Hiii serekali yetu wafugaji wanchi hii utazani wako sudani yani sehemu Yao yote ya kufugia serekali inafanya hifadhi za taifa Leo hii manaingilia kwenye Mshamba ambao sisi wanainchi tunaelewa mnataka kuingilia ili muuze hiyo mifugo Yao lakini kumbukeni mungu Yupo hata muuze Kila siku haziishi mungu atatuzidishia
@jitabojilala6162
5 ай бұрын
Yaani leo ng'ombe ni wabaya ? Nyama zikikosekana mnaanza kulia ok wapeni passport avuke uganda
@EnockJulius-v2w
5 ай бұрын
Hakuna utafiti wa kisayansi unaoonesha kwmba ng'ombe wkichunga kwenye misitu yetu wanaharibu mazingira.Wanaoharibu mazingira ni binadamu na siyo ng'ombe ndugu zangu ,Sisi UMD tunasema hivi mkitupa nchi siku ya pili tutaruhusu wafugaji wachunge kwenye mapori Kama kigosi muyobozi maana hayana hata wanyama
@mataypanga5262
5 ай бұрын
Kama ni hivyo wafugaji waandamane kudai haki zao na hao wakulima wasipate nyama
@JumaJuma-js2sm
5 ай бұрын
Tunaomba kibali twende zimbwambwe tuchungie kwenye shamba mgabe
Пікірлер: 7