Wahalifu wote kutoka Tanganyika wakabidhiwe polisi wa Tanganyika , wasiwachwe kukaa ZANZIBAR.
@shamzone388
Жыл бұрын
Sio wahalifu wanatoka tanganyika Wahalifu ni sisi wenyewe wa zanzibar Mashoga na wezi na wabakaji ni ni hapa hapa tuombe stara kwa allah
@margarethpolepole7438
Жыл бұрын
Ushirikina umetawala hapo mtoto kumbaka wa mwaka mmoja huyo ni muuwaji auwawe na yeye akishikwa
@pilykingo
Жыл бұрын
Wambieni hao polisi waanzishe njia mmbadala kuhusiana na uporaji wa simu au kukwapuliwa na wezi wanao tumia honda .mmbadala wenyewe no kwamba usafiri wao wawe wanatumia gari za umeme badala ya mafuta kwasababu mafuta ghali lkn umeme ttunao mwingi hivyo gari na honda za doria zao zitakuwa masaa 24 zinafanya kazi .hata ajali zitapungua barabarani kwasababu kila njia na mtaa utakuwa unapita doria za vyombo vyao
@salimsaleh9354
Жыл бұрын
madada poa wakiwepo ndio wanaleta ushawishi kwahio ufumbuzi waondoshwe , kama hakuna bidhaa sokoni mtu atahifadhi pesa yake
Пікірлер: 7