True watoto wao wasome lakini aharibu watoto wa wenyewe useless
@godfreymutali3374
Ай бұрын
Xx watato wako ni madactari wote bcz awakulangi miraa🏃🏽🏃🏽🏃🏽
@alextercisio
Ай бұрын
@@godfreymutali3374 Mimi mwenyewe ni daktari na sikulagi hizo takataka za umavi na watoto wangu watakua chenye watataka si lazima wakue daktari lakini miraa hawatakula MTU akitaka kuuza miraa auzie watoto wake ama wakule na mamake
@musasaid7917
Ай бұрын
Hata Lamu ifanyike.
@MohamedAbdi-of2is
Ай бұрын
Miraa ni drugs. I have chewed the bloody thing for years. It wasted both my time and money
@vdioali6761
Ай бұрын
Mashallah Allah awajazi kheri kwa bidii zenu,,Allah atuongozee sote na atuhifadhi nahaya majanga ya miadarati
@gemminisallya.
Ай бұрын
miraa ipigwe marufuku huku kwetu mombasa, inachangia sana umasikini , kutoowa, kutoajibika kimaisha. Na tuishi kama zamani mombasa bila muguka
@nabeapius342
Ай бұрын
What about the cocaine being sold ,what about the bhang being used ....is miraa expensive than cocaine ...is miraa expensive than bhang
@lenniefei6710
Ай бұрын
All of those should be banned and fought with all the govt might
@jameskinyua1620
Ай бұрын
Awawezi ongelea Cocaine juu wao ndio wanaiuza
@SafariJournals
Ай бұрын
Miraa iko ghali kuliko coca... .kete moja ya kete =100+ but kilo YA miraa 1000- 15k
@Yunuschilodiijuma
Ай бұрын
𝑾𝒂𝒂𝒎𝒃𝒊𝒆 𝒖𝒌𝒘𝒆𝒍
@MukamiKate
Ай бұрын
And miraa ni raisi kuacha not like coke/madawa if they are fighting drugs wa fight all,bhang miraa ,mabugizi pia coke and heroine
@sabrinapogal9463
Ай бұрын
Well said it's time for a change
@abdulali753
Ай бұрын
Well said ,Say No to Miraa and mugokaa
@kentosh120
Ай бұрын
Everything is good in moderation.
@user-ik1wv8xu2t
Ай бұрын
But you are silent of unga and bhang
@abdulkhaliqmuhammed456
Ай бұрын
Masheikh Andamaneni na mambo yote ya haraam sio miraa tu! Baadhi ya watu wanawashangaa Kuzungumzia miraa wakat kuna mambo mengi ya haraam zaidi. لا تتكلم قبل التفكر.
@evansmudaki4772
Ай бұрын
Kwanza kabisa mogoka ni kitu mbaya. Watoto wetu waokolewwe. Piga marufuku usipandishe bei...ban tu
@ismailadan556
Ай бұрын
No more miraa no more mukgaka
@Sal.0
Ай бұрын
Miraa is a Class A DRUG, that is Banned in Europe! Therefore SAMAD has committed a CRIMAL Offence by ALLOWING MIRAA to be sold in Msa001! Will the Mombasa LAWYERS take SAMAD to Court, for DRUG DEALING in Msa!
@sylviaecke1772
Ай бұрын
where in Europ bc Germany ipo🇩🇪🇰🇪🇪🇺
@martinwambua8720
Ай бұрын
Nawaunga mkono ingawaje nyumbani natokea sehemu za ukambani, ila naomba ile bangi yauzwa pale nyuma ya kongowea pia iondolewa. Tena yauzwa hadharani, polisi wanajua uwepo wake, ila wanafanya biashara na wenye kuuza bangi. Bangi ni hatari kuliko mgukaa wazee wangu, vijana mombasa wameangamizwa na hzo vitu mbili
@Eric-om2kx
Ай бұрын
Nkt,,huu ni upuzi kwani pesa ni yako?kubaff
@NyoksKe-nz7ot
Ай бұрын
tell them. bana wao wakifanya bihashara zao na kuuza pipe za maji nani anawaingilianga. hawajui kuthink before they talk.
