Mungu atusaidie maana wahubiri kama hawa wamebakia kidogo sana Duniani watumishi wengi wamegeuka kua waganga wa kienyeji kutabiri unabii wa baali wala wengine Mungu hakuwatuma kutabiri
@neymermponde7810
5 жыл бұрын
Ubarikiwe baba mchungaji mungu akupe maisha marefu utufundishe
@sirpaindakiseya697
4 жыл бұрын
Nabarikiwaa na mahubiri
@gabrielokello1485
3 жыл бұрын
AMEN. Be blessed Baba Askofu. You are ablessing
@teclaabdala2967
5 жыл бұрын
Baba nakupenda saaana Mungu akupe nguvu na uzima uendelee kuhubir ili watu waokoke. Bwana asifiwe
@jamesngubesi85
5 жыл бұрын
Mungu akubariki baba
@paschallucas267
6 жыл бұрын
Sawa baba injili kamili kabisa mzee; nakupenda sana mzee magembe uko vizuri baba , sema watu wapone
@EvangelisteMireilleMITAMBA
3 жыл бұрын
MUNGU baba, utupe nasi Pentekoste yetu, Roho MTAKATIFU shuka tena kama hapo zamani. Amena
@jastinjosphat8447
4 жыл бұрын
Amen mtumishi kwakweli tupone
@JesusSavesNow.
8 жыл бұрын
I love Sir Magembe, God Bless him, please pray for him for preaches real cross gospel!
@Capricho446
3 жыл бұрын
Bwana yesu a sifiwe munaweza kunisaidiya namba ya muchungaji, mimi naishi musumbiji
@jovianusmusimo5652
7 жыл бұрын
Mungu akubariki sana baba Pastor Magembe napenda sana huduma uliyonayo niombee baba yangu nifanye kazi ya Bwana kwa bidii kama ww
@josephgeorgematiku1064
7 жыл бұрын
Amen kaka! Naomba tuendelee kumuombea Mchungaji Moses Magembe maana kizazi cha leo hakiko tayari kuambiwa ukweli,bali kinataka watu ambao watawaambia kuwa wataenda mbinguni jinsi walivyo bila Badiliko la kweli la ndani ambalo likitokea ndani ya mtu huzaa matunda nj'e ya mtu huyo.KITABIA,MWENENDO WAKE,KUONGEA KWAKE,KUCHEZA KWAKE N.K.MBARIKIWE WOTE.AHSANTE SANA.
Wanaoitetea imani wamebakia wachache sana! Kemea baba!naona wengine wamebakia kimya wanachojali ni masilahi tu wakati kanisa linaaibisha ukiangalia EAGT na mlipuko wa makanisa ya manabii wa uongo na mitume hewa na Hakuna anaesimama kutetea wanasema Tusihukumu sababu wanakaa nao vikao!wanaoiga nao dili imekuwa VURUGU,ni aibu tupu!!!!
@markdavid1257
8 жыл бұрын
Jamani baba angu nakupenda saaanaaa, Mungu akutumie miaka mia uyatende na kuhubiri mapenzi yake
@sylvestermaungu3326
6 жыл бұрын
This is powerful enough! very anointed pastor
@nanuelmotivation5401
7 жыл бұрын
amina nimebarikiwa sana Mungu akuzidishie siku za kuishi
@michaelelson1540
8 жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzuri. Mungu aendelee kukupa uzima, Mungu tujalie nasi ili utupe ujasiri wa kusema kweli tu
@ramadhanimoshi2850
7 жыл бұрын
mungu akubarik san mtumishi magembe.naomba mtumishi unayetuma hizi clip unitumie wasap kwa no 0714869019.ubarikiw sana
@mwadiabulymoshabani6336
3 жыл бұрын
Mungu tusaidia, tutapata wapi watumishi wakweli na waliopewa karama ya elimu kubwa Kama hii.
@lameckexevery7574
4 жыл бұрын
Sema baba tupone watu
@gideonimathew6491
7 жыл бұрын
Tufanye yanayomtukuza Mungu alie hai. tusifanane na Dunia
@boazmhono2664
8 жыл бұрын
Nakupenda Mch Magembe ningekua na uwezo ningekuita ufanye mkutano kanisani kwangu TAG Maganzo Shinyanga
@annakisale4975
4 жыл бұрын
Boaz Mhono thank you Father
@gracemwangosi9017
3 жыл бұрын
Amen baba
@leonardliberath2664
6 жыл бұрын
be blessed dady
@petermatonya6890
4 жыл бұрын
Amen, Ubarikiwe sana Mchungaji, karibu TAG Bethel Kijenge Arusha, karibu sana Mchungaji.
