Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda Aahirisha Mkutano Ghafla Wilayani Monduli
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda ameghadhibishwa na malalamiko ya mwananchi mmoja ambaye amefanya kazi nyingi za ujenzi Wilayani Monduli bila kumaliziwa malipo yake.
Mkuu wa mkoa wakati akisikiliza majibu ya mkurugenzi ameonesha kupatwa na gadhabu na kulazimika kuahirisha mkutano wake ghafla.
Негізгі бет Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda Aahirisha Mkutano Ghafla Wilayani Monduli
Пікірлер