Hongera sana baba kweli umesomea na unajua vyema unacho kisema, Mungu akubariki sana baba.
@Sayilugandyakilulu
3 ай бұрын
Congratulate my father 4zt
@mselemkombo4834
6 жыл бұрын
Ukweli utabakia kuwa ukweli huyu jamaa ni level ingine . anajua anachoongea na Shelia imekaa vema . mifano hai anayo . mungu amjaalie sana .
@jovenaryjoseph1360
6 жыл бұрын
Great speech. I salute you Prof.
@binbadru1654
3 жыл бұрын
mie naona mnahangaika tu sheria nzuri za kufuata ni zile alizotuletea M/Mungu peke yake,huko mliko ni mzunguko tu hamtapata suluhisho
@uthmanihimbawe5244
3 жыл бұрын
Umesema kweli
@muhammadkassim6291
2 жыл бұрын
Sahihi
@JoelSanka-m6e
6 ай бұрын
Kabudi mm nakukubali sana unajua kweli mungu azidi kukupa maisha marefu all best
@kennedjohn5785
5 жыл бұрын
Wow!!I've enjoyed your presentation Prof.
@geriadsuku8167
5 жыл бұрын
Sichoki kusikiliza hotuba zako pro kbd your genius
@hassanmaulidi8068
5 жыл бұрын
prof wewe nimsomi unaejua jamii zetu
@sammabula7359
6 жыл бұрын
I love this man let him run 4 presidency in future I will campaign for him
@danielezekiel9341
6 жыл бұрын
Hazina ya taifa. Kweli ww ni professor. Umeeleweka vizuri sana prof.
@noboatiman
6 жыл бұрын
Nampenda huyu Professor...he knows a lot....
@noahsr3827
6 жыл бұрын
i love watching thin Man... anajua anachokiongea
@hamismwangi4642
6 жыл бұрын
Huyu waziri akianzaga kuongea nakaa kimya kumsikiliza anaijua Tanzania vyema ni moja ya tunu zetu tulizobarikiwa akiongea hutotamani amalize
@kaizamulinda633
6 жыл бұрын
Kabudi ni baraka kwa Taifa
@alihijiiddi8977
6 жыл бұрын
MUONGO HUYU HUMFAHAMU TU MUONGO KWA MAMBO YA MUUGANO NA KASOMESHA MAZUNGUMZO YAKE SINTOFAHAMU HUYU ANAWAZUBAISHA NYIE TU NA VICHWA VIBOVU MCHONGANISHI HUYU ANALOZUNGUMZA LEO KESHO HAJUWI AZUNGUMZE VIPI 😇😇👹👹👀👀
@@alihijiiddi8977sasa uongo uko wap hapo Mtu anatoa na facts Kama unampinga thibitisha kwa facts Yaan Tanzania ni ngumu sana
@r14kgroup68
3 жыл бұрын
Sina Cha kuongeza wakupe umakamu warais
@abelmlandali3155
6 жыл бұрын
Very inspiring prof...
@michaelkadege761
5 жыл бұрын
Mko sawa
@robertchuma6408
6 жыл бұрын
mheshimiwa nnakupongeza Sana umeelezea vyema jambo hili Mungu akubariki Sana
@mussamaina444
2 жыл бұрын
Hongera mwalimu
@CoachYusuphMagige
5 жыл бұрын
Wewe Mzee unajua nafurahi kukufahamu. Naweza sema wewe sio Mzee bali ni kijana. Nakumbuka prof Shvji alisema ujana sio umri Bali ni fikra. Nakupenda sana Prof Palamagamba Kabudi
@ConfusedDaisies-rb5
7 ай бұрын
Sahihi kabisa
@yunusmtonga2257
5 жыл бұрын
Hongera mwana sheria mbobezi Safi sana wape somo
@festondile2039
6 жыл бұрын
Mh Kabudi unaelezea vizuri yaani kama unatoa lecture vile,ama kweli unaeleza kisomi na kwa umahili mkubwa,wewe ni hazina kwa taifa letu.
@LyimoKing
8 ай бұрын
This is fantastic
@emmanuellyatuu4103
6 жыл бұрын
Well articulated!!
