HONGERA SANA... Upo vizuri na kazi zako zinajieleza na tunakukubali sana..BIG UP
@fidelfidel-jz4iw
7 ай бұрын
Hongera sanaa unajua KAZI yako tiles ni muhimu hazipitishi maji. Na unyevunyevu na hauwezi ona maji yakipenya KAZI nzuri.
@DanyKalinga
9 күн бұрын
Safi kk
@MarryKileo-j6x
8 ай бұрын
Nakuelewa sana kaka. Mungu akubariki sana kwa kuendelea kutusanua.
@ericoguri8368
6 ай бұрын
Mimi kama Mkenya napenda Kiswahili cha Bongo. Mwalimu umefanya kazi nzuri.
@mmake30
8 ай бұрын
Dogo uko vizuri saana, nayaona mafanikio yako ya baadae.
@abdurahimabdulkadir3926
11 күн бұрын
Waah huyo findi ametia hasara lkni kosa Liko kwa mwenyewe alifata urahisi
@deniskimenyi899
8 ай бұрын
Watu hawataki kutafuta watalaam , wengi wanapenda akina Fundi Michael . Good job
@BwireMtaki
5 ай бұрын
Good job 👍🏾
@suleimanjokoro
26 күн бұрын
Uko vzr mwamba👊
@Halimamchafu1174
5 ай бұрын
Mashallah kazi nzuri
@innocentthobias924
4 ай бұрын
Umetisha mkuu yamenikuta ayoo
@ItsNasto
5 ай бұрын
Good job i have same problem
@joyceassey2347
8 ай бұрын
Woooiiiiii mi niliona ctaki shida nikawaambia nipaulieni imwage maji upande mmoja,,sikutaka izo mambo za utaalam kabisa
@shakilabakari6928
7 ай бұрын
Kwakweli
@mohamedmdillah8532
2 ай бұрын
Nitumie picha dear nione ulivyofanya
@OmanOman-y7z
6 ай бұрын
Kwer kabisa upo sahihi nikijenga nitawaitaji🎉🎉❤
@abuujibriltv5233
8 ай бұрын
😂ila usiwe una tumia neno wadogo wangu. Video zako wengi wanao angalie ni watu wazima
@ngoshasaluminium4062
8 ай бұрын
Amesema wadau wangu,, Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi
@ngoshasaluminium4062
8 ай бұрын
Amesema wadau wangu,, Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂
@ngoshasaluminium4062
8 ай бұрын
Amesema wadau wangu,, Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂
@ngoshasaluminium4062
8 ай бұрын
Amesema wadau wangu,, Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂
@ngoshasaluminium4062
8 ай бұрын
Amesema wadau wangu,, Sio wadogo,, Sema hapo kametumaliza Sana mafundi😂
@ElizabethMmary-h6i
3 ай бұрын
ubarikiwe sana ntakutafuta
@masumbukosiyougomvi7900
8 ай бұрын
Upo safi sn, heri yako kuwa mwalim mwema
@GodfreySylvester
7 ай бұрын
Nimekuelewa sana kwenye hii video. Hongera sana
@methodiuskikoti5870
8 ай бұрын
Uko vizuri sana kwenye suala la ujenzi. Utafika mbali sana kijana. Ila Hilo neno linatamkwa hiden sioo haiden. Ingawa neno lake la msingi linaandikwa hide na kutamkwa haid. Kwa kifupi. Hide tamka haid. Hiden tamka hiden. Mungu akubariki kusanua mabosi na kuelimisha mafundi pia.
@AdamuDamasi-qq9uv
8 ай бұрын
Fuala wewe unajifagilia kizembe
@AdamuDamasi-qq9uv
8 ай бұрын
Sema fundi ujenzi sio fundi matope fuala wewe
@koperawasona9551
6 ай бұрын
Hongera unajuwa
@mathiasswai7006
8 ай бұрын
Elimu zuri🎉🎉🎉 chukua mau yako
@kelvinkencho401
8 ай бұрын
May god bless you
@AudaxAdrian
3 ай бұрын
Ahsantee
@ahadibuge5246
6 ай бұрын
Nimependa sana hiii.... umeonyesha mambo mengi ambayo watu wanakosea.
