Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika, ametoa rai kwa Wanachama wa chama hiko, pamoja na Watanzania kwa ujumla kujitokeza kwenye zoezi la kujiandikisha kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao utafanyika tarehe 27 Novemba 2024.
Kwa mujibu wa TAMISEMI ambo ndio wasimamizi wa uchaguzi huo, wameshaweka wazi kuwa zoezi la uandikishaji kwa wapiga kura kwenye uchaguzi huo wa Serikali za Mitaa litaanza kuanzia tarehe 11-20 Oktoba 2024.
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Негізгі бет MNYIKA AFUNGUKA SIRI, FIGISU UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA/ATAKA WATU KUJIANDIKISHA KWA WINGI
Пікірлер: 2