Mtangazaji unajitahidi sana kuipatia lafudhi ya Kiunguja, big up unajua kuendana na mazingira ya kazi yako
@witneyzpaul4047
2 жыл бұрын
Huyu fei toto nampenda sana ,kumbe macho karith upande wa mama zake🥰❤️
@salumsheikh5349
Жыл бұрын
Safi kabisa! Tutafteni hela bhana ndugu watakuja tuu! Amazing mama mkubwa mama mdogo hhh
@paskaziasholla7471
2 жыл бұрын
Asante nimeskia mama yake yuko kazini
@ChuseIcon
2 жыл бұрын
Fanyeni ivo Kwa Kila mchezaji mzawa. Nijambo zur sana
@zollax_tz4164
2 жыл бұрын
Kwel fey YANGA damu mpk makochi ni ya kijani🔥na njano🔥🔥🔥🔥🔥
@samueldavid8853
2 жыл бұрын
Emb fanya kuniombea namba za ma mdogo wake Fei mzuri sana mashallah ♥ me ba mdogo wake fei
@mussavande-mcstar1890
2 жыл бұрын
😂
@veronicasulle1849
2 жыл бұрын
🤣🤣
@TheNgomo
2 жыл бұрын
Tuko wengi tunaihitaji
@zainabunyengedi8691
Жыл бұрын
😂😂😂
@annachiguru9578
Жыл бұрын
😂😂 jaman wanaume mna shda gani?
@aminamzee6295
2 жыл бұрын
Mungu akubariki mwanangu uko vizuri Sana kwenye Tim yet ya yanga🙏💚💚💚💚💚🏃🏃
@yusuphmakhahala6570
2 жыл бұрын
Wazanzibari wanazigua sana usishangae brother wanavokujibu.
@Rolemodel_wa_taifa
2 жыл бұрын
Sasa kajibiwa vibaya wapi mbona chuki nyingi na wewe
@uaeuae4814
2 жыл бұрын
Sasa wanamjibu vip.
@Abdulhamid_Suleiman
2 жыл бұрын
Alwatan broh unaupiga mwingi sana Allah akubariq kwa talent yako
@sarahtz4936
2 жыл бұрын
Hata maji tu hupewi
@rkellyrkellywhite5851
2 жыл бұрын
Nakubal kaka alwatan uko vizur kwa kazi yako
@neemapaulmwananchi7116
Жыл бұрын
Mim uxhauri wangu kwako achan nawatu penye rizik hapakoxi kelel au walitaka kukuharibia tu kipaji chako kaa mbali nao
@shinjemwagala232
2 жыл бұрын
Asante sana brother
@atanaskafwimb8955
2 жыл бұрын
Upo vzr kaka feithal japo nipo Simba ila Huwa nakupenda sana
@akidamakui9364
Жыл бұрын
Fei Anajua Sana Boli kongole kwake
@abiboseleman1649
2 жыл бұрын
Huyu mdogoake fei bana kkkk anaonekana mtu wa mambo sana
@estaendu2870
2 жыл бұрын
Hahaha kwel bhn ulijuaje
@aliyahyaissaissa7423
Жыл бұрын
Km mvutaj ivi
@witinesselipidius
Жыл бұрын
Da nimepend San family yake feitoto na ninamkubal San et kama vip nipate no yake
@witinesselipidius
Жыл бұрын
No. Yake et
@omaryally7677
Жыл бұрын
Mmmh farhaty mashaallah
@erickkapinga2045
Жыл бұрын
Erick kapinga Tujifunze toka kwa wazazi hawa kujuwa matokeo ya mwanao hapo baadae
@Emedroadtocanada
2 жыл бұрын
Ma mdgo wa fei toto maashaallah sjui ameolewa huyu
@swaumdodoma7591
2 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
@farhatomar7495
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@aliabeid5122
2 жыл бұрын
Chombo kwel kwel sio masiyara
@salamanauthar5261
2 жыл бұрын
MASHAALLAH NIMEPENDA SANA
@jumasharif3580
Жыл бұрын
,mko vizur watangazaj Allah awasaidie mfke mbali
@shaacollection801
2 жыл бұрын
Ukiona rangi ya yanga mashaallah
@kassimomar7589
2 жыл бұрын
Zanzibar home sweet home
@nassorochongwe9093
2 жыл бұрын
Mama yake bado yupo vizuri
@nguzzorajab6380
2 жыл бұрын
Mtangazaji unaujuaji sana mpaka unakera masta Acha watu wamzungumzie mtu wao..