@johnkilongo4691
6 жыл бұрын
Amina ubarikiwe Baba, hii ndio injili ambayo inahitajika kwa sasa, uishi marefu baba
@isacktesha8114
5 жыл бұрын
Kama mpango ni ulionao ni kwenda Mbinguni ,haya ni mahubiri sahihi
@abiudjustine7947
4 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana Mchungaji Moses Magembe. Ni NENO la BWANA Hili Hakikaaaaa
@edwardagasa5098
6 жыл бұрын
Amina,,,, washiriki wanatia hiyo njili maji kwa kuipigia makofi na kusherekea badala ya kuhutubia na kuhuzunika.... Kupiga makofi ni kuongezea uasi
@angelmzengela2020
5 жыл бұрын
Anapatikana Dar es salaam eneo la majumba sita TAG
@kingdan9759
7 жыл бұрын
ameeeeeeeeen
@godwinmshana1039
6 жыл бұрын
Haleluya, Amen.
@victorjohn2917
6 жыл бұрын
KWENYE SUALA LA MEDIA NA DOCUMENTANTION KIUKWELI BABA YANGU HUYU ALIJIPUNJA SANA...ANA MAFUNDISHO MENGI SANA YANAYOIFAA DUNIA KWA SASA. Big up Joseph Matiku.....umefanya jambo jema sana
@josephgeorgematiku1064
6 жыл бұрын
AMEN.AHSANTE SANA.MUNGU AKUBARIKI SANA KAKA.
@getrudalugano7493
6 жыл бұрын
Barikiwa sana Baba
@tinajoseph8619
5 жыл бұрын
ila sikuhizi hamrushi tena mahubili
@mamaelisha3943
6 жыл бұрын
Aminaaaa Sana kila ninaposikiliza nazidi Kuwa na tafakar ya Hawa waimbaji wanalitukana jina la YESU
@kahamagloryofgod5852
5 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu baba mchgj
@samsonnzisabira768
5 жыл бұрын
Niko Burundi ,nafurahia mahubiri ya Mchungaji .
@asonandimile5343
5 жыл бұрын
Hii ni injili iliyonyooka
@BeatriceElias
6 жыл бұрын
Kwakweli hii ndio injil Mungu akusaidie Baba Magembe uwepo ata miaka mingi ili tujue injili vzr ss kama vjana yan tumjue Mungu unaenhubir mana ni wachache wanaohubir ukwel mmojawapo n ww Mungu akusaidie
@josephgeorgematiku1064
6 жыл бұрын
Amina. Mungu akubariki sana. Unaweza ukaendelea kumsikiliza Mchungaji magembe akihubiri katika Radio inayoitwa "WAPO RADIO FM", Kama una simu ya Smart naomba ingia "Praystore", download application inayoitwa "Tunein". Ujumbe utaendelea kuhubiriwa kwa muda wa miezi sita. Ujumbe ni "UAMSHO NA MATENGENEZO".Mimi ndie niliyerusha haya mahubiri,naomba nikukaribishe sana kanisani TANZANIA ASEMBLIES OF GOD,MAJUMBASITA UKONGA,NJIA PANDA YA SEGEREA. . Namba za Mchungaji Moses Magembe ni +255762 2838 na +255715283819.NAMBA ZANGU NI +255715/+255769 466 547.
@violetbruno9268
7 жыл бұрын
barikiw can mtumish
@reyph1700
7 жыл бұрын
Kwel Baba sema sema baba
@EvangelisteMireilleMITAMBA
3 жыл бұрын
Tunangoja UAMUSHO
@rogerskityege9836
6 жыл бұрын
Nabarikiwa
@erickmassanja4201
5 жыл бұрын
Amen
@gideonimathew6491
7 жыл бұрын
God bless you
@michaelelson1540
7 жыл бұрын
Be blessed pastor, Mungu akupe maisha marefu zaidi. Mtumishi Joseph George Matiku naomba unitumie kwa namba yangu ya whatsapp
@muhinijohn1515
7 жыл бұрын
Hiii ndio Injili iliyo hai
@leahfrank1186
8 жыл бұрын
Be blessed magembe
@muradmubarak2072
7 жыл бұрын
Hakika Wewe pekee ndo ulobaki kuiponya dunia Mungu akushindie uifikie dunia yote nasi tuweze kupona injili cream ndo pekee unaeihubir KWA sawasawa Mungu akubariki mchungaji Wangu nakupenda sana Wewe Na family nzima amina
@angelalphonce6885
5 жыл бұрын
Baba uliondoka mafinga, injili hai isiyoghoshiwa
@eunicehezron3481
3 жыл бұрын
AMINA
@elinalwenge1150
6 жыл бұрын
Amina tuko pamoja
@godwinmshana1039
6 жыл бұрын
thanks Jesus.
