Hongera sana Brother one day utakuwa billionaire 🙏
@bahatirngulika4493
22 сағат бұрын
Aiseee Mungu anisamehe sikuwazaga kwamba huyu ni gentleman kbs kumbe ni chalii ya Ara😁 big up brother
@RayyanRayyan-rt9cg
5 сағат бұрын
Uoni hata meno jmni😅
@deodatusmwacha719
3 сағат бұрын
@@RayyanRayyan-rt9cg Sio watu wote waliooza meno wanatokea Arusha Kuna warangi,wanyaturu na wanyantuzu😂😂😂😂kigezo Cha meno hapana na sio wote Arusha wameoza meno
@VickymaukyMauky
21 сағат бұрын
Nimejua kupika chapati kupitia huyu kaka jmn ubarikiwe mdogo wangu❤❤❤
@RachelMdao
12 сағат бұрын
Kweli anafanya kazi vizuri
@jamilajuma3811
23 сағат бұрын
Bro anaongea kisomi mpaka raha yuko so professional kama kafika chuo😮 Big up❤
@Sarah-e1o9k
9 сағат бұрын
Unajua mtu akipenda kupika hawezi kunificha mimi sasa napika kama wazimu tukikutana na hyo tunaweza kufungua biasha kubwa sna wacha nimtafte❤❤❤❤
@NtamamiloGibson
Күн бұрын
Nimepemda anavyojibu facts bila kulemba lemba. Big up dogo najua utatoboa kuna siku campuni zitakuona.
@naomymuro2199
12 сағат бұрын
Anafundisha keki vzr uyu kaka hatariiii❤❤❤
@francis9610-k2p
6 сағат бұрын
Dogo yuko real sana, anapika vizuri ,anafundisha mapishi vizuri, ameitendea haki interview anajibu maswali vizuri sana short and clear, Very focused young man , ni mtu ambae anahitaji uvumilivu na kuwa thabiti katika anachokifanya muda utaongea atafika mbali sana
@LuckyTemu
19 сағат бұрын
Haya ndo MADINI ya kutuwekea 🔥🙌 keep it up my brother George usisikilize maneno mze wang utapotea fanya roho k2 inapenda
@cook_with_Mai
7 сағат бұрын
Ukisikia kubarikiwa ndo huku. Maashallah, kijana mwenye akili zake timamu na IQ yake iko vyema. Big up my young bro.
@annagakome2991
Күн бұрын
Hongera sana mdogo wangu,Mungu akuwezeshe ufike mbali
@justice607
Күн бұрын
Kaskazini hatokagi fala! Ooh! Chuga hiyo! Chuga hiyo!😅😅🎉🎉🎉🎉
@ubuntubantu2404
11 сағат бұрын
Sasa huyu unadhani ni fala?
@GeeMelly
4 сағат бұрын
@@ubuntubantu2404hujaelewa
@AbelCharles-co6qb
19 сағат бұрын
Wanao amini George anakinge kizur kuliko chino wana man 2juane 😅
@NuruChristopher-z1w
6 сағат бұрын
Yupo vzr mno,mungu akupe maisha marefu mpishi hodari
@HappyShirima-k9t
Күн бұрын
Me nilikuwa najuaga ety ni mkenya kumbe ni mwarusha mwenzangu jaman congrats George ❤❤keep it
@AnethMungure
Күн бұрын
Me too
@Bahati47
23 сағат бұрын
Hata Mimi 😂
@pascoswai3704
23 сағат бұрын
Kabsa mawazo yalikua Sawa, mi nilijua kabsa sio mtanzania
@ireneshao7950
22 сағат бұрын
Mimi pia😂
@ce-08
19 сағат бұрын
Duuh waTz cc mtu akija na idea ambayo hatujaizoe bas lazma weng wahisi sio mtz😢
@salomewandya7257
23 сағат бұрын
Anapika vizuri mashaallah ❤❤
@JescaJosephati
Күн бұрын
Anajua anajua na tena yupo vzr mashallah
@salmamlokela1987
23 сағат бұрын
Usijar geoge mama samia amekusikia tegemea mambo mazur mda si mrefuuuu😅
@debbie11044
8 сағат бұрын
Anapika vzuri alafu kwa usafi..big up George..tunaomba page ya cake pls wateja tuzifate
@judithkirenga9977
23 сағат бұрын
George idea zako huwa nzuri sana, Rudi Arusha fungua restaurant yako huku restaurant nyingi zimejaa vyakula vya kizungu, pls come tuuze na mbege pia😂❤❤❤
@Sarah-e1o9k
9 сағат бұрын
Vlee inafaa😂❤❤❤❤❤
@halimamasai2234
23 сағат бұрын
Hongera kijana wetu WA Arusha 💪💪💪
@Blackmar229
21 сағат бұрын
Anapika uyu Yan akifungua mgahawa na kupika mwenyewe itakua nomah 😊😋
@katherinemetili3428
2 сағат бұрын
Aisee kumbe ni wa kwetu peace sana name hongera sana
@GladnessSamson-xk2ii
22 сағат бұрын
Huyu kaka nampenda buree❤ anaoga had maji ya maziwa😅
@MarySengo-i4c
13 сағат бұрын
Hongera saana George Mimi ni shabiki wako Niko Morogoro
@mchikirwambombeyagonja4311
20 сағат бұрын
Yuko na confidence kijana huyu
@graceaugustino5372
12 сағат бұрын
Safiiiiiiiiiii hongera sana Dogo ❤ keep it up
@renyfridabutitiba3458
30 минут бұрын
So smart wengine, wanawaza waoe akawe house girl
@sofiaoman5901
10 сағат бұрын
Hongera kaka napenda chakula chako unavopika mimi pia napenda kupika
@getrudedevis
7 сағат бұрын
Hongera sana na Mungu azidi kukutia nguvu uzidi kupambanaa
Kwa dunia ya.wenzetu (wazungu) lkn hata tasisi zingine. kama vile Majeshi,wapishi ni wanaume.Wapishi wazuri ni wanaume,wanawake ni wasaidizi tu.