@sadayusuph1907
2 жыл бұрын
Mtangazj ni zao from University of Dar es salaam 🥰
@sozoartifex
2 жыл бұрын
Sure hauliziii vizuriiiii
@asmajuma4960
2 жыл бұрын
Hi familiya iko very nice nimeipenda bule😊
@alira3080
Жыл бұрын
Njoo tujenge yetu
@alira3080
Жыл бұрын
Njoo tuungane tuunde familia yetu
@godlistengodlisten7552
2 жыл бұрын
SAFI SANA MPENJA MNAMFUATILIA MTU NA SIFA ZAKE ANAZIPATA 🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏👏
@shaacollection801
2 жыл бұрын
Good family
@magimsolohanya5570
Жыл бұрын
Feisal for every things
@R10_Rajab
2 жыл бұрын
Mama mzazi na baba mzazi wapo wapi?
@adilaadila1128
Жыл бұрын
Hawapendi camera
@Zaburi-
2 жыл бұрын
Mtangazaji punguza mbwembwe acha mtu ajieleze, una interference nyingi sana wakati mtu anaongea, you did good job though but learn some techniques
@jerryfaraja1094
2 жыл бұрын
Sure jamaa anazengua sana,,sifa mingi
@sozoartifex
2 жыл бұрын
Exactly hapangirii vitu
@dandassimon3116
Жыл бұрын
Mimi sipendi watu wanaozuia riziki za wachezaji kwani maisha ya mchezaji ni mpira , na akipata dau kubwa inabidi aachiwe atafute maisha mazuri ya familia lķn utakuta anazuia lakini kama ni hitaji mpeni anayotaka .
@emanueljunior2996
Жыл бұрын
Unguja bwana wanajitahidi huwa wanahimiza wanaangalia kile mtoto anachokitaka hususani kwa vipaji wanajali sana binafsi nawapenda mno
@bahatimahone4922
2 жыл бұрын
Mtangazaji mbona unalembuwa kama dem kaza sout
@alunibraah6075
2 жыл бұрын
Umeona 😄
@lightnessmsangi3148
Жыл бұрын
Arsenal lovers ❤
@ahmedhamad2410
2 жыл бұрын
Huku uarabuni tunamkubali sana fei toto fundi wa mpira Tanzania
Huyu jamaa anajibu maswali vizuri sana hana kukurupuka
@guccij6236
2 жыл бұрын
Naomba namba za uyo mamdogo please 😟
@issaofficialvideo6375
2 жыл бұрын
🤭🤭🤭
@fredymwakikono1575
Жыл бұрын
Kabla hajaanza kula ugali kwa sukari hapa 😂😂😂
@nestorymapunda4596
2 жыл бұрын
Mpenja tv mko vizuri san
@msimbatiboy7517
2 жыл бұрын
Mama kama mama 🙏
@jumaomary974
Жыл бұрын
ipo sawa family
@magrethjacobadliano7277
2 жыл бұрын
Hi angefanya milladyo ingependaza sana
@sozoartifex
2 жыл бұрын
Kweliii
@alexjohn1399
Жыл бұрын
Umenena kabisa
@juliusmagoti5650
Жыл бұрын
Halafu leo mama huyu anatoka anasema Yanga imemtesa sana Feisal, aibu sana kwa mama
@sabitinahamidu7251
2 жыл бұрын
Unaposema familia ya bol inamana wote wanapenda mpira??
@nobyytz
Жыл бұрын
Daaaaah 2taumia xana ukiondoka jembe letu
@abdallahally842
2 жыл бұрын
Mama.mrembo mashallah kafanan na mwanawe
@najuf8021
2 жыл бұрын
Mtangazaji punguza uongeaji mwingi usiokua namaana yaan hujatulia hata kidogo paka kero
@sozoartifex
2 жыл бұрын
Sanaaa
@sozoartifex
2 жыл бұрын
Anaongea vitu vingii afu nahama hama madaaa sanaa kwa sababu ya maswalii ya ovyoo mengii sio kwa ubaya ila apunguzee tuuu mamboo mengiiii
@naomyjacob1258
2 жыл бұрын
Penda sana mama fei
@alenialex6941
2 жыл бұрын
Mtangazaji punguza mbwembwe
@sozoartifex
2 жыл бұрын
Hatuliii hapangiliii mambooo
@alexjohn1399
Жыл бұрын
Mbn ajahoji mambo muhimu
@hamiduhk3856
2 жыл бұрын
wanzanzibar wakarimu lakn pia ni wajeuri ukitaka kuamini cheki mwanzo wa interview
@is-haqsalim9754
2 жыл бұрын
kaka mbona kosa moja unahukumu kila ktu je wewe ni mkamilifu wa yte kwa nini unasema wazaznzibar
@hamiduhk3856
2 жыл бұрын
@@is-haqsalim9754 tatizo lako uelewa wako ni mdg wapi hapo ktk maelezo yang nilipopitisha hukm???cwez kuhukum cx ni iyo ni sifa ya allah... nilichondk ni sifa ya wanzanzibar ni watu wakarimu lkn piah ni wajeuri kwa maana gani? hawana mihemko ya kijinga hata wakiona k2 au jambo lenye ufahari wao wanachukulia kwa kawaida ndo mana nikaandk "ukitaka kuamini kuwa ni wajeur chek mwanzo wa interview hao wadada wa dukani;
@is-haqsalim9754
2 жыл бұрын
mashallah napnda ufafanuzi wako inapndeza ukielezea hivyo mana neno wajeuri limekaa lugha tata
@uaeuae4814
2 жыл бұрын
Kaz mnayo mana mnavowasakama ao wazanzibar cjui tumewakosea nn
@marthageorge5043
2 жыл бұрын
Family 🥰🥰🥰🥰❤
@eddybayour2208
Жыл бұрын
nice
@abdallahridhiwanijk2295
2 жыл бұрын
Hajapewa mpunga aache kuchukua hela ndefu akuskilize wew haijakuja tu hio ofa ya simba
@shedadiabdul654
2 жыл бұрын
Mama yake Baba yake mbona hatuwaoni?