@fadhilbenedicto4499
4 жыл бұрын
Umeongea point Prof
@mo-tm6sr
4 жыл бұрын
Dah! Kiukweli Tanzania bado kuna viongozi bora sanaaaa
@erickhaule8680
6 жыл бұрын
kweli we ni profeser aisee
@imamumponda276
6 жыл бұрын
Muheshimiwa uko vzr bonge la speech aisee unaonge kwa comfidence
@hassanali9310
2 жыл бұрын
Lazima washindwe mana ndoa sio suala la serikali ndoa hufungwa kwa itikadi ya dini
@wakutingwa.1635
6 жыл бұрын
Asanteee!!!
@daudimwakapimba649
6 ай бұрын
My role model
@aliaboud7517
4 жыл бұрын
Huyu jamaa Ana akili sana mungu akubariki Prof. Kabudi
Safi mr kabudi tunakuaminia sana ktk hili janga la ushoga
@bisekoc.k.jenjela7936
6 жыл бұрын
Prof, Kabidi huyo, yuko poa sana.
@antonymathew869
6 жыл бұрын
Maelezo mazuri mhe. somo zuri
@gracesiyon7976
6 жыл бұрын
Natamani ungeongezewa muda mh.ukaendelea kufafanua mambo
@frankthomas2648
Жыл бұрын
I have re-watched many times
@hhmanyamba2871
6 жыл бұрын
azina ya tanzania pro kabudi
@nabasonsanga8593
5 жыл бұрын
Kati ya mawaziri aliekaa ktk nafasi yake kweli basi ni huyu mzee
@Felix-e6t4m
Ай бұрын
asante sana ndugu kabudi Sheria ya ndoa wakeni kando mbona mna kwepa Sheria ya ardhi mnaona kabisa watanzania wameongezeka je wewe mbona unatuambia mambo wingereza je nakuuliza itatusaidia nanini sisi wamasai na wasukuma tunakuambia mtanganyika alioko wingereza je serekali ya Samia mbona aiwapi vijana uwezo wa kujitetea wananchi webaki kulazimishwa Kuimba Samia na CCM je uta kubaliana namimi kwa Hilo mnapigiana makofi msiejua ni asira asira ya wanyonge je nakuuliza mbona jamii maaa serekali inawaangaisha je nakuuliza kabudi Sheria ya ndoa wakeni kando tuongee lee maisha ya Leo na kesho kwa kizazi Cha Sasa na Cha kesho je nakuuliza tafadhali sana sisi kama watanganyika atuko tayari kutawaliwa Tena na waarabu tumekataa magufuli alisema kuhusu watu wa Tanzania weomgezeka je kabudi serekali inafahu ilo ama aijui je nakuuliza katiba mpya mumeweka kwenye jalala watanganyika awapendi kudhrauliwa pia awapendi kupuuzwa wa kunyanyaswa aiwezekani kamwe CCM iwadhamini wageni na kuwapuuza raia vijijini kwa kuwanyanganya ngombe zao na kuwatoa majumbani mwsho na kuwapeleka kusiko kwao kwa zigua mbona wenu ni simba sauti ya wanyonge
@mwengwamwengwa2633
6 жыл бұрын
Prof kabudi huwa nakuelewa sana endelea kutoa Shule kwa vilaza
@yolakahmathews6913
6 жыл бұрын
Jamaa kichwa.
@emmanuelmlowe-ew7gx
Жыл бұрын
Kaburi ni shida kwel
@emmanuelmlowe-ew7gx
Жыл бұрын
Samia aliumiza sana watanzania kumwondoa huyu jamaa na lukuvi halafu akaweka watu ambao niwezi watupu.
@williamgideme2689
Жыл бұрын
Palamagamba endelea kutuelimisha, hata ile sheria ya kujamiiana, ya kijana wa kiume kuitwa kabaka na wa kike akizaa anarudi shule yule wa kiume anafungwa maisha. Inaakilllliiiiii? Kuna mambo ya kifanya . KUFUNGWA MAISHA AU MIAKA 30, TUNAIANGAMIZA ZAIDI KIMAADILI.
