Hili ni fumbo kubwa sana tuwaheshim wazazi wetu hata kama walitutelekeza sio kazi yetu kuingilia ugomvi wa wazazi wetu
@lawmaina78
Ай бұрын
Aaa wapi, ukitelekeza mitoto huko nje, usianze kusumbua watu, wakishafaulu.
@mmassyferguson4959
Ай бұрын
@@lawmaina78 lakn bado itabakia ni mzazi au utamwambia mungu akupe mzazi mwingine
@lawmaina78
Ай бұрын
@@mmassyferguson4959 nitamtelekeza na kukata mawasiliano naye ajifie mbali. Sawa shahawa zake zimetumika kunileta kwenye huu ulimwengu niteseke, ila nitamchukia milele.
@ayoubmhagule248
Ай бұрын
Kwa nn wamtelekeze mtoto ikiwa ugomvi ni wenu? mm simuachi mzee...akijileta
@mmassyferguson4959
Ай бұрын
@@ayoubmhagule248 kwahiyo mtoto utagawana ww na mama
@user-up6bq6or8y
Ай бұрын
Kipala mm nimo 😂😂😂😂
@khamismtoma4902
16 күн бұрын
Ommy dimpozi
@lunangabenjamin3121
Ай бұрын
Wapo.
@user-ox1tt3on3i
Ай бұрын
Mh
@harithwhite589
Ай бұрын
😂😂 Mimi nimo
@athumanhemed1573
Ай бұрын
mimi nimoo
@JoasJoas-h6o
23 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@greenwellnsyukwe4729
Ай бұрын
Cha Bank anakoweka hela je?.
@jofreykivambe6520
26 күн бұрын
😂😂
@YusufuAbas
Ай бұрын
Wakongwe kazini 😅
@nkwazigatsha
Ай бұрын
Wabongo walioi wengi wana mawazo ya kimaskini hata wakiwa wasomi au matajiri. Kenya kitu kama hii haipotezi muda hata kuiigiza. Pambaneni na mafisadi wenu badala ya mambo ya kibinafsi na kifamilia. Mmeamua kuwa taifa la wasanii na wazushi. Aibu.
@deniswolfganglyimo
23 күн бұрын
Tuombee kwa Mungu ndugu yetu,tuombee hekima zaidi ya hii tulionayo. Life needs a helper as well,no matter how blessed you are.
@joelinyembe8000
Ай бұрын
Huyo n ommy dimpoz nn
@EricaBizuru-jp9by
Ай бұрын
Na rafiki yake diamond 😂😂😂😂
@JUU-lw2je
Ай бұрын
Mzee alikuwa na maisha yeye?
@ChekeshaTv
Ай бұрын
JIUNGE NA GROUP LETU 👇👇 chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
@pastorypastory7369
Ай бұрын
😂😂😂
@ChekeshaTv
Ай бұрын
JIUNGE NA GROUP LETU 👇👇 chat.whatsapp.com/IosOSDc5aBPDyEwCoBpKvR
Пікірлер: 46