@jynajyna5835
Ай бұрын
Tiles sio solutions nimeona zinapitisha maji ktk maungio
@kelvinmugambi8642
7 ай бұрын
Hongera sana...waeza fika Kenya?
@isamony58
8 ай бұрын
😢😢😢Yani hiiii mijengo jengeni tu wala sina hamu nao
@magretangel5242
8 ай бұрын
Hata mi sjatoneaga kuzipenda aina hizi mimi za kufunika kawaida ndio simple
@salimabdul4424
7 ай бұрын
Upo vizuri
@magretangel5242
8 ай бұрын
Majiran zake wamepiga roof za kunyanyua very simple ila huyu mwenye nyumba kajifanya mzungu ili wamsifie kumbe kawekewa bwawa juu ya bati
@zeddymourice4249
8 ай бұрын
Kila mtu anaamua nyumba yake aipaue kwa style gani sio lazima wafanane,shida nihuyo fundi ndio kamtia hasara.
@azzaalhabsi1505
8 ай бұрын
Yes sir. Kumbe wenye shida hii tupo wengi. Mafundi wanatutia hasara jamani.kama hawajui kupauwa dizain hii si waseme ukweli tu.
@fadhilimsangi875
8 ай бұрын
😂
@SalomeNkwera-wr1jg
5 ай бұрын
Usimuhumu mtu bila kujua anaamua yeye na ela yake
@MehmetMtonga
11 күн бұрын
Mwambiee ahache kuiga akome
@GcFd-s8t
2 ай бұрын
Nikweli kaka❤❤❤❤
@williamjonasmangurama9852
8 ай бұрын
Safi sana nekuelewa
@amisamaurid1882
8 ай бұрын
Muda ukifika mm ntakuita Tunduma brother
@abdulbonomali6548
8 ай бұрын
Usimlaumu sana fundi inawezekana mwenye nyumba ndio chanzo kupenda kuraisisha
@eddyeddy1337
8 ай бұрын
Safi sana bro
@yassinbachu4819
6 ай бұрын
Engineer swala langu hii contemporary roofing ni bri rahisi ku weka?
@warakawayohana2896
8 ай бұрын
Safi sana mdogo wangu
@iddimngazija1957
8 ай бұрын
Kwa hali hii unaweza kutafuta mtu na panga😎
@kamarhelo
8 ай бұрын
Haswaaaa mana wañaona watu pesa wanaokota
@bandaally369
2 ай бұрын
Mkali
@tumsifushoo3544
8 ай бұрын
Sababu ya kupenda rahisi sasa itamgharimu
@amisamaurid1882
8 ай бұрын
Yes sir
@godlovemassawe-uq6ey
Ай бұрын
Kudadeki fund niwakumsaka huyooo alie borongaa
@mburuumbe5659
8 ай бұрын
Mimi sio fundi Ila nimekuelewa sana
@galantsoldier9258
8 ай бұрын
Nakukubali fundi
@handenitakuru6696
3 ай бұрын
Daaaah huyu fundi jamaa kama kamfanyia makisudi yani kamtia hasara kubwa sana sasa uwe na pesa kama nimwenzangu namie pesa yetu ni yakuunga unga unatamani uende ukamchabange mapanga
@hamzamwaya463
8 ай бұрын
Yaan mi nakuelewa sana
@ImmaKimambo
8 ай бұрын
Sema gata bwana sio dude
@FredrickKisanya
6 ай бұрын
Yes sir
@ayubustefano
4 ай бұрын
Nimekusoma mr,hause
@saraikayo4694
8 ай бұрын
Nimekuelewa kk
@BamBam-q6l
8 ай бұрын
Umetis bro
@emmanueltuppa5459
5 ай бұрын
Yes sir😂💪
@geofreymalekana8000
8 ай бұрын
Asante sana kwa kutupa ufahamu, exallent bro