@hassanraso4595
Ай бұрын
Hatuitaki mirungi wala mugokaaa mbs
@trigachonse2755
Ай бұрын
Nyinyi wazee watoto wenyu ndio mstari wa kwanza kutumia,vibugizi,mibangi ,junga .kila mtu apambane na hali yake kwake nyumbani
@kullesheikhmahamed2147
Ай бұрын
Good proposal
@bammboomm7763
Ай бұрын
Mungu awaondoshee kila anaetumia mungu awatie fahamu kuwa wapoteza pesa kwa njia ya haramu
@mutethiam7677
Ай бұрын
Someone tell me how miraa effects supercede Alcohol, hard drugs, betting, corruption, homosexuality among other vices.
@salimkamau1697
Ай бұрын
Kwanza dawa za kulevya. Kwa nini hamuongei mambo drugs na ushoga????
@anthonymugo6754
Ай бұрын
Achana na starehe za watu
@HAMISIMWEMA
Ай бұрын
Kweli kabisa
@mikemutua2414
Ай бұрын
Na pombe pia iwe marufuku basi
@alextercisio
Ай бұрын
Kabisa hizo takataka MTU auzie watoto wake
@mohamedalawy6172
Ай бұрын
Tanzania miaka mingi walipiga marufuku Miraa
@oyay2821
Ай бұрын
Hio miraa na mogokaa iwe charged 300k per day per lorry. Alafu wale wame kodisha maduka kwa wauzaji miraa lazima wapandishe kodi ya maduka mpaka watu wa miraa washindwe kulipa.
@wameyoonyango4540
Ай бұрын
I do not advocate for consumption of Miraa and mogokaa but I find the arguments and move not lazy and weak.
@wameyoonyango4540
Ай бұрын
The arguments are both weak and lazy.
@totodavis1949
Ай бұрын
Na madawa za kukevia hamuongelei??????? Number 2 Mombasa ni Kenya sio yenu Niya Kenya .
@rajabyanga3026
Ай бұрын
Uko sure
@MECHAUTOMANSPARES
Ай бұрын
Boss hakuna vile mutaeza kataza mnazi na mangweni then mnaleta mugukaa.. inaitwa tit for tat. Hii ni siasa.
@IbrahimAhmed-lo9xt
Ай бұрын
Wewe kwenu ni Congo
@totodavis1949
Ай бұрын
@@IbrahimAhmed-lo9xt ww kwenu warabuni heri congo ni Africa nyie wageni Africa shienzi sana
@salimiddi9825
Ай бұрын
Nikweli lakini ss ndio tunakula twajiita tukokwetu mambo ndio haya sasa
@molotovcocktail4207
Ай бұрын
Hawa sio wakenya.Endeni middle east manugu.
@gasperkiwo6109
Ай бұрын
Wewe ndio mkenya kwakuwa!??
@lenniefei6710
Ай бұрын
Wewe ndio Mkenya kwa sababu gani ?! Useless
@odongoelias7367
Ай бұрын
Waende Saudi Arabia. This is a free country
@lenniefei6710
Ай бұрын
@@odongoelias7367 Wewe urudi Congo ukapigane vita uko jinga hii
@MohamedAbdallahSaid
Ай бұрын
@@odongoelias7367 Tuko hapa upende usipende. Tumekua hii ardhi innayoitwa Kenya wakati Babu zako wako South Sudan wanachunga ngombe.Kwenda soma history yenu
@kenyanbeastke
Ай бұрын
I know of a professor who was working at NACADA and they brought every negative aspects of moguka and miraa but the never succeeded with the mission. The business is still on because of the cartels working in between. They resigned... it can't happen by just a word of mouth. Let Unga and carnabilis go too
@CityCyber-mh9gh
Ай бұрын
Barking Dogs seldom Bite
@timaidarus4220
Ай бұрын
Mogokaa sellers should see this comment that we MOMBASA RESIDENTS we dont want this business in our town before we take the matter into our hands.