@joshuasanka3949
5 жыл бұрын
T,AG,Majumba,sita.dar es salam
@gideonimathew6491
7 жыл бұрын
Hata kwangu nnasema hapana.
@eunicehezron3481
3 жыл бұрын
Hata Mimi mziki wa kipepo na mitindo ya dunia nasema hapanaaaa
@eunicehezron3481
3 жыл бұрын
YESU ni BWANA
@reubenbusanji2904
4 жыл бұрын
Huyu mtumishi yuko wapi?
@josephgeorgematiku1064
4 жыл бұрын
Hallow Bwana Yesu asifiwe sana. Huyu Mchungaji anapatikana njiapanda ya Segerea, TAG Majumbasita. Mimi ndiye niliyetuma mahubiri yake, naomba tuwasiliane kwa namba hii 0715466547. Au namba zake Mchungaji wangu, Moses Magembe mwenyewe ni:- 0715 283819 0767 283818 0784 283818. Hizo ndio namba za Simu za Mchungaji Moses Magembe. Karibu sana TAG Majumbasita, Gospel Campaign Centre. Amen.
@mussamwalubange9511
5 жыл бұрын
tungepata Wachungaji kama wewe T A G ingepona hawakemei washilika wanatyonga wanavyo taka
@saimonseleka8478
4 жыл бұрын
Sahz wapo hadi kiposho eti
@elinalwenge1150
6 жыл бұрын
Nipo south hivi niki sikiliza mzee magembe ukifundisha huko geita nimebarikiwa mno sema ili tup one.
@josephgeorgematiku1064
6 жыл бұрын
Amina. Mungu akubariki sana. Unaweza ukaendelea kumsikiliza Mchungaji magembe akihubiri katika Radio inayoitwa "WAPO RADIO FM", Kama una simu ya Smart naomba ingia "Praystore", download application inayoitwa "Tunein". Ujumbe utaendelea kuhubiriwa kwa muda wa miezi sita. Ujumbe ni "UAMSHO NA MATENGENEZO".Mimi ndie niliyerusha haya mahubiri,naomba nikukaribishe sana kanisani TANZANIA ASEMBLIES OF GOD,MAJUMBASITA UKONGA,NJIA PANDA YA SEGEREA. . Namba za Mchungaji Moses Magembe ni +255762 2838 na +255715283819.NAMBA ZANGU NI +255715/+255769 466 547.
@ernessmwarwange1140
6 жыл бұрын
mungu Akubarki baba yangu akupe nguvu nyingi
@rehemasumni1959
7 жыл бұрын
barikiwa sana na mahubiri haya naomba kutumiwa kwenye namba 0685204667
@sirpaindakiseya697
4 жыл бұрын
Naomba nitumie mahubiri ya Baba Mchungaji WhatsApp 0718483917
@happyabdallah8379
7 жыл бұрын
jaman huyu mchungaji yupo kanisa gani nataman mafundisho zaidi mwenye namba ya mshirika wa kanisa lake anisaidie
@josephgeorgematiku1064
7 жыл бұрын
Dada Mungu akubariki sana kwa kupenda kujifunza Neno la Mungu.Mimi ni Mshirika wa Mchungaji Moses Magembe na Ndiye niliyerusha hayo mahubiri ya Mchungaji. Ukihitaji mahubiri ya Mchungaji yanapatikana kwa njia ya Video na Audio pia.Siku ukiwa tayari nipigie kwa simu hii 0715 466 547 kwa maelekezo zaidi.Mungu akubariki sana.
@ombenikisunga5059
5 жыл бұрын
Yupo banana
@maryosward1879
5 жыл бұрын
Yaani nimebarikiwa sana toka nimjue sijajuta najivunia kwakweli kusikia injili ya neema km hii ila napenda afundishe na kuhusu mapambo ya wanawake barikiwe sana Mary kutoka oman
@safinamethuselapeter2298
6 жыл бұрын
Hakika wewe ni mtumishi WA Mungu.
@markdavid1257
8 жыл бұрын
Jamani baba angu nakupenda saaanaaa, Mungu akutumie miaka mia uyatende na kuhubiri mapenzi yake
Пікірлер: 81