Mpina is the best mp,people of nzega guide this guy.
@EmmanuelMoses-pb1zh
8 күн бұрын
Mtaalamu Mwenyewe Luhaga mpina 🙌🙌🙌
@godwinkasaizi882
10 күн бұрын
Mlitaka USHAHIDI Sasa Mpina kawapa. Mh. Spika binafsi Huwa unanikera mara kadhaa UNAVYO waongoza wenzako. Punguza ukari na ndio maana Mpina kakimbilia mtaani maana anajua ni kawaida Yako kuweka Kona wenzio. Tabia MBAYA SANA hiyo kwa ustawi wa Nchi. Mpe mtu nafasi azungumze amalize lakini wewe ni umekuwa mtu wa kuingilia watu wanapo zungumza. Sio siha NZURI.
@johnmalembo6464
22 күн бұрын
Mtukufu ni Mungu.....Bashe. Wewe ni mwislam wa kweli kuliita bunge eti tukufu....mmmmh unakosea sana.....utukufu una Mwenyezi Mungu pekee
@victorsanga2229
19 күн бұрын
Pamoja na maneno hayo, mbona bei ya sukari bado ipo juu?
@ishmaelsimon6617
14 күн бұрын
Nadhani alimaanisha Saint na sio Holy, Kiswazi kipo na shida.
@awadhally1052
9 күн бұрын
Bunge lina utukufu gani na limejaa wizi
@user-yv8ww7lg1x
8 күн бұрын
Mungu hakai maali pachafu,palipojaa rushwa na uonevu,Hukumu yenu yaja wapigaji,mijizi mikubwa
@SaleheMkomwa
8 күн бұрын
WIZI MTUPU HAPO SIKUELEWI
@GodfreyTarimo-je4xo
8 күн бұрын
Mpina hoyeee
@AMENMUSHI-wt4li
8 күн бұрын
Mungu mbinguni utete watanzania ,hspa duniani tulikuja bila kitu tutaruf hivyo hivyo
@rehemakayuga7051
23 күн бұрын
Mpina Ipo Siku Itafika Tutakumbuka Hoja Zako Na Kusema Mpina Aliwahi Kuyasema Haya Akiwa Bungeni
@lwitikomwambogela4276
23 күн бұрын
Hili suala la sukari liko kisiasa sana, miezi ambayo tanzania hawazalishi, wenzetu Zambia na Malawi wao wanazalisha mwaka mzima. Na hali ta hewa ya Tanzania na hizo inchi iko sawa.
@paschalpaul3862
22 күн бұрын
Taarifa za mpina ni za kikachero
@jamesselemani4562
22 күн бұрын
😂😂 huyu mwamba nimemshitukia kabsa sijui ni kachero
@paschalpaul3862
22 күн бұрын
@@jamesselemani4562 hao akina mpina ndiyo wanatumiwa na serkali yaani chini ya TIS ili kuwabana mawaziri
@venancemwanya4212
9 күн бұрын
Jeshi la mtu mmoja,kamati ya mtu mmoja.
@shijandobehe4953
6 күн бұрын
Kama sio kachero basi anafanya kazi na upinzani mwamba anaona mbali Sana
@drtobias_
23 күн бұрын
Waziri Ummy alikua busy kuchati na Mimi
@LouisMambaAloyce-cu6ud
12 күн бұрын
😂😂😂
@Azikiwe-qi6jd
10 күн бұрын
Aliye Tulaani sisi alitufanyia kitu mbaya sana, sisi ni nchi yenye ardhi kubwa kuliko zote east Africa, sisi ni nchi yenye utulivu wa kiutawala kuliko nchi nyingine yoyito afrika tuna mvua za kutosha ati miaka 60 ya uhuru bado tuna tunaongelea sukari. Aliye tulaani ni mtu mbaya sana
@rogersiddy
3 күн бұрын
Nakuunga mkono kwa point zingine ila hili la...nchi yenye utulivu wa kiutawala kuliko nchi nyingine yoyote East Africa si kweli hakuna utulivu ila wameeneza vitisho kwa wananchi ili watawale kimabavu asijitokeze mtu kuongea ukweli watakushughulikia kama Tundu Lisu
@Nyanda506
23 күн бұрын
Spika si uwaache wawili mpina na Bashe wamenyane tu ..Spika anaingilia sana 😅😅
@pastorsthenksrojaskapunga6843
2 күн бұрын
Mimi niseme tu mpina yuko sahii zuli sana acheni kujidaganya Kutoka 1:8,10 [8]Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu. Now there arose up a new king over Egypt, which knew not Joseph. [10]Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii. Come on, let us deal wisely with them; lest they multiply, and it come to pass, that, when there falleth out any war, they join also unto our enemies, and fight against us, and so get them up out of the land.