@teddymwageni1763
3 жыл бұрын
African life span imeshuka jamani punguzeni umri wa kuolewa mwanamke uanzie 16.pia umri wa kustaafu uwe 50 kwa hiari na 55 kwa lazima, watu wanakufa bila kutumia pesa zao
@teddymwageni1763
3 жыл бұрын
Mungu akubariki na akutunze hazina yetu
@emanuelmlowe6854
6 жыл бұрын
Huyu ni tanzania
@lukalulambo8297
2 жыл бұрын
Ishi miaka mingi profesa
@e-mzambuli6647
2 жыл бұрын
Tarime Ni ajari
@andrewmsuya2232
5 жыл бұрын
Nikweli mueshimiwaaa
@allymllanzi4245
6 жыл бұрын
Waziri huyu hadi raha anavyoichambua sheria
@solomonadams6337
3 жыл бұрын
Mzee Zuzu Kabudi wewe hufai kua hata Professor wa kuku unacho kisema Leo ukifika kesho hukijui tena...you are Uneducated...thanks
@rowlandmuhala4106
Жыл бұрын
Asante babu
@chongemarwa5834
4 жыл бұрын
Nakukubali mzee hexhima yako
@aloycemabula8649
6 жыл бұрын
Huyu ni noma, kweli kasoma sio mchezo
@elizailongela4209
Жыл бұрын
kabudi palamagamba nakukubali sana
@melchiadgodwine9192
3 жыл бұрын
Huyu jamaa si wa kuchezea ni lulu ya Taifa
@emmanuelmlowe-ew7gx
Жыл бұрын
Huyu angekuwa rais tungejinoma
@stephenmassawe218
6 жыл бұрын
Si Wakatoliki tu mheshimiwa waziri hapa ni suala la Biblia hivyo nakubali kuwa suala la sheria ya ndoa ya mwaka 1971 si ya kuchezea hovyohovyo.
@teddymwageni1763
3 жыл бұрын
Biblia agano la kale linaruhusu
@Expedito2512
Жыл бұрын
Kwa masuala ya ndoa kwa wakatoliki ni ngumu zaidi
@petersimon2115
5 жыл бұрын
Fact
@mustwafaabuubakar6474
2 жыл бұрын
Yani huyu jamaa mm namchukia Simpndi kwnza akiongea anaonesha kiburi hata nikinunua gazeti nikiona sura yke mbele bas sinunui tena
@mbondelotv8380
Жыл бұрын
Mnatumia kodi zetu kihalali
@MbataNgonkola-sl8lv
4 ай бұрын
Bi mdashi rudisha hii kichwa
@EK-kp2np
6 жыл бұрын
👏🏻👏🏻
@eventelias3566
4 жыл бұрын
7.17 naomba unitajie Mh. doh!😂😂😂
@mhangwamashimba882
6 жыл бұрын
Huwa nakuelewa sana
@Rennyanselim
Ай бұрын
Huyu Mheshimiwa angepewa Uraisi
@shekhally5741
2 жыл бұрын
Badili sheria zote duniani lakini si ya dini ya kiislam hatungwi na mtu wala serikali zaidi ya qur-aan ambayo ni maneno ya mungu na sunnah za mtume muhammadi (s.a.w)
@maghanighanichali9519
Жыл бұрын
Mwamba waambie watakuelewa tu
@richardfrank1148
4 жыл бұрын
Babu hatarisana wewe
@mwawekomiuda9779
2 жыл бұрын
Umetoa sana mifano ya ulaya na ulaya ni wakiristo. Ss waislam M'mungu ktk uislam ameweka kila kitu sawa kabisa. Kazi iko kwenu wakristo kila siku mnatunga sheria zenu upya
@mwawekomiuda9779
2 жыл бұрын
@Phillip Mbuligwe Sijaandika kila mwaka ila mnatungiwa sheria mpya mpya hata kitabu chenu mmejitungia agano jipya. Mnajipangia wenyewe tu mnavyotaka. Kwani tatizo nn? Si ni ukweli mtupu. Ss nitafakari nn ????
@pelgroup439
Жыл бұрын
Elimu ndogo n sumu, kasome uelewe
@emmadora7848
Жыл бұрын
Shule ni muhimu sana
@mwawekomiuda9779
Жыл бұрын
@@emmadora7848 what do you mean?
@abdulrahmanally1412
2 жыл бұрын
Umejua hili ni kaa la moto, huna uwezo wa kubadilisha Sheria ya Kiislamu, wewe zungumza tu kufurahisha wanaokupigia makofi, Sheria ya ndoa ya kIislamu ni kwa Mujib wa Qur'an ambayo hakuna yeyote duniani anayeweza kuibadili
@humphreymwihambi4330
2 жыл бұрын
Kwani ya wakristo nani anaweza kuibadili?
