Mr Blue ni kipenzi cha watu... Hawa ni mashabiki wake sugu.. Namkubali from 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
@ezronkimaro7911
4 жыл бұрын
Mr Blue n kawaida yake anakiwaxhaga popote uyu🙌🙌
@nuhanuru1329
4 жыл бұрын
Noma sanam.....fiesta kitu ingine wazee
@denisimaliyaweni9183
4 жыл бұрын
Kipande cha kibaaaa watu kama wote wamezolewa aaaaaaahaaaaa hatar sana
@maliksaid1574
4 жыл бұрын
Miaka Yote blue... Ndivo inavokua coz fundi wa mziki
@ziporakaulimbo97
4 жыл бұрын
Nimeamini kutoa minyimbo miingi haina maana watu wakikuelewa wamekuelewa tu Mr. Blue ni mwanamuziki mzuri hana mbwe mbwe mjin hapa
@sweeshdoncheofficial1574
4 жыл бұрын
UshaniSoma Eeh?? Here is a Link to my Song..Kindly Watch and let me know of what you Feel/Think about it.Thanks .kzitem.info/news/bejne/mW-cnaWgopxpeoo
@samirnaty8774
4 жыл бұрын
Blue kawaida yake ata awe hana singo mpya Ila jukwaa lake
@elardmadeez3382
4 жыл бұрын
kweliiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@mikapmwalimu4555
4 жыл бұрын
Mkali wa hizi kazi tangu na tangu hatri sana
@jumannemsengi2195
4 жыл бұрын
Jamani hii ndio generation na original ya Bongo flava, wengne wajifue ni bado tuwe wakwel kwa sisi tunaoijua ilipoanzia Bongo flava!!!!!!!
@feymumy2654
4 жыл бұрын
Wameondoka na viatu nomaaa
@oswardkabasa4981
4 жыл бұрын
Mr bluuu hujawah niangusha noma saana
@rosemaiko9405
4 жыл бұрын
Nyani mzee hatariii tangu zama zile ,Pamba za blue we noma
@vitalesgalus8004
4 жыл бұрын
Akunaga mfano ndani ya tigo fiesta mzee baba kuna wakali kama mr.. blue noma sana tisha mzazi
@bressfabians4537
4 жыл бұрын
Sehemu ya kiba haina aja ya kuimba daaah full maupendo 😅♥ Mr.blue Umekaa ukiwa na viatu kunyenyuka huna viatu 😁😂😅🤔
@suleimanaliy8122
4 жыл бұрын
Kabaisa nakukbal sn kma unamkubal biz gonga like
@anelkaking9342
4 жыл бұрын
Byser mkali sana
@mohamedhamsini3107
4 жыл бұрын
Jamaa noma sana
@navanjkiba2439
4 жыл бұрын
fireeeeee
@shebbyabdallah9705
4 жыл бұрын
Umetisha mr blue
@komborashid5891
4 жыл бұрын
Hakuna kama fiest
@bebycandkim1631
4 жыл бұрын
Kombo Rashid kabisa
@mpotampota4170
4 жыл бұрын
Always u r the stage killer 💪💪💪💪salute
@shozylamparboom8393
4 жыл бұрын
Bizzy ni Mashiineee... Mtu mbaaayaa Mwana Dar es salaam... Bycer
@samwelmwita2099
3 жыл бұрын
fanya ngoma na diamond iwe shida zaidi
@nelsonnmwaipaja6980
4 жыл бұрын
Blue ni moja ya wasanii ambao hata angepotea miaka kadhaaa hivi zen akarudi bado anamashabiki ambao hawafi leo wala kesho
@ngindezedon4158
4 жыл бұрын
ujawahi niangusha since day moco byser balaaaaaa
@issaguners4739
4 жыл бұрын
Pacha blue baisa
@ismailkushinda8830
2 жыл бұрын
Simbaaaa n legend
@jorvinalex9449
4 жыл бұрын
Ajawahi kosea namkubali sana ni zaidi ya star # love sana bro
@maulidrehani
4 жыл бұрын
Msanii wa wang bora wa siku zote
@kingbabumusictzkingbabumus6285
4 жыл бұрын
Mkaka mwenye fiesta yake
@fidboeogtheprince4766
4 жыл бұрын
More life Mr blue
@ericknkenzidyo3928
4 жыл бұрын
Mkn Sana Mr Blue unajua
@behumbel1419
4 жыл бұрын
Nakubal
@selemanimsahani3919
4 жыл бұрын
Mr blue nakukubari san sana broo