@johnsonchonja4032
12 күн бұрын
Niko na mpina mpaka awe waziri,jamaa ananyoosha sana
@user-ws2uw5rd8i
22 күн бұрын
Bashe ni waziri. Mzigo
@arcadilamu396
2 күн бұрын
Tatizo spika anajifanya wakili ikiwa Waziri alipaswa aweke ushahidi wa alivyovisema ili Mpina nae athibitishe ukweli ujulikane na sio kupendelea sehemu moja
@hillshipping5117
15 күн бұрын
Allah, yuko nawe mh bashe hukuubwa kumuogopa kiumbe yeyote fanya kazi yako amana umepewa na mungu la yahafu kiumbe mungu anajua zaid
@bonifacerobert2960
12 күн бұрын
Umeumbuka Bashe! Unamtaja na MUNGU huna haya? Umedanganya bunge ma 18 Bashe. MUNGU amlinde sana Mh Luhaga Mpina.
@awadhally1052
9 күн бұрын
Kwel kabisaa mwizi huyu msomal
@mirajiramadhani2128
3 күн бұрын
Uwongo Uwongo
@alumonkisinda4574
21 күн бұрын
mpina akija kuwa hata waziri mkuu tu Kuna watu watakunya na watanyooka tunaishi kimazoea Sana
@yusuphnundu6113
3 күн бұрын
Alikua waziri wa mifugo wakati wa magufuli ndio huyo alikua anapima samaki na rula 😂😂 huyo naye anahasira za kukosa uwaziri akipewa cheo anavurunda pia
@billgussy6099
21 күн бұрын
Spika naye anajibu maswali kwa niaba ya wazir???i Lengo apotoshe? Huyu Spika😂
@michenjembikamichenje1388
21 күн бұрын
Mpina and S makamba also good mbunge and bashe ni waziri mmoja ktk mawaziri kwelikweli wa mama Samia
@katapaj2336
2 күн бұрын
Mpina gombea uraisi kula yangu ipo❤❤❤❤❤❤
@user-md7sd3hk6l
4 күн бұрын
we bashe wee upo vizuli naona una mtaja sana mungu nikweli una tenda aki uku kwetu sukali kilo 3500 mpina tupamba nie mwamba ayo mengine tusha yazowea kila seemu ni kupigatu yeye nani bashe asi pige
@christinenyagiro6662
22 күн бұрын
Hongera Mpina kuwa mzalendo wa Inchi hii
@user-us4tk2tk3c
19 күн бұрын
Hakuna kitu zaidi ya Makasiliko. Ana chuki na Mh. Bashe, Hawa ndio kundi linapambana kumwondoa Bashe na baadhi ya mawaziri kwenye nafasi zao kwa chuki tuu. Hon. Bashe ni Kichwa kingine cha karne hii.
@ishmaelsimon6617
14 күн бұрын
Bashe yupo safi, bt tunajua target ni 2025 iwe 2000/kg, uchaguzi ni wa motoo..