@preciouspeace4553
2 жыл бұрын
mama yake si umesikia yupo kazini au
@maryamtan682
2 жыл бұрын
Wako kzn.
@zaudatmakula3454
2 жыл бұрын
Masha Allah 💚💛💚💚💛💚
@mozanzibar3237
2 жыл бұрын
Hujamboooo dear
@zeyanaalhabsi8636
2 жыл бұрын
Manshalaaa good family❤️❤️❤️
@naomyjacob1258
2 жыл бұрын
💚💛
@josephmakonga3201
2 жыл бұрын
Mtangazaji unajichekeshaaa
@bujashidaniel5537
2 жыл бұрын
Umeona ee
@samueldavid8853
2 жыл бұрын
Anamtaka ma mdogo
@sozoartifex
2 жыл бұрын
Anamaswalii mengi tofauti na mada muhimuu mwisho wa siku anapayuka mambo mengii na kujichekesha juu
@HH54508
2 жыл бұрын
Duh mbona kamera inakwenda sana mrama kulikoni mpigapicha mikono ina nini
@Marjeby
2 жыл бұрын
Dogo uko na kipaji sana cha kutangaza kaza utafika mbali
@mahamoudmursal9474
Жыл бұрын
Mahamud
@ramadhanimohamed4190
Жыл бұрын
Nimependa sana ao dada wa dukan
@salummzee9739
2 жыл бұрын
Huyu adili mtu stimu,macho km pweza
@uaeuae4814
2 жыл бұрын
Hahahahahaha
@gabrielmoses6860
2 жыл бұрын
Kuna Mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa Feo toto!!!!..
@OnlyRuky
2 жыл бұрын
Mtangazaji maswali yakoooo mengi ya ovyoo unasahau km upo kwenye family ya watu...unaongeaa mpka unaowahoji wanapoteza points
@fatmaabdul2712
2 жыл бұрын
Tena anamazoea mabaya Sana harafu mbea
@sozoartifex
2 жыл бұрын
Nikajua nimeona peke yangu anaongea personal sanaa
@issaofficialvideo6375
2 жыл бұрын
Acheni uchoyo kwn kaj kwenu
@OnlyRuky
2 жыл бұрын
@@issaofficialvideo6375 Uchoyo wa nini? Umeona kuna chakula hapo? Hujui kusoma unaparamia tu watu ovyooo km huyo mtangazaji stupid
@minaelnathanael1846
2 жыл бұрын
Majirani tutoe ushirikiano kwa waandishi kama hawa mmmmmh jiraniiiii
@salehkombo8205
2 жыл бұрын
sio Zanzibar wanavo ogopa camera
@yl_sports_af1994
2 жыл бұрын
Nimeongea Na Kidozo Hahahaha
@tinabapemacho8650
2 жыл бұрын
Mashallah
@chikagovietnam1648
Жыл бұрын
Pamoja
@ilynpayne7491
2 жыл бұрын
Mamaake fey bado yuko vizur sana
@hadijaally99
2 жыл бұрын
Mkweli
@faizbonge9992
2 жыл бұрын
Jitahidi ktk mahujiano unaacha vitu muhimu vya kuuliza,
@sozoartifex
2 жыл бұрын
Kwelii ndugu yanguu anamambo mengii sanaaaaa
@godfreywilliam8139
2 жыл бұрын
Sasa hiyo familia kila mama kahamia kwa fei inakuaje hapo make mkubwa mdogo wote hapo
@nahedstationery3851
2 жыл бұрын
Kwa maisha ya Zanzibar ni jambo la kawaida sana tu.
