Pimbi umeongea kitu sijawai kukisikiya huko nyuma. Unatakiwa uwe feya kwa Kila mtu❤❤
@BuraramaKwibe
Күн бұрын
Wimbo wa kiba na Mario to noch mmmmm ni moto❤
@Kaske-bleumartin
Күн бұрын
Pimbi mwamba from merekani
@Brunotarimo10
Күн бұрын
Mimi kama shabiki sugu wa kiba naanza kuipenda hii tv . Na mst PIMBI nitakua shabiki wako sugu big up PIMBI
@candidoderosa
21 сағат бұрын
Ata mimi
@johariabdalla3319
Күн бұрын
Nimeamini kweli Pimbi ni mzee wa Fact,jamaa anasema kweli
@OMARKOMBO.9984
Күн бұрын
Namkubali mr pimbi
@YogweMwakulola
Күн бұрын
Pimbi for life sasa nakuelewa kabisa
@TheophileByahemo
19 сағат бұрын
Mr pimbi umeongea point bro king Kiba forever 🎉🎉🎉
@MalikAssumani
Күн бұрын
@Mr Pimbi for the first time unaongea ukwel So before sikuw nakuskiliz but kuanzia sas I have to watch all your interviews they have to respect @Alikba is king ukatae ima ukubali big up san Mr pimb.Malik from 🇺🇸
@christiancuma6146
Күн бұрын
Sisi mashabiki wa @alikiba tuna anza kupenda ptv 🥰
@dogoshazzy761
Күн бұрын
KingKibaaaa
@SifranLove
Күн бұрын
Wengi watamkosoa kiba ila tunaojuwa kws upande wetu katukosha tena sana, huu ndio mziki wa mabilionea unasikiliza bila kutoka jasho, unausikiliza katika ndege, hospital mpaka kwenye bahari
@SuleimanAli-jv3lt
Күн бұрын
We love you Mr pimbi all the way from Zanzibar
@jacobsadock3530
18 сағат бұрын
EP kali balaa, nyimbo zakubembeleza ,mafundisho na inspiration
@rahmashaban4024
13 сағат бұрын
Umenifurahisha sana leo Mr pimbi
@chihoma-m4f
18 сағат бұрын
pimbi leo umenifurahisha ❤
@EverinaBobasha
16 сағат бұрын
Namkubali alikiba❤❤❤❤❤❤
@natureboy972
Күн бұрын
Asante pimbi
@SuleimanAli-jv3lt
Күн бұрын
Good bro good interview
@suleimanmussa5792
Күн бұрын
Shukrani Mr Pimbi kwa kuongea ukweli,King ndo mwenyewe
@lourykibudu
Күн бұрын
Kwa mara kwanza nakomenti humu kiba katisha sana
@EliusPonde
Сағат бұрын
Hapo pimbi nimekuelewa sana tukopamoja sana
@ShabaniSam
Күн бұрын
Mr pimbi Leo ume weka wazi ukwel
@NemesMasawe
Күн бұрын
Kwel kabisaa
@MualimoAdolfomussaMussa-n6v
Күн бұрын
Mr pimbi poquea 🎉🎉🎉🎉 kutoca mozambique
@EddytabenMwambegu
5 сағат бұрын
Uko sahihi bro.alikiba ndio mkali
@EvaMunui
10 сағат бұрын
Yaan mm ni shabik wa alikiba toka Enzi na Enzi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MalipoFatu
8 сағат бұрын
Nikweli mzee pimbi anaongeya I'm from DRC 🇨🇩
@EvaMunui
10 сағат бұрын
Kwakweli umeongeya ukweli kaka pimbi mnyonge mnyongeni lakin mpe haki yake❤❤❤❤❤❤❤❤
@kitunganolwebo7570
Күн бұрын
Mfano wa masai kuuwa simba umenifanya ni like hii ptvt
@MoisesAbelSalimo
Күн бұрын
Mano está fala bem
@Alisalim-r8c
Күн бұрын
Ume tisha
@allenonesmomwebembezi6248
Күн бұрын
Daaah😂😂 nimecheka sana😂😂😂
@mlundiDouglas-de2nc
14 сағат бұрын
Mr pimbi umeniwacha hoyi
@emmanuelkituma
Күн бұрын
leo pimbi umeongea ukweli
@RichardNivyiza
Күн бұрын
Pimbi kuanzia leo nimekukubali KIBA ndio kanileta kwako
@FettyMsuya-iw8sy
10 сағат бұрын
Pigeni makofi tafadhal❤
@salimsoyo8118
Күн бұрын
Pimbi umetukosha sana
@FrankSinyangwe-wg2nx
Күн бұрын
Pimbi wee nimwamba
@Mamelodyog
Күн бұрын
Hii inatakiwa iende Trending clip hii aise sio ushabiki wa kulipwa pesa ni msukumo wa moyo umeongea kweli🎉
@yusufkatana2426
6 сағат бұрын
Kaongea yaliyo moyoni mwake
@AbibaSalleh
10 сағат бұрын
Wambiye Hao pimbi
@mtulivuboy1825
17 сағат бұрын
simba amejipa jina mwenyewe king Kiba kapawa jina so try to understand the difference.
@baoussenesombair8007
Күн бұрын
Lakini pimbi ni mima nampogeza ptv kutoka Moza 🇲🇿💼
@EverinaBobasha
16 сағат бұрын
Kiba jamani
@EliusPonde
Сағат бұрын
Alikiba ndio msani mkubwa tz na Africa nzima muwe mnakumbuka record alikiba alishinda tuzo ya msani Bora balani Africa mwaka elufu mbili na kuminasita hakuna Cha Nigeria wara Senegal wara Congo
@kwizerabienvenu3150
2 сағат бұрын
Kwakweli mi nimekua sitambui jinsi Mr Pimbi kapewa jina la “Mzee wa Fact” kwakweli ivi njo nimetambua jinailo kwake🤔 Rspct xna Mr Pimbi
@MalikAssumani
Күн бұрын
Nani ananamb ya Mr pimb
@TeophilBuilding
Күн бұрын
We yann
@kitunganolwebo7570
Күн бұрын
Eti nafasi ya msani namba 2 inagombaniwa , haina mtu...nimecheka sanan mr p
@EliusPonde
Сағат бұрын
Kumbe tumeona wengi na kusikia
@rabbik5668
Күн бұрын
Muzee wa facti
@EvaMunui
10 сағат бұрын
Kwakweli unyama ni mwingi
@Abby_Shawn_KE
Күн бұрын
Hao wasanii wa hivi sasa hawaimbi cha maana walisaini kwa shetani wavume, kama huyo JAY MELODY sjui anachokiimba, kiufupi wameTrendi kwa kuuza nafsi na mikundu yao😂😂,na Takataka zingine kama MBOSSO, D VOICE yaani kinyaa tu
@AngelmackieCharity
Күн бұрын
😅😅😅😅😅
@Abby_Shawn_KE
Күн бұрын
@@AngelmackieCharity ni Takataka tu hamna kitu, waimbaji mahiri kama BRIGHT TZ wapo pembeni hawapati sapot kwenye Media maana zinamilikiwa na mashoga hao wa kuzimu
Пікірлер: 59