Hivi karibuni Rais Magufuli alivunja bodi ya TRA baada ya kubainika kuwa kulifunguliwa Fixed Deposite account na fedha za serikali kuwekwa huko.
Msajili wa hazina, Lawrence Mafuru katoa ufafanuzi kuhusu account hiyo na kwanini serikali imeamua kutumia bank kuu kuhifadhi fedha yake
Негізгі бет Msajili wa hazina kaifafanua 'Fixed Deposite account' iliyowaondoa vigogo TRA
Пікірлер: 5