Hongera sana mr. Mrisho Mpoto. @Mh. Nape, ubinadamu ni zaidi ya vyeo, viongozi wetu tujali haki na usawa kwa wote. Duniani tunapita!
@barakamwenda-qk6xq
Жыл бұрын
Mungu mwema utapona muombe munguwako nasiwatanzania twakuombeapia ishalllh uatponakaka
@Gerald-c1r
10 ай бұрын
Asante kwaujumbe wako mpoto hakika mafumbo umenifany nikumbuke. Mengi sana
@simonetz7036
10 ай бұрын
Pole sana Mrisho mpoto, lkn wewe ni mnafiki jambazi kama viongozi majambazi waliobungeni. Mpuuzi sana wewe RAIA hatujawahi kunufaika na wewe, mpuuzi mnafiki mkubwa. Kuwa realistic jifunze kuwa WATANZANIA tunateseka mno Kwa ujinga wa serikari na wizi
@KapandileMagulya-vz6mu
Жыл бұрын
Pole san
@JoiceJoshua
Жыл бұрын
Kongole Sana kakangu Mrisho Mpoto unaubunifu mwingi story nzuri unajua kufiksha ujumbe
@clementchagwa8787
Жыл бұрын
Congore nying kwako kaka M MPOTO, napendezwa na Kaz zko rakin dunian too wapitaji ombi lang kwako niombe utafte mtuu mwenyewe huitaji na mziki kama wako ili Hya unayo yafanya SIKU na SAA yetu ikifika kutoweka hapa dunian bc tusitoweke navyo vipaji tulivojaariwa Na Mnyaazi MUngu naomba Sana risisha kipaji chako tupate wasanii Kama ww napenda sana Kaz yako kaka God bless you mor an mor 🙏
@TiffahDangote-y2o
Жыл бұрын
Nakupongeza sana kwa kipaji ulichonacho mungu akubariki
Hayo unayoigiza kunawatanzania wanapitia huwa wanaenda kuomba msaada pale radio free Mwanza.Wakati huo hawa wanaotaabika rasmali zao ambazo zingewasaidia zinaliwa na kundi la wachache kwenye taifa lao hal ni mbaya kweli kweli.
Ulikuw hun milion Kumi na mbili za matibubu wkt mnatulushiag mnakula kuku na maneno mengne ya kejeli
@emmanuelmush379
Жыл бұрын
hi ndio real sanaaa ubunifu wa hali ya juu brother 100%
@jeffhard5773
Жыл бұрын
Naona mnavyo jaribu kupaka rangi upepo
@HassanMohamedi-nk4do
11 ай бұрын
Kwaiyo kama tangazo au
@maulidially7971
Жыл бұрын
Ubunifu wa Hali ya juu you have done ma brother
@nyawamwero587
Жыл бұрын
Huu ndo unaitwa ubunifu sasa.. congratulations mpoto👏👏
@WilsonEmmanuel-bs6op
Жыл бұрын
Wew mlisho Omba toba kwa mungu wako manaiyo Uchulo
@WilsonEmmanuel-bs6op
Жыл бұрын
Hata kamakuingiza Uko siyo poa
@fetychina3969
Жыл бұрын
Eeeeh!jamani pole sana Mungu atakufanyia wepesi
@Jescamaganya-su8es
Жыл бұрын
Kwan alipata akali mrisho au maigizo
@AminaHussen-i9f
Жыл бұрын
Imanure mgogo
@leilayathumani2295
Жыл бұрын
Kwel au
@SemeniMwaselela
Жыл бұрын
Pole Sana pole lakin positive ipo kwa Mungu yote Ni mamlaka yake
@asiamerey9081
Жыл бұрын
Hakika Mungu ndie ajuae kesho nayote ni matokeo
@NaisBosco
Жыл бұрын
Aloo Kuna ukweli kbisa nimeona kwa macho kijijni,mrisho
@amranozacha1631
Жыл бұрын
Duu uyo Mgonjwa sasa ana high temper atar
@immachacha1592
Жыл бұрын
Maisha haya haupaswi kukata tamaa mungu anagawa kwa kila mtu anae jituma
@elieneapalangyo6938
Жыл бұрын
Kwani umekuwa Mungu kuokoa maisha yako
@ShufaaJuma-r1j
Жыл бұрын
Mola akutie nguvu upone harak inshaallah
@YussuphIsmail-xj7gm
Жыл бұрын
So kweli ajali ni ekti
@mbarukuhajisimbanguvu1420
Жыл бұрын
Mtihan huu mungu tuokoe na hili
@HagaiKisaka-et1uk
Жыл бұрын
Ajali gani lichawa la ccm linazingua tu
@MmolelaEdgar-pi6tj
Жыл бұрын
Mlishompoto umetisha
@salumhassan6541
Жыл бұрын
Mtihani. Sana kujitia maradh
@SululuZungu-kx8ws
Жыл бұрын
Alf lizee linapg ela kwa akili xn mjuw😂😂
@deeonetheginger7011
Жыл бұрын
Damu nyeusi 😂😂😂
@EglaMfundo
Жыл бұрын
Imeganda😂
@jafarchuan8537
Жыл бұрын
Nakubali
@jamesmbwambo6142
Жыл бұрын
Koo mpoo kwenyee maaigizooo eeh
@JaphetMrema-pc3hh
Жыл бұрын
Ni kweli marafiki wata kuchoka
@SamwelKibenelo-bs9sg
Жыл бұрын
Tatizo
@nefertitibelinda1146
Жыл бұрын
Kwani Nape ana moyo jamani????? Jiwe la moto wa jehanamu.... Nape mnafiki 😅
@SululuZungu-kx8ws
Жыл бұрын
Watu wanawaz kula2 hpo apat pesa ajichenge 😂😂😂
@evodiadominicpaul5006
Жыл бұрын
Mbona cjaona analia
@salummbau6788
Жыл бұрын
Duuh,leo sion maoni a.k.a . Coment. Watz baadhi kama sio wengi ni WANAFIKI.