@user-tq4go3sn5b
8 күн бұрын
Maada ya kipumbavu yanapiga makofi hatari lkn hoja za msingi za kina Mpina wanacheka
@AbdiMohamed-vk5kc
20 күн бұрын
Bashe amewashika pabaya wenye viwanda,miaka yote wanajifanya kuna shortage ili wapewe vibali,nashauri kipindi cha shortage wapewe vibali wafanyabiashara ili wenye viwanda wazalishe sukari ya kutosha kipindi chote,mikoa iliyoko mipakani kama nchi jirani kuna sukari wafanya biashara wa mikoa hiyo waruhusiwe kuingiza,Mpina acha kutetea wezi.
@glassdubaialuminiumprofile2026
22 күн бұрын
Nakuelewa sana Brother mm kama mjasiliamali katika kilimo na mifugo Niko mikono salama
@pastorsthenksrojaskapunga6843
2 күн бұрын
Kutoka 1:8,10 [8]Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu. Now there arose up a new king over Egypt, which knew not Joseph. [10]Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii. Come on, let us deal wisely with them; lest they multiply, and it come to pass, that, when there falleth out any war, they join also unto our enemies, and fight against us, and so get them up out of the land.
@petersynto2043
10 күн бұрын
Waheshimiwa wabunge wakati mwingine mimi huwa nashindwakuwaelewa wakiwawanaongea hapo kama watu mwenye uchungu vile kumbe hamna kitu Mimi binafsi ni moja ya waathirika wa zao la tumbaku tabora naye huyu anatokea tabora yaani kuna migogoro mpaka basi pia kuna uonevu wa Hali ya juu kwenye zao hili
@lutufyolaban2144
2 күн бұрын
Mbona hakuna walipofokeana ninyi Yesu anawaona
@sadammadamba2550
Күн бұрын
Unataka ripoti ya CAG yup maana analeta kila siku na hakuna linalofanyika...
@christinenyagiro6662
22 күн бұрын
Mbona mpaka sasa sukari inanunuliwa kwa bei ya juu? Tulia atakupini Mpina kwa sababu agenda zao.
@rogersiddy
3 күн бұрын
Spika hatuna ila tunakipaza cha sauti tu 😂😂🙌
@seifsaidseifsaid1210
22 күн бұрын
Hiyo ni siasa tu. Unaongea sana lakini utendaji ni zero!
@user-cb6sx6gn3e
13 күн бұрын
God is tge judge
@user-cw3vu8mu3k
9 күн бұрын
Bunge bila upinzan siyo bunge kweli tusirudie makosa mama tumpe urais lakin wabunge tuwachanganye
@zakariamalembela3974
7 күн бұрын
Acha ujinga mama gani unaongelea😂
@user-cw3vu8mu3k
7 күн бұрын
@@zakariamalembela3974 kwann wewe unadhan mama yup ata kama ni mama ako anafaa tumpe
@judicateurassa7817
6 күн бұрын
Mama yupi apewe
@user-cw3vu8mu3k
5 күн бұрын
@@judicateurassa7817 mama samia
@ramadhanchenga4606
3 күн бұрын
@@user-cw3vu8mu3kyaani huyo mama karibu nchi kabisa
@AtanasKameja
21 күн бұрын
Mbina uko sahihi sana
@KioJuma
Күн бұрын
Mpina akuna kitu ahaaa
@NIMRO-bx8vu
2 күн бұрын
Ila hii nchi(.......)
@zariadunia6328
23 күн бұрын
Kwa kutulinda wakulima hapana sasa hivi umetangaza kuanza biashara ya unga wa mahindi DRC sasa kama serikali ina anzaje kuuza ungaa Drc wakulima na hasa kigoma tunaotegemea soko la DRC tutweza kushindana na serikali kweli hii sio sawa
@shanjemanumba6325
23 күн бұрын
Mpina umebaki peke Ako tu hapa nchini kuipgania Taifa hili .Mungu akupe nguvu
@adelinelyaruu3036
22 күн бұрын
Yes indeed. Unfortunately he is alone 😢
@marandoruzali1946
23 күн бұрын
Mpina oyeeeeee
@adeltuszakumuha9618
2 күн бұрын
Jamaa katuharibia sana wizara ya kilimo.
