mheshimiwa hakukosea kukuchagua nakuelewaga sana
@japhethbaalinda1756
2 жыл бұрын
Watu kama hawa ndio samia hawataki sasa ndio wananchi tujue ni serikali ya aina gani tuliyonayo
@mercypeter162
2 жыл бұрын
Hawa watumishi wa arithi wathulumaji sana wa viwanja via watu
Dionise Myigezo Iringa mmepata kiongozi bora mtumieni mpate maendeleo
@furahalunyungu936
5 жыл бұрын
na mikoa mingine muige mfano huu mzur sana wananchi hatutaichukia serikali!!!!!
@hamadshein935
5 жыл бұрын
Hpa panaitwa akuchomae mchome.
@cheupestefano5424
4 жыл бұрын
Mheshimiwa even the fake letters those officers write they don't post them until the day you visit lands office and they open your file, you get surprised when they show you copy letters they claim they sent you
@aimeetshibangu2334
5 жыл бұрын
Hapi you are the best ❤️❤️❤️💯💕💕💥💥💥
@dastunluswaga5182
5 жыл бұрын
Sawa kijana mwenzangu wambie hawa jamaa yaan ukiandika barua ukapeleka utaambiwa acha namba ya simu tutakuita uje ujukue ndio ushaachwa hivo...
@imeldabamba3779
5 жыл бұрын
Dastun Luswaga halafu nilichogundua hawa mipango miji wanauza viwanja vya watu walivyoachiwa na wazazi wao ndo wanauza,tunapata mashaka kununua viwanja manispaa,wanasumbua kinoma.Ukifa ghafla ndo ushadhurumiwa hivyo,bora kununua kwa binafsi
@KP-kn2no
4 жыл бұрын
Kweli mkubwa watu wameteseka mda mlefu
@matataoneproduction5355
2 жыл бұрын
Tunaomba muendelezo
@abdulmusa1446
5 жыл бұрын
mkuuu nakukubali sana tuendlee ivo ivo ayo salute kwa kukutup taarifa
@mashakangecha762
2 жыл бұрын
66
@OmanOman-fk7ke
4 жыл бұрын
Watanyooka
@maryamalzadjali9833
4 жыл бұрын
.
@zainabuahmed5910
5 жыл бұрын
Safi sana Dogo, Kuna masnema mengi kwenye utendaji
@dominikishilali1377
4 жыл бұрын
Kazi. Unayo mkuu wamkoo kila siku tabu Sana tanzaniz tulikua naviongozi magumashi sana ila namini hii ndio selikali ya wanyonge
@winfridawilliam2289
5 жыл бұрын
Kamweneeee Hapi safi sana
@radhemohan7490
5 жыл бұрын
nakufatilia sana mkuu wa mkoa nataman uwe Rais Tz tutaeshmiana na ndoto ya kukua kwa uchumi itatimia.. baadh ya watu kua juu ya sheria ndio kinachodumaza maendeleo ya uchumi wa nchi👏👏👏
@msuyaothman2999
4 жыл бұрын
Uwe unarusha clip nzima sasa hapo hatujajua khatma ya kesi hiyo
@husainabdu2676
5 жыл бұрын
Bravor sana kaka mkuu wa mkoa Ally hapi
@thabitkassim4668
5 жыл бұрын
Kama wangekureta mkoa wa ruvuma
@deomsigwa3150
5 жыл бұрын
kaka upo vizuri wamezoea kk
@gabysixleonard7624
5 жыл бұрын
NATAMANI WAKUU WA MIKOA YOTE WAWE IVI MUNGU AWASAIDIE SANA...HONGERA BROTHER HAPI...