@mohamedzeinabdallah8522
Ай бұрын
Hata nyie wazee WA Mombasa sisi tuko nje ya nchi,muwe na mqelekeo mzuri sio kusema mirra,afya wewe mwenyewe huna unaongea,kichwa kama hio mirra yenywe fanyeni ya msingi build infrastructure make parks build lots of foot bridges,musizumzie congowear huko sio kariakoo,mumekua walevi nyote wazee WA Mombasa,ebu angaleini Zanzibar drugs zipo mbona hawana dhiki nyinyi ndio mupewe speaker na mic muzumze ya ujinga elimu,muwe munaagalia pia juu ikiwa mwangea sio chini tuu mumuchoka nyie,Mr President do something
@sheikhfadhilaljahdhamy6751
Ай бұрын
Tuzungumze na kauti ya kwale
@georgekarobia4279
Ай бұрын
Nyinyi wazazi mlikosa kuwanyonyesha watoto wenu njia za haki..kwa lugha chafu mnayo itumia kama salamu.laana yamwenye zimungu imeshaa washika .sio dawa za kulevya,bangi,pombe,ushoga na sasa mugoka..rudini kwa njia ambazo mwenyezimungu anafunza na watoto wenu wataokoka...hata central shida sio pombe..shida ni wazazi wa kiume
@theheraldbroadcastingnetwo4836
Ай бұрын
Madawa ya kulevya yote‼️
@zarinakasu5340
Ай бұрын
I was thrilled that finally, the coast leaders and elders had realised the need to condemn mogakaa and drug menace, destroying the youth's lives and future. However, its deeply disappointing for them to have accepted that mogokaa be sold to adults. The youth will definitely get it from the adults who will buy and sell to them behind the scenes. What needs to be done, is total ban, the way kijabe has banned alcohol and cigarettes. You should have asserted yourselves and put your feet down.. Mogokaa, unlike the other drugs and bhangi is being regarded as legal yet quite destructive. Please, bear in mind your youth are more important than trade.
@linusbundi1742
Ай бұрын
Go back to yemen, oman , saudia Arabia. Kubafuni nyinyi
@musasaid7917
Ай бұрын
They came way before your people came to what is today known as Kenya. Just because it's benefit your people does not annihilate the rights of other for a healthy life. Mogakaa ,Mira, Bhang, cocaine and all other intoxicants need to be ban, period.
@mohamedzeinabdallah8522
Ай бұрын
Au peyana Mombasa Kwa raila tujuewe kimoja kama sisi ni wanyama au vipi maana wote wazee Hawa wanaogea kama walevi,tuuhaina faida kuzumzia society alafu hakuna mwelekeo aloo mrr president ruto do something,au Hawa wazee wote walete Nairobi waishi na wanyama maana kwisha muono wao,siasa sio chuki pigania umaridadi wako,
@fly69jamual62
Ай бұрын
I do not chew Miraa nor mugaka but the audacity of stopping miraa and can't have same energy to fight and stop the cocaine.heroine in Mombasa and they know their County officials are connected to that business, many of their children are involved in those hard drugs...the hypocrisy is wanting here!
@ismailfami4168
Ай бұрын
Instead aseme pombe ikue banned...anaendea jama wa Jana na miraa.😂😂😂
@acekid5913
Ай бұрын
Kenya si isi...your life is your responsibility.....Ngamia weweee......
@user-pn1dp2ee9x
Ай бұрын
Sio miraa peke yake,madawa ya ulevi ni mengi Mombasa.Vijana hawataki kufanya kazi wanateketezwa na wazazi wao.
@user-kn5bv3qj8p
Ай бұрын
Nikweli mume simama kidete lakini hayo magari yakuleta mboga ndani mgokaa uingizwa, So how will it bee on security wise??at bonjee and some other inlets.
@eliaskimathi-kr3co
Ай бұрын
Tengeneza nchi yako hii ni kenya mombasa ni ya watu wote
@NyoksKe-nz7ot
Ай бұрын
hamna Cha busara hapo. njoo na lengine. miraa yenyewe wanaouza wanajuwa faida yake na inachangia kulipa kodi. isitoshe ndio cash crop number one hapa Mombasa county. tafadhalini tafuteni mbinu ya kuingia katika soko mpate benefit pia
@Sal.0
Ай бұрын
Ai, MwanaHaramu ame ongea!
@USDisdoomed
Ай бұрын
Watu waomombasa tunachezwa hao msteja nawakali kwanza Mombasa hvi wanakula miraa au powder na heroin
@DanielAswani
Ай бұрын
Wameanza kuleta Kakamega. Wauze tu Meru.
@user-ou7jh8yt2k
Ай бұрын
Tumalizeni bugizi kwanza #mombasa
@josephkanyugi3799
Ай бұрын
These are old people who ate Muguka when they were young. Now they do not want the youngsters to enjoy Khat. If you want to ban Muguka, ask the young people first. What you should be banning is Drugs like Cocaine, Heroine and Bhangi. You can also ban Kahawa Tamu and Kahawa Tungu. They come from Meru also. Bure Kabisa.