@haymoc_ninexix
4 жыл бұрын
Motooo
@wantedytz3461
4 жыл бұрын
show qaliii yente yent
@dullahdimba8423
4 жыл бұрын
umetish Mr blue
@immah__deo7014
4 жыл бұрын
Kwa Bongo Hii Baada ya Mondi ..Hakuna Msanii Anayejua Kufanya Shoo kama Blue
@mdachiog5211
4 жыл бұрын
Wana wamesepa na force haaaahaaa
@revokatusisobhe9415
4 жыл бұрын
yaani blue alichokinya katika nyimbo zake ni kuwa ziendelee kuishi
@laumlimbila4337
4 жыл бұрын
Noma sn blue umeua
@dianamdugala6015
4 жыл бұрын
Big up Mr blue utabaki kuwa juuuuuuu....kileleeeeeeeeeni
@godlovegeorge2334
4 жыл бұрын
Wanajipimia saizi zao tu babaake Fiesta
@moudyhamisi2641
4 жыл бұрын
Bee's Babylon 👊👊👊
@jafarikimaro4730
4 жыл бұрын
Blue nakuelewaga sana
@mcnjovu3525
4 жыл бұрын
Nakuaminia kamanda wangu blue
@6xrecca175
4 жыл бұрын
Babiloni bizzy
@rashidchimwenda
4 жыл бұрын
Duuh wamechukua snickers 😂😂😂
@jumannemsengi2195
4 жыл бұрын
Wahenga wa Bongo flava, tuelewe wingi wa minyimbo kila wiki sio issue!!!!! Piga 3 ila wakuelewe hata miaka mia angalia hii Mr Blue noma
@suratfrank6282
4 жыл бұрын
Pc&lv blue byser
@bafaello2619
4 жыл бұрын
Legend
@msokeentertainment5720
4 жыл бұрын
Kajitaidi aise
@humphreymasoud1725
4 жыл бұрын
session ya mistaa blue jukwaani huwa ni tamu sana. Mr blue amekuwa ni msanii mwenye nyota yenye influence kwa vijana.na ndio maana anaweza kuwamudu mashabiki wake stageni kirahisi sana.. nakumbuka tangu mr blue anaanza safari yamuziki vijana wengi waliokuwa wanaamini wanaenda na wakati walikuwa wanatamani kuvaa kama mr blue, kuongea kama blue, na mikogo yao kama ya mr blue. hii kitu blue kajaaliwa na mwenyezi.. hatoacha kuagawasha mashabiki zake hata akiperfome huku kakaa kwenye kiti muda wote.
@prosperndelwa4560
4 жыл бұрын
Shikamoo mr #Blue amesepa na jiji la mwanza
@abdulukwachu4447
4 жыл бұрын
Kabaisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mayjaally5026
4 жыл бұрын
Mnyama . BOB BAYSER
@jameslemenga2327
4 жыл бұрын
Pa1 blue
@musaabuebker1750
4 жыл бұрын
vijana wamepita na viatu vya blue
@robertevarist1595
4 жыл бұрын
Mnyama mkali kabisa hajawahi tokea duniani
@isdoritemba2141
4 жыл бұрын
blue noma gonga like kama unamkubali
@mickidadymfumya7544
4 жыл бұрын
Brue namkubal san
@zindunadeson1675
4 жыл бұрын
Always baisa ni baisa
@kassimngohengo3281
4 жыл бұрын
Mmmg mmmh blue nyoko
@saidabeid1921
4 жыл бұрын
wahuni wamesepa na buti
@fatmanahay9980
4 жыл бұрын
Hiyo suruali ivue kbx haina maan 😏😏😏😏
@babueddyothman300
4 жыл бұрын
Amexhaixha mda wake awapixhe hamo
@iqrahyah-sin4990
4 жыл бұрын
Hyo ndo ndo Byser
@allyswaah5318
4 жыл бұрын
🔥🔥🔥🎤🎤🎤🎤
@ramamanyama2944
4 жыл бұрын
Herry Sameer haujawah kuwaanguxha watu kwenye fiesta
@gojoogojo8622
4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@simonfrancisjr6591
4 жыл бұрын
Mamae blue kakaa chin kuamka wat washachkuw raba duu kwl raia wapo fasta hahahah
@kennix6457
4 жыл бұрын
Mambaaaaa
@joshuajoshua7092
4 жыл бұрын
Day atabakia kua juuu siku zote ana jua kukonga nyo za mashabik awapo sitejin
@laurentchimbirani5990
4 жыл бұрын
Wangp wameona viatu vya mr.Blue vilivyochuliwa kiaina?