@MubarakaSaid-w7w
Жыл бұрын
wachache wana elewa cjui wengi wao wanao kusapot . nimependa lakini
@KmfourGroup
Жыл бұрын
Ukielewa utaeleweka tu
@leilayathumani2295
Жыл бұрын
Nilishavulugwa
@victoriarwerengera4831
Жыл бұрын
Mie sijaelewa kitu jamani
@asiamerey9081
Жыл бұрын
Okay hilo ni tangazo la Bima
@mwanagwakyala3213
Жыл бұрын
Ikipatikana tanzania ya usawa hakuna gumu
@mamacare5925
Жыл бұрын
Semeni Yuda iskaliyot amliza Pilato
@TheresiaSimba
Жыл бұрын
Nimekuona Devy hapo😊
@sniperbogo6210
Жыл бұрын
Oya mi sijaelewa kwamba huyu jamaa aliumia au maigizoooooooooooooooooooooooooo????
@LindaNgongi-pn9tf
Жыл бұрын
Pore kaka mpoto mungu akusaidie
@neemareuben311
Жыл бұрын
Kwan kafanyaje jmn
@DesderiusRwabuhaya-ot5sb
Жыл бұрын
Uooongo huo
@VeronikaJerome-wr8yz
Жыл бұрын
Po 2:22
@SaidiMbwana-x6w
Жыл бұрын
Huyo wa kuondoka tuu mnafiki mno
@tatumwishehe8181
Жыл бұрын
Jamani nape ❣️❣️❣️❣️
@NEEMAWALLECE
Жыл бұрын
Tyygt
@simonzakaria4770
Жыл бұрын
Ni kama vile anajichulia yampate si eti ee!!
@zuheorsalim7759
Жыл бұрын
Amefanya nn
@orastersanga8329
Жыл бұрын
Mmmmmm😭😭😭
@NorahFrank-w5m
Жыл бұрын
Ndivyo wengi wataishia.msishangae.nani ajuae kesho yako? Jiangalieni nyie mnaodhani mtaishi milele na kuwasigina maskini wa nchi hii kwa kuthulumu haki za Wa Tz.
@claudleonard8321
Жыл бұрын
kfnyaje ten
@ShabaniOnyango-gm3vz
Жыл бұрын
Duh pole kak utapona mjomb
@HagaiKisaka-et1uk
Жыл бұрын
Kwani kaumwa😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@faidhamyovela179
Жыл бұрын
@@HagaiKisaka-et1uk 😂😂😂 wimbo igiz,tu kuhus bima za,afya
@ibrahimshaban2361
Жыл бұрын
Msaka tonge ameshakula vyake nyie toeni mimacho tu hapo
@desteriamrope8847
Жыл бұрын
Viongozi Kama mpo sikieni kilio chetu BIMA ZA AFYA KWA WANAFUNZI IMEGEUKA KUWA KERO,ETI ILI WANF WAPATE BIMA NI LAZIMA MWL MKUU APATE WATOTO 100 VINGINEVYO HAIWEZEKANI.SIKIENI KILIO CHETU HAWA NI WATOTO WA KITANZANIA NA WANAHAKI YA KUPATA BIMA MLIANGALIE HILO LIMEKUWA KEROOOOOO
@sesicasi1364
Жыл бұрын
Huyu si kati ya wale wanaoimbia taarabu ufedhuli wa kuiuza nchi yetu? System mbovu, katiba mbovu, kila kitu kibovu. Miundombinu mibovu. Haya ndo matokeo. Tunapolilia haki kwa vizazi vyetu ninyi mnaimbia na kupongeza udhalimu wa serikali ya ssm. Tujifinze wote ni wapitaji tu hapa dunuani. Hayupo atakaebaki milele. Sisi wote ni marehemu watarajiwa!
@makambakoonlinetv7971
Жыл бұрын
HOGERA SANA MRISHO MPOTO
@PeterAlanus-j7v
Жыл бұрын
Kwani kapata ajali kweli au?
@faidhamyovela179
Жыл бұрын
Yan et igizo 😅😅😅
@severinyohana2971
Жыл бұрын
Jamani mrisho mpoto 😭
@edimalankohapanakungojaleo5619
Жыл бұрын
Sweken kabisa mfyuuuu
@joycemageta4876
Жыл бұрын
Hakuna huduma ni uchawa tu
@DogoMicheale
Жыл бұрын
Pole sana mungu hatakusaidiya😥
@LuckPanja-cw5ge
Жыл бұрын
pore
@apologizekiity1826
Жыл бұрын
🎉🎉🎉
@nlumanga
Жыл бұрын
Good idea
@zeddymourice4249
Жыл бұрын
Kishapata maokoto yake hata hawazi🤣🤣🤣🤣
@zawadisisto8188
Жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔
@alizaharan1471
Жыл бұрын
BIMA ZIPO KUNA BIMA ZA MAGARI ZA BINA DAM JEE PALE MTU ANAPO GONGWA NA GARI NI BIMA IPI INAJITAJIKA KUMUHUDUMIA YULE ALIE GONGWA ? MAFANO GARI MBILI ZIMEGONGANA IPI INATAKIWA KUILIPA MOJA WAPO ILIONMGONGA MWENZAKE KUKUTWA NA KOSA AU KILA MMOJA AKATENGENEZE NA BIMA YAKE?
@macdonamasali
Жыл бұрын
Non sense
@dustankakil6348
Жыл бұрын
Wakufikilie na wewe basi hata ukuu wa sanaa jamani
Пікірлер: 98