@dismaslalubare4196
11 күн бұрын
Mpina wanyooshe wote watakaosema uongo bungeni
@saidimpako5186
21 күн бұрын
Kwanin kusiwe na mikakati ya kuzalisha wakati wote bila ya kusimama
@HashimuAbubakar-ej8gc
22 күн бұрын
Kingereza kingi
@davidmrindoko5044
21 күн бұрын
adiltv 1
@pastadandan3569
23 күн бұрын
Hapo spika anajaribu kuua hoja mpina
@josephlorri431
22 күн бұрын
Anataka kuifanya bunge kuwa taasisi ya serikali
@nyerere1259
11 күн бұрын
BUNGEE ZIMA VS MPINA
@user-mm5si7nb6u
23 күн бұрын
Sasa ww bashe kama unashindwa kuwaamrisha hao wa viwanda wakakusikiliza unafany nn ofisin
Sio chunyatuu kila kona wanalia na mbolea feki starudia (hii Somalia)
@simonGeraldhosole
22 күн бұрын
Tanzania 😭😭
@user-my4dr5oq6v
23 күн бұрын
Bashe atoke kweny uwaziri hawezi kutusaidia wanyonge watu tunataka tuuze ata mahindi yetu ata gunia 10 ili upeleke watoto shule lakin ye anaangalia matajiri tu mshenzi uyu
@halimamasai2234
22 күн бұрын
Akitoka utaka wewe fala wewe
@LuhanyaMipawantobi-pj1iu
18 күн бұрын
😂😂😂😂😂kwanini mshenzi sasa!!! Si mkubwa wako huyu
@LuhanyaMipawantobi-pj1iu
18 күн бұрын
😂😂😂😂😂kwanini mshenzi sasa!!! Si mkubwa wako huyu
@Mpakauseme
6 күн бұрын
Afrika moto, Bongo kuendelea ni swa nakuyatafuta matako ya nyoka hapo wezi wamarundika
@johnmalembo6464
22 күн бұрын
Tukitumia sheria sana nchi haiendi..... Tuwe tunakabiliana na uhalisia hata kama tunavunja sheria
@fidelismwakanyamale6787
21 күн бұрын
Huyu mpina wakati ni waziri alikuwa ni mfitini sana kwa mali za watu na ana roho ya wivu anaona kuwa wanziri anapata sana sasa anaona kila mtu yuko kama yeye
@thomaskiponda6079
21 күн бұрын
HIVI HILI BUNGE NI TUKUFU KWELI? AU NANI ANAAMBIWA NI SPIKA NDIYE ANAJUA NA ANAAMINI KWAMBA BUNGE LAKE NI TUKUFU? DUHHHH.😊😊😊😊
@emmanuelmsambya5293
22 күн бұрын
Dah spika anaakili sana na kasoma sana
@adeltuszakumuha9618
2 күн бұрын
ipi
@AsendeIbucwa-pi1my
10 күн бұрын
Wewe ni muhongo sana ,hongopa mungu
@NikoAgast
2 күн бұрын
Makofi ni ya mawaziri tu
@SaidiMkome-qq7hy
22 күн бұрын
Bashe kawa bashili sikuizi😁😁😁🏃🏃🏃🏃🏃
@imanicharles8538
7 күн бұрын
😅😅😅
@user-kl9tg6wo5x
2 күн бұрын
Nilimkubar sana but nasemea moyon mwangu****** wez majambaz wauwJi
@kayumbasosthenes3596
21 күн бұрын
Mpina hapana kwakwer unatumiwa na wafanyabiashara wakubwa wewe,ushahid huo unautoa wap kama hawajakupa ili utuvuruge
@anytime5685
22 күн бұрын
Kama walifungia hatua gani mmechukua mpaka mwaka wa ppili unatuambia haya Kiuhalisia kazi imemshinda Maelezo mengi ila hakuna kinachotokea
@umranim5854
20 күн бұрын
Huyu mpina anaonekana ana chuki na waziri sasa alete ushahidi au imekula kwake na roho mbaya 😂
@malembobulongo3856
21 күн бұрын
Acheni kusema bunge tukufu mnamkosea Mungu sana
@SaleheMkomwa
8 күн бұрын
Spika upo UPANDE upi hapo MAANA sikuelewi
@NikoMalongo
23 күн бұрын
Mh
@joycmsokile9220
19 күн бұрын
Hamna kitu, mwarobaini wa kilimo nchini haujapata majibu .bado Sana tena sana,
@user-ef2ln1mx3s
12 күн бұрын
Bashe ni msanii yuko bize na maloli yake juzi tu kampuni ya marori jamani tz ni mtaji wa wanasiasa na mawZiri
@leokamil6284
10 күн бұрын
Wengi wapigaji
@salmanmagwe2612
22 күн бұрын
😊mpina ni mpiga porojo mkubwa,na si alikuwa waziri alifanya nn zaidi ya kupima samaki kwa RULA?siasa ni mwanaharamu wewe mwananchi ukiwa mjinga utahadaika na watu kama mpina.