@joycewijsman1014
4 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@chrixtianwolf2290
4 жыл бұрын
Babylon
@leopoldmwesa6968
4 жыл бұрын
Kitambi toa hcho!ishi kistaa
@sadruhsnowwhite4679
4 жыл бұрын
Blue hahahah
@edmundmuhumba9585
4 жыл бұрын
💥
@ziadaibrahim6189
4 жыл бұрын
Walikua kmy kwa wasanii waliopita alivyopanda mwenye stej yake tu na kile kipande cha king masauti wenyewe wameimba bila kuimbishwa bluu nomaa
@vincentpaul3499
4 жыл бұрын
Kipande cha kiba kama wote walioimba
@afronemmy
4 жыл бұрын
nomaaa
@justinepallangyo8291
4 жыл бұрын
Oyooooo noma sana
@samanthaali873
4 жыл бұрын
Jins ina vuka chupi twaiona mmh
@pitajohn6536
4 жыл бұрын
daaa
@hundamaniamania872
4 жыл бұрын
♨️♨️🇹🇿
@omarkassim9746
4 жыл бұрын
dhaaaa mzuka mjomba yni hkna kama ww
@gigotz1755
4 жыл бұрын
Hii ndo tofauti kati ya tamasha la kimataifa fiesta na lile tamasha la wilaya wasafi
@Shuletz075
4 жыл бұрын
Kambi Popote Byser Kubali Sn
@nurdincassim4115
4 жыл бұрын
Ushubwada mtupu
@kapelatz5314
4 жыл бұрын
Naelew kaz yake huy jamaa
@kenethmsigwa7464
4 жыл бұрын
Hizi ndo hazina za bongo sio simba simba! Simba uchafuuu
@edwardsichilengwe2330
4 жыл бұрын
Keneth Msigwa ndo tatizo mnaoanza kusikiliza muziki kwny fiesta. hivi hujui blue pia ni simba! sasa unamsifia hapo hapo unamponda kweli we kinyesi
@alfredzaudo8371
4 жыл бұрын
@@edwardsichilengwe2330 kwel diamond anatesa watu maana lazma watu wamuongelee duu noma xana
@atashaisha8706
4 жыл бұрын
Kwani mikanda ilipigwa marufuku Tz mbona suruale zawa nguka ama nazo ni swaga
@haibasalehe3568
4 жыл бұрын
Viatu
@joshuajoshua7092
4 жыл бұрын
Kweli tupende tu wasan wetu ila kusema kuna bla hapo au isitoria niuongo ila mtt unaweza ukamwambia hivyo mana hajui nn mana ya historia au bara ila mtu mzimaa kama mm nakuona una mana heli hata omii kidg angalao kawapa watu mzuka
@dawaphilipo7600
4 жыл бұрын
we imba sio mashaki waimbe wao
@samsonmusa7626
4 жыл бұрын
Hamna kitu hapo ...nyimbo hizo hizo miaka yote ...anatumia tu experience ila hana maajab yoyote mapya
@vicenthokororo6339
4 жыл бұрын
Acha majungu ww
@iamzillahx6901
4 жыл бұрын
Unaweza toa nyimbo kila cku ila bubblegum ila hzi ni timeless hata wajukuu watazikuta
@mabassam8044
4 жыл бұрын
We mshamba tu mziki mzuri ni ule unao ishi acha kujisahau toa nyimbo uone kama itaishi kama wafkiri rahisi
@vicenthokororo6339
4 жыл бұрын
Nafkir we ndo mshamba zaid asee unataka ckiliza izi nyimbo zinazodum masaa 2...... ona raia walivokua wanaimba nae fresh kabisa japo nyimbo ni za long time
@meronstudioz
4 жыл бұрын
Kwan we n msanii.. nadhani pia hata umri wako utakuwa tatzo itakuwa wa miaka ya 2000 so hujui maana ya muziki
Пікірлер: 123