@NuruCleopa
Күн бұрын
Keeps going broh Mungu hawezi kukuacha
@ghaniyapoches2684
22 сағат бұрын
By the way naomba upike mseto WA choroko na samaki WA Nazi can't wait for this...shush hii kitu utube na insta we r here for u Mungu azidi kukupeleka juu kimafanikio
@youthchanel8612
Күн бұрын
Yupo strong huyu wala sio ...
@annafredinandmatandiko8438
Күн бұрын
Daaah 😅😅😅😅
@pascoswai3704
23 сағат бұрын
Kabsa yupo, strong, man aliekamilika hahaha
@CarolineMsuya-j2d
3 сағат бұрын
Handsome
@mamachris6811
7 сағат бұрын
Anaweza kuwa Mtangazaji pia
@eggysulle7988
2 сағат бұрын
🔥🔥🔥
@aminammbaga7736
20 сағат бұрын
Yes yaah
@missmoona4497
23 сағат бұрын
Ningefurah zaid ange pika live kupitia Ayo tv
@joycemuhoja4729
18 сағат бұрын
Kupika unajua Sanaa hongera Sanaa
@leahmanase1034
23 сағат бұрын
Pambana mdogo wangu@Georgeskitchen..utakuwa mpishi wa kimataifa utatoboa.
@Stellastella-yi5vu
21 сағат бұрын
Akili nyingi sana, nakupa PHD ya kujibu maswal nakupika pia. Barikiwe mwanangu
@murtanseif3539
23 сағат бұрын
Good brother very nice
@MiishHassan-qm1et
21 сағат бұрын
Anaongea kisomi sana good job brother 🥰🥰
@EsupatLaiser
21 сағат бұрын
Arusha Moja
@FahadAbubakari-y3f
20 сағат бұрын
@@EsupatLaisermlikua mnajifanyaga wagumu kumbe soft tu ndo mana dogo dangote alikua anawalaza ndani mapema
@ChoroTesla
12 сағат бұрын
Mbona comment iko nje ya mada kaka@@FahadAbubakari-y3f
@AgnesJohn-f1r
9 сағат бұрын
@@FahadAbubakari-y3f😂😂😂 jamani yote hayo ya Nini
@FahadAbubakari-y3f
9 сағат бұрын
@@AgnesJohn-f1r wanaaktigi ugumu yani ile ubishi kinoma kumbe waigizaji tu
@jinnahsameer
5 сағат бұрын
❤❤❤ kaka naomba namba za huyo kaka
@nelykaaya6503
22 сағат бұрын
Nakubaliii sana
@hawaa341
5 сағат бұрын
Safi kbs
@DpN-rk8xz
21 сағат бұрын
Ana sauti nzuri unweza kupata nafasi
@AbuodSeleman
8 сағат бұрын
watoto wa single mother
@TALLUBOY
19 сағат бұрын
Hapo tyl kampuny itakuona tu! Mwamba siyo kwa maic ya milard Ni maic kubwa sana WEW NDIYO PROFESHINAL TANZANIA MZIMA Mimi mwanangu pia najua kupika Napenda kupika kinoma na pia Najua sanaaaa LAKIN USHAULI WANGU DOGO VAA VIZURI VAA KIUME ACHANA NA MAJI yakutia mdalasin Lakin kwenye upishi hpo sikulaum Pika mzee mpaka ufanikiwe
@lulumasangwa9962
2 сағат бұрын
Mdalasini ni muhimu brother Usipotia ww atatia mkeo.