@piumagoha
23 күн бұрын
Nimenunu sukari Lindi kilo 2600
@beinafuu6219
12 күн бұрын
Uwonga gan haya sasa mmeyataka nyiny mmeumbuka sasa mwenye hoja yake mmemunyima haki mnampa mtu mwenyejuambiwa mwongo.ngoja tuone sipika hanatoaje majibu ya mpuna
@williammbuzimai5744
14 күн бұрын
Bashe ikiwa wawekezaji hawakutuhudumia ipasavyo,, Umewachukulia hatua gani!!!
@PhilipoMwita-wc1ku
22 күн бұрын
Mpina piga wape spna hayo majizi mtaani tunaumia yani anasema sukari niyawatu masikini
@soplisjoachim5884
13 күн бұрын
Yaani hapo ulipomruhusu alete ushahidi ndipo ulipommaliza bashe 😅😅😅😅😅😅 , sasa sikilizia ushahidi unaokuja on date
@oswaldtemba2770
12 күн бұрын
Bashe hajaiba hata Mia.mnamshambulia kwa sababu gani.wivu tu mara malori yake.kwani kuwa na malori ni dhambi?
@emanuelmgote4511
17 күн бұрын
Mheshimiwa bashe mageti ya Mazao yanakamata ushuru mpaka Genoa moja..unalijua Hilo?
@michenjembikamichenje1388
21 күн бұрын
Tulia ni spika kweli
@samwelnevele7796
6 күн бұрын
Mpina apewe maua yake ndani ya nchi yetu
@BenendohaNdama
6 күн бұрын
Watu kama mpina wajengewe sanamu
@kayumbasosthenes3596
21 күн бұрын
Mbona mimi naona mmoja anatumika namabepari
@Jal210
22 күн бұрын
Waziri Bashe brain kubwa
@user-pd8hu3ox8h
2 күн бұрын
Lazima umuunge mkono maana ni mwizi mwenzako
@Officialjidaa-sn9cs
21 күн бұрын
Mpina yuko sawa bungeni
@yakaramayaka1456
12 күн бұрын
Waziri Ummi yuko Instagram 😂
@bcozhenry2698
23 күн бұрын
Mpina anapiga spana spika anaingilia kusaidia kupanua uchochoro wa kupigwa
@michaelmlyuka6032
22 күн бұрын
Mbunge anawakilisha Wananchi hivyo anawjibu wa kuihoji Serikali, haitakiwi akemewe Waziri anatakiwi aeleweshe ili akawaeleweshe Wananchi wake
@iddynjonjo
9 күн бұрын
Huyu msomali au
@daudwilliam2326
11 күн бұрын
Hiiizi kelele zote ni sukari hiii chafuu na nyeusiii au ni ipiiii 😂😂😂😂😂
@boniphacetabu2903
22 күн бұрын
Naona refaree anataka kutoa assist ili goli lifungwe na litafungwa kweli
Пікірлер: 205