Safi sana jeshi letu la TANZANIA MUNGU azidi kuwajaria moyo wakuzidi kuipenda nchi yetu TANZANIA 🇹🇿🙏
@glorymushi6158
10 ай бұрын
Woow napenda sana hii kazi Mungu bariki katika uzao wangu atokee mtoto mwanajeshi ee Mungu wa mbinguni pokea maombi yangu
@jogoomohamed2652
2 жыл бұрын
Safi jeshi letu,safi nchi yangu,safi sana viongozi wangu.MWENYEZI MUNGU bariki nchi yangu/wananchi wote siku zote.Inshallah
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
3 ай бұрын
Kazi ya kiume bado sijaiona kwanza tanzania kijesh inatakiwa tuwe juu sfrika masharik tuwe juu sana tusiwe wakilinganiswa makenya wala uganda hao wana uchumi wa kuombaomba
@ElishaKasoga
4 ай бұрын
Dah may Almighty God bless u all
@gidofond5119
Жыл бұрын
Kozi imewachukuwa kisawa sawa 🔥🔥🔥
@fauziashabibu1467
Жыл бұрын
Napenda sana jeshi Mungu awabariki sana
@abdibilali4186
2 жыл бұрын
pamoja Sana najubali mna sura za kazi hakuna kucheka na kima
@emilkawala6563
2 жыл бұрын
Bless up, JWTZ
@dazookman6417
2 жыл бұрын
HONGERENI SANA mAKAMANDA WETU, MJAALIWE uTUMISHI ULIOTUKUKA
@josephmbunda992
2 жыл бұрын
So Good
@sir_ENOCKMACHA
2 жыл бұрын
Daaaah jeshi zuri sana
@mardadimakame8356
Жыл бұрын
Hii ndio kz ya kiume
@robertmakwaya3528
2 жыл бұрын
My dream
@franksindano6770
2 жыл бұрын
Nzur
@twangakusaga8281
Жыл бұрын
👏👏👏👏
@rostermacarious7597
2 жыл бұрын
#JWTZ
@ItsFrankKAPANDE
8 ай бұрын
One day yes😢
@sirahabely9444
2 жыл бұрын
Nc
@sdeshnjwetr6707
2 жыл бұрын
VIVA TANZANIA 🇹🇿💪🇹🇿VIVA WAZALENDO WA TAIFA 💪🖤💪
@MsetiChacha-kl9ug
Жыл бұрын
Sm
@nurdininanjota4056
Жыл бұрын
👊🏾
@michaelmarcus1570
2 жыл бұрын
Anaerekodi ajitahid kuwa na utulivu
@ashasuleiman1464
2 жыл бұрын
🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
@raymondsanga4108
2 жыл бұрын
Kuna mshenzi mmoja aliulia ndoto yangu yakuwa hivi but ashukuriwe mung
@aminatundondege9384
2 жыл бұрын
Pole Raymond 😅😅😅,nacheka kama mazuri,ndo hivyo binadamu tulivyo..
@abdibilali4186
2 жыл бұрын
wewe ni mm
@raymondsanga4108
2 жыл бұрын
@@aminatundondege9384 jamaa aliniambia et four ya 28 huwezi enda jeshini wakati mpk darasa la Saba wanaenda daaa maisha haya
@experkiria7892
2 жыл бұрын
A
@gaudencerayner5970
2 жыл бұрын
Hawa ni ma private au?? na kama ni ma private walianza course kwa muda gani mpaka wamamemaliza? kwa anaefahamu please
@fotunatamakusi7073
2 жыл бұрын
Hawa ni wale walioingia jkt mwaka 2017 walikuwa kwny Umeme wa mwl Nyerere tufikishe wanajitolea. Kizito ya jwtz wameingia mwezi wa 1 mwaka huu na trh 25 mwz wa 6 wamehitimu. Mmoja wapo ni mtt wangu.
@gaudencerayner5970
2 жыл бұрын
@@fotunatamakusi7073 dooh aisee so walikua JKT miaka yote hiyo 😓😓 mpaka 2022 ndo wameingia JWTZ aisee apo tuu me ndo nnaposhindwaga kujiunga na jeshi
@fotunatamakusi7073
2 жыл бұрын
Yaani acha tu miaka 5 ndio, magu alisema awapi ajila mpk wajitolee.nilikuwa namtishia moyo Mwanangu awe mvumilivu, na yeye jeshi lipo damuni ameajiliwa
@gaudencerayner5970
2 жыл бұрын
@@fotunatamakusi7073 Aisee me pia napenda sana jeshi ila apo tuu kwenye kukaa miaka mingi bila kuajiriwa ndo nachoka
@gidofond5119
Жыл бұрын
@@gaudencerayner5970JESHI NI UVUMILIVU MZEE, KAMA HUNA UVUMILIVU NA UZALENDO HII KAZI ITAKUWA NGUMU KUPATA.
Пікірлер: 35