@user-kn5bv3qj8p
Ай бұрын
Hata ma MCA's and some prominent people of Mombasa county do eats mgokaa, and miraa.
@RAJ-R64
Ай бұрын
umefikiria wanaouza ni wazazi wanapata pesa za kusomesha watoto wao.... mbona msiongelee madawa ya kulevya ama mnawaogopa wanauza
@lenniefei6710
Ай бұрын
Watu wa Mombasa wamepigana na mihadarati kwa kila namna but security agencies ndio wanaprotect drug barons waendelee na hio biashara haramu ya kuangamiza waKenya
@@SirmeDon wewe ni shenzi type if you know what it means
@SirmeDon
Ай бұрын
@@IbrahimAhmed-lo9xt Tafuneni miraa hamna kazi za shambani
@user-ee8dr9iw4t
Ай бұрын
Ulevi ni umaskini ata bagi. Ipigwe marufuku watoto. Wa bara wanapotea. Sababu ya mogoka bagi kileo. Drag Sote ilipiwe ushuru ya juu sana, si mikate na suka . Rais wa kenya. Chakula ndio anaona😅😅😅😅😅😅
@160501959
Ай бұрын
Raiya wameamka kabisa...
@BoazBoaz-bd3oq
Ай бұрын
Hamna mtu aliyeambiwa lazima kula wapwani pia pelekeni nazi karosho kote Kenya hamjazuliwa kufanya Hilo sasa basi ulizeni kazi wapewe vijana lakini hutamlazimisha mtu kuuza chake poa
@MohamedMeja
Ай бұрын
Walah ni mefurahii kufanya hivo gavanaa
@sylviaecke1772
Ай бұрын
ni bei iongezwe ndio mtawaweza
@BushDoctor-dw8el
Ай бұрын
Kwani mumelazimishwa kununua na kutumia miraa, mungokaa, pombe na mihadarati? Si ni kwa hiari yenu ndio munanunua na kutumia ulevi huo. Hiyo ni principle ya market, demand na provide. Acheni paruanja za kujifanya ni mashekhe na makuhani kwa huja ya kutaka sifa za kibinafsi.
@shuaibalula9003
Ай бұрын
Miraa ni haramu warudishe kwao meruu
@halimanamai542
Ай бұрын
Mashallah ..Takbir !!!
@alexandermuteti9569
Ай бұрын
C madawa za kulevya zinauzwa na amuongei...
@enlightenthyself
Ай бұрын
Unfortunately the poor man is ok with his disgrace. You can't help who doesn't want to be helped
@wanytex1971
Ай бұрын
OiI Pwani and Gm0, flour causing embu and meru causing hart problems pia icunguzwo ,muguka na miraa haina kemikali ,mafuta ya kupikia iko na kemikali ,carbon dioxide !lory dioxide bus dioxide, tukutuku dioxide, motor bike dioxide,. Train dioxide, plane dioxide, church dioxide ship dioxide, iongezwe tax pia mtk Kenya governor wa aamke .
@kulthums511
Ай бұрын
Ipigwe marufuku kabisa .... eti wasomesha watt wao kwa kuuza mikoka basi wauze huko kwao lkm mombasa hatutaki
@musakibwana4596
Ай бұрын
Kwani wasipoleta bidhaa c hata wao wanaishi huku???? ikizidi segera iko karibu kuliko meru chakula italetwa tu kutoka bongo...