@saidshavu3714
2 жыл бұрын
Sasa wasihamie vp na hapo ni kwa mtoto wao! Au ulitaka wahamie kwako
@abbyadams8691
2 жыл бұрын
Kwani kuna ubayaa?
@jumamakame417
2 жыл бұрын
Kuna ubaya gani kukaa kwa pamoja
@mcprincemfumbi
Жыл бұрын
Hapo ni kwao sio kwake mzee
@tunnhajj2222
2 жыл бұрын
Zanzibar home
@mnyonetv8437
2 жыл бұрын
Mtangazaji kwa asha
@josephinejoseph3919
2 жыл бұрын
💚💛
@witinesselipidius
Жыл бұрын
Napend San na nimepeda family yake vip no yake
@hajimnubi4581
2 жыл бұрын
Mamdogo julie Instagram yako gani kama unanisoma? Nimekupenda nakutafuta toka interview ile ulifanya mwaka jana na channel nyingine ilikuja hapo
@far-hatharoub5511
2 жыл бұрын
Kakufanya Nini huyo ma mdogo wake 😂😂😂😂😂
@yunyuny5538
2 жыл бұрын
@@far-hatharoub5511 😂😂😂
@jumahamis227
2 жыл бұрын
😂 😂.
@far-hatharoub5511
2 жыл бұрын
@@yunyuny5538 😅😅😅
@far-hatharoub5511
2 жыл бұрын
@@yunyuny5538 asema maana ndio nipo hapa mwenyewe 😂
@husseinrashidi5828
2 жыл бұрын
Waislam mnaweka picha za viumbe ndani ya nyumba aifahi
@fahadfahmy
2 жыл бұрын
upo sawa Hussein
@shafiibobalish8532
2 жыл бұрын
Ungeweka hadith au aya inayokataza kuweka picha za viumbe hai ungeelimisha na sio kukosoa huenda we mwenyewe hujui.
@fahadfahmy
2 жыл бұрын
@@shafiibobalish8532 Kipo kisa kilitokea wakati Mtume Muhammad alikua anataka kuingia kwake ikawa anazuiwa na Malaika asiingie ndani,Mtume akamuuliza mkewe bibi Aisha kama sikosei ameweka kitu gani kipya ndani ya Nyumba akamjibu ametia pazia jipya basi Mtume akamjibu litowe hilo pazia,lilipotolewa pazia mtume akaweza kuingia,ifahamike yakua hilo pazia lilikua limechorwa picha nadhani ilikua ya mnyama.
@husseinrashidi5828
2 жыл бұрын
@@shafiibobalish8532 ndio sijui basi Allah atujuze sote
@Emedroadtocanada
2 жыл бұрын
Hao ni waislam pw kka
@abdallahally842
2 жыл бұрын
Toto anasura ya mama
@alaikamyale784
2 жыл бұрын
Huyu mtangazaji anatembea tembea ovyo kwenye nyumba ya watu mh.!
@sozoartifex
2 жыл бұрын
Anamambo mengiiiii
@fatumampumbo6186
2 жыл бұрын
Eti nimetembezwa apandani😂😂😂😂
@chiefmtoto1365
2 жыл бұрын
Eti ukiona rangi ya Yanga ndio hapo hapo
@hamidayanga8224
2 жыл бұрын
😂😂😂
@ameirdarueshi2593
2 жыл бұрын
Sema mtangazi unaongea ata mlengwa hamalizi neno umekaa kma bichi boy
@sozoartifex
2 жыл бұрын
Nikajua nimeona peke yanguu
@OmanOman-iu7jf
2 жыл бұрын
Fei sasa Yule mwanamke.anayelia uliyo.mtoa mimba yuko.wapi
@adilaadila1128
Жыл бұрын
Kafariki
@OmanOman-iu7jf
Жыл бұрын
@@adilaadila1128 kweli au unanitania ww
@dayanajeremia7412
2 жыл бұрын
👏👏👏👏👏
@witinesselipidius
Жыл бұрын
Pip
@thamaneliya4076
2 жыл бұрын
mnacho kelaga mnatu malizia bando na matangazo
@mirajiali3926
2 жыл бұрын
Baba fei toto yuko wapi hatujamuona
@timibakat7345
2 жыл бұрын
Ashafarki
@OmanOman-iu7jf
2 жыл бұрын
Baba fei amefariki mbona
@mirajiali3926
2 жыл бұрын
@@OmanOman-iu7jf ok
@OmanOman-iu7jf
2 жыл бұрын
@@mirajiali3926 powa
@princessdalgha8294
2 жыл бұрын
@@timibakat7345 hapana hajafariki
@aickatesha4542
Жыл бұрын
Sofa💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
@jamesassanga8581
2 жыл бұрын
Huyu jamaa kasomea kweli uandishi/utangazaji??? Anaongea sana kuliko hata anayemuoji
Пікірлер: 209