@catherinejullu6615
23 күн бұрын
Natuma msg hujibu
@danyhas8947
Ай бұрын
Ni hasara kwel kwa ss wabangaizaji
@amisamaurid1882
8 ай бұрын
Uzuri nina.namba yako ww ndo utakae nipaulia nyumba
@salimmachila5736
8 ай бұрын
Hasara kubwa sana
@MehmetMtonga
11 күн бұрын
Umesomeawapi
@JumaMario-px8tt
8 ай бұрын
Huyo fundi nae alizidi fundi wake msamehe
@swaggadiv
6 ай бұрын
Hizi nyumba zakuficha paa ni balaa ata kurekebisha iko costly sana
@hurumajosephat6333
8 ай бұрын
Hao mafundi ni wa kuweka ndani
@MakameMufadhil-n8d
8 ай бұрын
Kweli
@moriscollins4494
5 ай бұрын
Shida watu wanapenda vitu vya rahisi kwani bati tsh ngapi
@jafarinauma6798
2 ай бұрын
Kamera man wako kazingua hajui kitu kabisa
@JamesMsigwa-q6l
2 ай бұрын
Yani uwe unafundisha sio kujifanya unajua yote na kujikuta unajua zaidi
@fatimakhatibu8256
8 ай бұрын
Hasaraa jamanii
@martinmunene9040
7 ай бұрын
Niko Kenya nimejaribu kupiga no zako nyote hajigii
@zuenajohn8325
8 ай бұрын
Jamani wewe niache tu nimepata hasara mimi uwiiii. Nililetewa fundi anajidai mjuzi wa jpsum. Acha baada ya muda zilianguka zote rumu 3. Tails zime umuka. Naumia mimi jmn maana sinauwexo tena.
@Aishaawadhimsloki
8 ай бұрын
Umenitisha uuwi😢😢😢
@jenipherseleman7752
8 ай бұрын
Pole
@ElizabethMakwaia
5 ай бұрын
Kaka mbona hupokei cm? Sasa wateja tunakupataje?
@jumafumao1519
6 ай бұрын
Kaka nime kuku bar
@hamzamwaya463
8 ай бұрын
Ni kweli kabisa, Harmonise, Diamond ni upuuzi tu
@Joseph-i8x1d
7 ай бұрын
Acha ujinga ww
@fanni-ck6do
8 ай бұрын
sooo sad yaumiza kwa kweli
@avelinaandrea5031
7 ай бұрын
jamani mafdi wanachukua pesa zabure
@salama1113
7 ай бұрын
Sasa uogopi huko juu ukipolomoka wakati imeshiba maji
@JumaTimbanga
8 ай бұрын
Duh
@teedullah5708
8 ай бұрын
Nawakuchukiye lkn utuokowe
@fatmaabdallah7709
8 ай бұрын
Daaah umenifungua akili mr house hilo ndio tatizo nililonalo hapa kwangu kariakoo. Unaweza kuja kuniangalizia tatizo lililopo hapa kwangu?
@EDDOSTEVEN
8 ай бұрын
mm nimeweka gatta ndogo but aivuji mwaka wa 8
@iddymfinanga9424
8 ай бұрын
Nyumba za Jenga uza izo, ndivo zilivo
@JumaTimbanga
8 ай бұрын
Duh
@FatumaNgala-k2l
8 ай бұрын
Na nikitaja unifanyie ww
@MARIAMHABIBU-q8m
8 ай бұрын
😢
@AshuuuBakari
8 ай бұрын
Ujenzi huu niliukataa kabisa na unikome. Napauwa kisusu tu
@kamarhelo
8 ай бұрын
Nikweri kabisa bola kupaua na borit tu
@Mpakauseme
8 ай бұрын
Shida hawana akili ata mimi si fundi naona tu hapo kunamakosa aisee inasikitisha sana
@mwabuselectors
8 ай бұрын
Yaah hapo hata kama sio fundi unaona kabisa wamebugi..
Пікірлер: 144