@alhaddajmohammed4768
2 жыл бұрын
@@humphreymwihambi4330 papa (binAda) anaweza kubadili. Sheria za Kiislamu tunaelewa na kuamini ni sheria zilizopangwa na Mungu Muumba na Mungu Mola Muumba hakosolewi sababu hana sifa ya kukosea ila binAdam wanasifa ya kukosea ndomana sheria za kutungwa na binAdam hubadilishwa kila mara kwa kutokana na madhaifu ya kibnAdam.
@pelgroup439
Жыл бұрын
Kasome uelewe mambo
@emmadora7848
Жыл бұрын
Kusema kweli wazazi ambao hawajasoma ndio wanaoozeesha watoto katika umri huo lkn walio soma si waisilamu Wala si Wakristo hakuna wanaoozeesha watoto kwatika umri mdogo ,zaidi sana hata wakifeli wanawatafutia namna ,kataa kubali huo ndio ukweli
@Rennyanselim
Ай бұрын
Mishoga imenywea hiyoo ovoo
@obedmwakalonge1372
Жыл бұрын
Mzee alikuwa na Vichwa asee
@jumamavind7713
Жыл бұрын
Kama utashindwa kumuelewa huyu jamaa basi utakuwa unamatatizo
@FikiraRwende-cm1qk
Жыл бұрын
I can We up
@danielmkulat1598
Жыл бұрын
Wambie ukweli baba
@johnedward2489
6 жыл бұрын
Umenena vyema!
@sudaissoud3670
3 жыл бұрын
Jamaa simpendi huyu..
@teddymwageni1763
3 жыл бұрын
Kakufanya Nini? Hupaswi kuyatoa ya moyoni mwako kwenye media
@hamadfikirini6969
Ай бұрын
Sasa ww anakupenda?😂😂
@mdedsm5522
2 жыл бұрын
Nmekulewa sana kweli ww ni msomi
@masala8099
2 жыл бұрын
kabudi ni mlevi apuuzwe
@rahmsjames9365
6 жыл бұрын
Bola muongeze wanawake hata 2 au 3
@sasha-ri7tf
3 жыл бұрын
Hata ukitowa macho kama umevuta cocaine,lanaa na halalbadri za wenye kudhulumiwa zitakuandama tu.
@sakowamakavu5711
6 жыл бұрын
Yuko na mkazo na hoja zake na maelezo yake
@pauldaniel5685
6 жыл бұрын
sako Wamakavu because he has facts. Kwa msomi na mtu muelewa kwa jambo fulani ni vema kuzungumza kwa vielelezo na si maneno tu.
@allybamba3110
Жыл бұрын
unatakiwa uwe raisi baba
@josephkafumu3006
2 жыл бұрын
Aaaa wewe nikichwa mzeeeee nakukubali sana
@sabihimngetuka6971
6 жыл бұрын
Tungependa kila muda itafsiliwe sheria hasa kpind cha matukio yenye utata
@ibrahimbaila1749
6 жыл бұрын
kiukweli watu wanafariki mapema. so ataumri wakuolewa nilazima iww16 ataule usemi was chini 18 tufute
@novesnuhunathan2665
3 жыл бұрын
#Kabudi
@saidieiddy1381
3 жыл бұрын
Palamagambaaaaa
@jaliabahat1520
2 жыл бұрын
udini tu Lindi na mtwala talime ajali tu
@michaelkinga821
6 жыл бұрын
suala la tarime ni ajali!!.
@nuhubalandya9164
6 жыл бұрын
"Huku chini hakujafungwa" nin maana yake ? cjamwelewa
@rahimbpingu6082
6 жыл бұрын
ujaelewa nini? chini hakujafungwa!!!!!!!!!!
@nasibugunda7927
4 жыл бұрын
Ukienda kunya weka kioo ujiangalie huko chini
@abrahamkibona7038
5 жыл бұрын
Sasa kelele za nini nyie wabunge?
@rahmsjames9365
6 жыл бұрын
Kwahyo mnakubari kuzini mkae mke 1
@josephmchila6467
6 жыл бұрын
Astrong speech
@engibertmzaula9461
6 жыл бұрын
abarikiwe Rais aliyekuona kuwa unafaa,,,,mm n Mwanafunz Wa sheria hakika nimekutaman Mheshimiwa wazil Wa sheria
@sudaissoud3670
3 жыл бұрын
Hujui ndoa wewe...nenda kwenye Qurani ndoa imeelezwa ...wewe mnafiki2
Пікірлер: 136