Mbavu zangu weee😂yani kp ,zebu na Nora. Na mzee likoma 😂mmenichekesha kweli 😂 na hogereni sana kwa movi nzuri
@TzSarm
6 сағат бұрын
Wakwanza leo
@NambinhoNamba
6 сағат бұрын
Wakwaza kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@BagumaJulienBagumaJulien-k8g
6 сағат бұрын
Huuummm wao twendeleye ku enjoy na mr money shey shey mupe salamu muganga matikisa (kisai)💚💛💛💛❤
@allymwashambwa5920
5 сағат бұрын
Kusema ukweli timu hii nzima naikubali sana sana , mungu awe pamoja nanyi
@LéonardHabayimana
6 сағат бұрын
Niko Burundi nazani nimekuwa wa kwanza Burundi oyeeeeee Tanzanie nawapenda saana
@NuruNdegwa-yg2bm
4 сағат бұрын
Kutoka kenya nawakubali sana😊
@BrendaKenzie
4 сағат бұрын
Mzee likoma kazi safi sana kwa kweli ni nzuri sana wow congratulations kwa kazi nzuri mnayoifanya mungu awajalie maisha marefu mno
@Hadijawashuma
5 сағат бұрын
Jaman mtuongezee dakik 😢😢😢😢
@MaryMwende-r4w
4 сағат бұрын
Waaah nitamu sana hii
@DianaMkembelwa
3 сағат бұрын
175,jamani nimecheka sana,Zebu and kp.naomba like😅😅😅😅😅😅😅
@KadzehaSophia
6 сағат бұрын
Wow leo nimewahi jamani
@JosephineMomanyi-jp8tv
Сағат бұрын
Zebuu endelea ivo ivo nora ni mdogo wako heri mwangamize uyo bibi. Ongera kp kwa kufanyia uyo mpuuzi kazi nzuri alidanganya ati ni ww ulipeleka kanga kwake ❤❤❤❤movie
Wakwanza from congo🇨🇩 contant de Vous revoir... Mes j'aime s'il vous plaît ❤
@EglayAyuma
5 сағат бұрын
Kp iyo basheni ya uso😅😅😅
@philohmutua2968
2 сағат бұрын
Shay shay utaona moto❤❤❤❤ nakupenda bure
@LeahMwita-l9w
5 сағат бұрын
Wow team ya kp na Zebuu well done guys 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@EzekielWilliam-w9p
5 сағат бұрын
Unyama sana nilisubir Kwa hamu sana hatimae imetoka ep 13
@shabaniathumani2284
6 сағат бұрын
mnao mkubali rikoma mbarikiwe saana
@margaretmatoke-vp9vt
4 сағат бұрын
Keep going
@TheodoreCiranko
2 сағат бұрын
Kazi nzur nawafwata nikiwa drc kongo,😃🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@LilianMwaijibe
4 сағат бұрын
Leo kp umejua kunichekesha jmn
@SafinaAugusto-o2f
6 сағат бұрын
Wakwanza leo kutoka 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@OkoshAlesh-j9s
5 сағат бұрын
Jameni mmetuchelewesha sana 😢 ila nawapenda sana
@mybenzii7608
4 сағат бұрын
Mko vizuri.. 9:41
@Lovenesseliasmasaba
5 сағат бұрын
Kwaiyo huna alieungua moto mnachaje kp pile😂😂😂
@Beibshinninglight
4 сағат бұрын
😂😂😂KP hatari, hongera sana zebuu kuwa pamoja na NORA❤❤❤
@IssaSuleiman-yc7jb
5 сағат бұрын
Kama unamkubali mr.likoma gonga like hapa❤
@RuthMwende-qv7jo
5 сағат бұрын
Wow wakwaza kuona
@EsauAnyanga
4 сағат бұрын
God is taking you far, yaani Ile kicheko hua mnanipa, wacha Tu, alafu Nani kampa Kisai sin ya mganga jamani 😅 waiting for 14
@AhmedA-zw3jv
5 сағат бұрын
Hii move inafanana na Ile ya Mzee WA giza maua yenu🎉🎉🎉🎉
@MaryMumbi-n8p
5 сағат бұрын
Mara ya kwanza leo jamani ku comment....saseni
@EvodiaDominic
56 минут бұрын
Ila mtatuvunja mbavu si kwa comedy hizo!!!🔥🔥🔥🔥😂😂😂🤣🤣🤣
@Perrysteve39
5 сағат бұрын
Likoma umeamka kabla hujafanyiwa first aid ukaokoe pesa😅😅😅😅