@dekinho2020
5 жыл бұрын
I swear this guy deserve tz president aki ya mungu next magufuli big up ally hapi
@rashidjumanne1984
5 жыл бұрын
Muheshimiwa mkuu was mkoa magufuli mungu amjalie kuwapata watu Kama ninyi Nani angetatua matatizo haya watu wengi tumedhurumika ila mi nakuombea maisha marefu
@radhiasalum7156
5 жыл бұрын
Hawajui wajib wao.wanajua kupata pesa tu😂😂
@shadyachambo4253
5 жыл бұрын
Hapi ukuje na kwetu Tanga uwanyoe na chupa
@fatoomfatoom5590
5 жыл бұрын
🤣🤣eti km mchawi Ally HAPI MUNGU akusimamie kwakweli
@RamazaniMulongeca
5 жыл бұрын
MH NASSARI ALIANDIKA BARUA KWA #NDUGAHI BILA MAJIBU.. MESSAGE SENT
@oscarmarandu1346
5 жыл бұрын
kazi nzuri mweshimiwa sisi sisi wa hali ya chin ndo tuna oneana mwisho wa siku tuna laumu serikali na chama, tungepataviongoz wa namna hii tunge heshimiana pumbavu
EDSON MBILINYI kinachosemwa na wananchi kweli tupu kaka,MIPANGO miji Iringa ni shida ,kuna rafiki yangu walimdhulumu kiwanja chake ilhali alishakilipia wakawa wanamzungusha kumpa hati,basi alimua kunyamaza tu ikabidi akanunue kwa MTU binafsi na kashajenga tayari,yaani MIPANGO miji ukishalipia kiwanja hiyo hati utazungushwa weee km pia
@fatmakessy981
5 жыл бұрын
Yaani kumbe kunawatanzania waaina hii kwakweli nikitu chakushangaza mungu akubarik kk naakupenguvu naakuondolee husda .nakupenda sna🙏
@matingo-bk1248
5 жыл бұрын
Kazi mzuri
@anthonykenneth.1780
4 жыл бұрын
I wish Kenya was like this
@salumjumaruhaga2513
4 жыл бұрын
Jipuuu
@fahadfahmy
5 жыл бұрын
Muheshimiwa Ali happy una endesha sheria Kiisilamu.
@teddymwageni1763
4 жыл бұрын
Hapi mwili mdogo Ila mambo yako makubwa ,nakupendaga bureee
@allyabdallah7822
5 жыл бұрын
mueshima ongela sana kwa kazi yako mungu atakulipa
@shukuruilomo768
5 жыл бұрын
Mkuu hongeraa sana toka nazaliwa sijawahi kuona mtetezi wawanyonge
@bahishaalexander3641
5 жыл бұрын
ni kati ya wakuu wa mkoa bora kabisa kwa sasa kwa kutathimini anayoyafanya.inapendeza sana.
@mamymamiza2924
5 жыл бұрын
Mungu akulinde na jicho baya la mahasidi
@fredykephacy9230
5 жыл бұрын
wanyoooke wezi hao
@revinastephen1702
5 жыл бұрын
Waambie hao wachawi wanajikuta !mungu
@imeldabamba3779
5 жыл бұрын
Revina stephen 😀😀😀😀🙌🙌🙌🏃🏃🏃🏃
@bakariluhala7332
5 жыл бұрын
Upo sawa hapi piga kazi
@kurwaisinika3011
5 жыл бұрын
Mungu akujaalye
@MrEve1975
5 жыл бұрын
Safiiii sanaaaaa yaani kweli unataka kuuza nyumba kisa 1m tena ya ugangaaaa????? mfyuuu zao kweli haki ya mtu inarudi hata ipite miaka 50
@mbokaandbahatitv8509
5 жыл бұрын
Siku moja Utakuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
@bahatimgaya6095
5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa kweli yupo kazini. Tukienda ivi dhuluma hato kuwepo.
@zaitunmtove4050
5 жыл бұрын
Asante Sana mkuu wa mkoa wa iringa wanyooshe baba wamezidi Sana iringa mpya ndo hiyooooo na magorofa mapyaaaaa
@mamymamiza2924
5 жыл бұрын
Nakuomba hapi ugombee ubunge ili uwe waziri mkuu utusaidie wote asante magu
Пікірлер: 170