@salmamlokela1987
23 сағат бұрын
Upo vizur George
@DianaMacha-jf8gw
Күн бұрын
Huyu kaka napenda sana kazi zake saluty kwake
@MwadawaMohamed
23 сағат бұрын
Tanga raha❤
@alleyissaramadhan6068
12 сағат бұрын
Keep it up brother
@SharifuAlbughuli
8 сағат бұрын
Me nilijua to huyu atakuj kuwa Chakula ya Wazee 😂😂😂
@sir_ENOCKMACHA
6 сағат бұрын
Duh Mungu akusamehe kijana
@IreneMacha-d5q
23 сағат бұрын
Nampenda❤
@YobelgnEmmanuel
7 сағат бұрын
We uoni ni mgumu tiyari anakujibu bila kupindisha😂
@ghaniyapoches2684
22 сағат бұрын
Haya watanzania kwenye mahoteli makubwa sekta nzuri hata vipindi#wasafitv muajirini huyu Jamaa ana wafuasi wengi Sana tutamsapoti Kwa kila Hali...mpeni fursa ya KAZI jamani tusapoti vijana
@ce-08
19 сағат бұрын
Daah wewe ndiyo mmoja ambae umeangalia nje ya horizon 🎉🎉 umefkria nje ya box
@luluray2115
18 сағат бұрын
❤❤
@DaudiBalampama
15 сағат бұрын
Mbona kama mtoto wa maleemu luge😂😂😂
@juliejaph3331
9 сағат бұрын
bora umewaambia kuwa wanaume hawatakiwi kuoa ili apikiwe.. kuna vingi zaidi
@فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
9 сағат бұрын
😅😅😅leo sasa nmeelewa kila siku nilikuwa nakufananisha na masai😂😂😂kumbe kwel.
@houmdmajid-ur9dp
20 сағат бұрын
Mm nilijua mkenya hy jama kumbe wa nyumban
@Electronic-fix-q3q
4 сағат бұрын
Mapishi kwa mstari 👊🏾
@HafsaShekigenda
23 сағат бұрын
Tangia tupo vizuri😊😊
@MoniccaBenson
7 сағат бұрын
Hiyo brand imewalipa coca😂😂
@HappyShirima-k9t
Күн бұрын
Nimempenda jins anavyojibu
@MonicaMacha-q7y
4 сағат бұрын
Mzuri
@NeemaMoshi-h3b
Сағат бұрын
Chuga hiyo baba hakuna kuremba kujichanganya ni kawaida
@chany9950
21 сағат бұрын
Nice👍🏾👍🏾
@Zuuh4286
12 сағат бұрын
Aseme mtaji bei gani tufungue😂😂😂😂 kihotel uchwara hivi
@hagaramgini-sz1du
23 сағат бұрын
Dogo amenyooka sana big up 2u
@MuniraGambere
17 сағат бұрын
Nampenda sana huyu kaka...yaani napenda upishi wake
@Faridahabibu-n5u
12 сағат бұрын
Kumbe unaishi Arusha George
@jacklinejb
Сағат бұрын
Me nilijua ni mganda
@annafredinandmatandiko8438
Күн бұрын
Good job
@bimumaulid1171
23 сағат бұрын
SASA HII KANGA YA NINI?🙆♂️🙆♂️😳
@ce-08
19 сағат бұрын
😂😂
@letthedeadburythedead2148
11 сағат бұрын
@@ce-08ni shoga
@sheckycobb5240
10 сағат бұрын
Mbwembwe tu
@eggysulle7988
2 сағат бұрын
Anatumia jina gan insta
@MSWAKIMSWAKI
Күн бұрын
Mwenye namba yake wajamen.. kuna buku ten hapa inazagaazagaa 😂
@aminakipande5645
21 сағат бұрын
😂😂😂
@BizzBoy-g4o
6 сағат бұрын
kanga ya nini kama sio ushoga
@levinaleonard7652
5 сағат бұрын
Nlikua najua mtanga
@rashadhemed4748
Сағат бұрын
Hivi huyu hiwa anakoga mchuzi ama
@Mussa-k4d
20 сағат бұрын
🙄
@MahaSaeed-hf3gs
Күн бұрын
Pambana brother maishaàa haya kukaaa ty mtihani
@EmanueliWildausoni
3 сағат бұрын
Du huyu jamaa kumbe yuko arusha nilijua tanga
@ShabaniSaleeh
Күн бұрын
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@juliusjustins6859
23 сағат бұрын
Yes yes yes yes😅😅😅 from the beginning to the end of the interview
Пікірлер: 246