@salimasava11
5 сағат бұрын
Likoma una balaa wewe yani unasema kitu na unajikosoa mwenyewe😅😅😅😅
@DalmondLaurent
Сағат бұрын
Mzee likoma Safi sana kumtetea nora alafu kp umenifurahisha leo 😂😂😂
@zainzain1163
5 сағат бұрын
Aki nyie mtatumaliza na kicheko
@GalasindaKikoti
6 сағат бұрын
Like
@OmanMobile-v7h
5 сағат бұрын
Hii nyumba wote siyo wazima❤❤
@StamiliAshery
4 сағат бұрын
Bronze ya mzee likoma
@ShakurShafiru
5 сағат бұрын
Wa mwisho p didy
@Mungumwema-g9p
5 сағат бұрын
Dak 18 mmeshajaa naongea kama mke walikoma wote mtoke humu mkaoshe vyombo
@JudithMusau-ez2fx
5 сағат бұрын
Hapa likoma na psea kuna mchezo akuna first aid
@Africa-j8k
6 сағат бұрын
Niko wa kwanza naombeni like zangu musoma tz
@NaomiDononda-dp9ds
3 сағат бұрын
😃😃 eeeh mbavu zangu mm jamn likom baad ya kusikia moshi huko nd kazinduka eeh na cha kwanz kuokoa kwake is money
@HidayaHamisi-w5k
4 сағат бұрын
Jmn marafiki zangu hi mover inawafundisha nin mahn mim nivicheko 2 hata sijui inafundisha nin kuuli siujinga
@EvodiaDominic
57 минут бұрын
Inatufundisha kupendana, kumpenda mtu bila kujali Hali yake, kumuamini Mungu na si waganga, wababa kutooa mwanamke anaelingana na watoto wako, pia inatuburudisha maana ni full comedy
@HidayaHamisi-w5k
50 минут бұрын
Hapo ndonimeelewa nilikuwa nahisi sin uhakika nayo kwakweli inachekesha san
@JohnSimba-x8h
3 сағат бұрын
Mungu awape maisha marefu movie 🎥🎉nzuri sana❤❤
@KidumeRashid
5 сағат бұрын
Leo inabidi nicheke tu kwani likoma na family yake wote hamnazo
@Pauline-254
3 сағат бұрын
Leo nimecheka weee kazi nzuri sana
@Mary-cm3tt
36 минут бұрын
Aki hii nyumba jamani mtaniuwa na kicheko😅😅😂😂😂😂😂
@RahmaMoon-e3h
4 сағат бұрын
Yani hii movie nitamu kinoma😂😂😂
@AsaphYegon
2 сағат бұрын
Nafuatilia kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@BothainaBothaina-k6c
5 сағат бұрын
KP uko Na vituko sana anyways congratulations 👏 good job watching from 🇰🇪 🇰🇪 nawapenda sana team KP 🎉🎉❤
@KanymrBilvaro
6 сағат бұрын
Wakwanza leo🎉
@EvaMourice
6 сағат бұрын
Nimewahii
@angelmollel2002
2 сағат бұрын
Waoooh kazi nzuri sana, congratulations guys❤
@kengitonga
5 сағат бұрын
Ni mimi wa kwanza from meru Kenya
@FahimuFarao
5 сағат бұрын
Hii nayo inaninogea jmn nyie kp family mna maajabu!!! 🎉❤
@silvaindasi6204
2 сағат бұрын
Mwambieni Mzee Likoma nampenda jamani❤❤❤
@FloNoti
2 сағат бұрын
Nora anakipitia jamani 😂😂😂😂
@AminaKhalfani-ib7sh
Сағат бұрын
Tumeisubirya kwahamu atimaye imetoka
@CarolyneNyanchama-yk1gf
16 минут бұрын
Show Iko lit I love it mzee likoma akiwepo Kila kitu Kiko sawa nampenda sana kinauma yaani ❤❤ila cjui kisai anakula Nini jamani amenenepa amenenepa otherwise nawapenda team likoma feel blessed 🙏🙏❤️
@AbelMganga-j1o
6 сағат бұрын
Wangapi tulikuwa tumesubiria
@ZakiaRashid-gi4vj
4 сағат бұрын
Hhhhh nimecheka
@FESTOFRANCE-f4w
6 сағат бұрын
Leo nimekua wakwanza
@ElizabethMunanie-pn1dx
5 сағат бұрын
Mnafuraisha jamani
@Malin2001
3 сағат бұрын
Zebuu siku nitaumwa mbavu utanipa zakwako walai 😂😂😂😂😂😂
Пікірлер: 316