@maulidimopen1273
Ай бұрын
Mombasa ni mji wa watu wote,Cosmopolitan, sisi pia ni Waisilam na Twachinga, Hayo hayakuhusu fateni yenu ya Dini kando, zote ni mimea,
@keamohamedkhamis
Ай бұрын
mbona amuongelei kuusu hunga wakuvuta kwani unga hauwa ribu watu wacheni shobo
@GREENBusiness-hu4vy
Ай бұрын
Kwani munaishi wenyewe mombasa .Hao watoto wanaaribiwa na bangi na madawa za kulenvya munayo yauza wenyewe.Mungu alali muchukie Miraa naye pia atachukia akipedacho ye mwenyewe .hamna ata aibu wazee wa dini kuingilia mambo mengine .mlipata mombasa na mtaiacha hivo hivo .ashaa kum c matusi😮😮😮
@emilyonyango3650
Ай бұрын
We have an disorganised way of doing things, anything related to drugs should be highly monitored. But such items roam freely in the street are consumed openly
@donaldingwela7190
Ай бұрын
Nawaunga mkono Asilimia 100
@user-qr3oc5mx4u
Ай бұрын
Pumbavu nyinyi wazee wanafiq wakubwa kwenda washenzi nyinyi
@johnndegwa67
Ай бұрын
Nyani haoni kundule, mbona cocaine/heroin yauzwa mmmm,haibu Sana shenzi😂😂
@T0p10styLes
Ай бұрын
Mnapinga aje Cash crop
@sheikhfadhilaljahdhamy6751
Ай бұрын
Deliquency of the government
@kimson7074
Ай бұрын
Qwa nn wameru na waembu hawaaribiki wacheni fitina
@patrickmugambi9395
Ай бұрын
So ni wivu tu mkonayo juu mnatumia pesa huko
@kimfxer
Ай бұрын
What about pombe?
@cecilykimani4400
Ай бұрын
Malizeni mihadarati kwanza na shisha
@mohammedgollo
Ай бұрын
Na hizo gari,za endeshwa kama ya safari rally na police hawajali
@shariffsagaf2305
Ай бұрын
Kwanini hamzunguzi pombe na sigara?sio harmful?chungeni watoto wenu babu na baba zetu walikuwa wanakula hakuna athari huko bangi na madawa ndio yanaharibu watoto wenu
@AbdallaMwagora-sm1rj
Ай бұрын
Hatutaki majani ya meru .miraa ni janga kama majanga mengine ,wauziane wenyewe huko kwao .
@Piurii-pe5lr
Ай бұрын
Kwani mwala muguka nyinyi???wachen n starehe za watu pesa wanatumia s yenu,,,muache ukabila ndugu
@blackcircusproduction2551
Ай бұрын
Hawa hawa ndio watumizi wa kubwa wa miraa na mugoka twawajua Sana waone hivyo hivyo
@FredrickMiriti-tu9jc
Ай бұрын
Nonsense
@samawadeahmed4380
Ай бұрын
Educate the kids
@user-bj9cb9hz3m
Ай бұрын
Ongea ukweli kuusu drugs biashara ya drugs yatoka kwenyu kutoka mombasa vijana wengi wakakula unga dawa zakulevia na amsemi wamearibika kiswaili nyingi kuusu mogoka na dawa zakulevia imewashinda bure kabisa
@cecilykimani4400
Ай бұрын
Watoto wenu waliharibika kitabo
@jameskinyua1620
Ай бұрын
Kwani mnalazimishwa kununua?
@MohamedAbdallahSaid
Ай бұрын
Mbona kule Central munazuia uzaji bombe haramu. Mogaku ni haramu kwetu. Kuhusu suala la kama twalazimishwa hata mihadarati innanuliwa ingawa serikali imesame haramu sababu innapatikana
@akierb1657
Ай бұрын
😂😂😂
@rashidmbimbi3091
Ай бұрын
Very good our leaders. Wanataka kumaliza wapwani ilihali saii wanasema one shilling, one man, one vote. Waende wauzie watoto wao wala sio wetu
@mrman3363
Ай бұрын
@@MohamedAbdallahSaidWanazuia pombe haramu (illicit) sio pombe zote Kwa ujumla
@MohamedAbdallahSaid
Ай бұрын
@@mrman3363 Mogoka ni mihadarati.Munatetea vile nyinyi mwauza.Kenya ni kubwa ,uzeeni huko kwengine
@user-yh3yf9re4c
Ай бұрын
What about the drug barons
@KhamissalimKhamis-iz7vj
Ай бұрын
Kumekucha..kimeumana pwani
@KhamissalimKhamis-iz7vj
Ай бұрын
Sote ni wakenya ukuweli mtupu hio😊
@TradeIQ_Profits
Ай бұрын
Hawa wamekuja sana,next watatuambia tusiuze majani chai pwani
@kimanzi8008
Ай бұрын
What about the cocaine sold by the elites in those governments? Abieni his exellency gasagua afunge kenya breweries pia.
Пікірлер: 180