The legend 🙌💙ferooz %% nakukubali san broo l salute you
@mmbondoglobalnews1958
3 жыл бұрын
Ongea Kiswahili bro, acha kufufua English ilio kufa hapo kwenu tanzania
@fadhilikawambwa5159
3 жыл бұрын
namkubali sana huyu dogo mtangazaji.nyota inayokuja kwa kasi
@rajabdibwa6415
3 жыл бұрын
Yeah mziwanda anajua kuhoji!
@amiahadi2153
3 жыл бұрын
This guy needs support a lot,
@peacemakerdxb6012
3 жыл бұрын
Ndugu mtangazi anaitwa Ferooz not Felooz....
@kalaluwakisaka3211
3 жыл бұрын
Namukubali mchizi wangu ferooz
@ngoshathebest228
3 жыл бұрын
Dah broo nnakukubari sana
@mundhiraliy1307
3 жыл бұрын
Bado tunakupenda kaka tunakukubali sana
@brunongwale3227
3 жыл бұрын
Mda mrefu sana
@Wastara001
3 жыл бұрын
Huyu dada hawezi kumaliza interview bila kumtaja diamond.
@BigZhumbe
3 жыл бұрын
Na wewe huwezi kumaliza comment bila kuandika Diamond 🤣🤣🤣🤣
@jacklinebrightness4513
3 жыл бұрын
@@BigZhumbe 🤣🤣🤣🤣
@fatumamwinyi516
3 жыл бұрын
Mh Feluźi !
@dullywizzo7665
3 жыл бұрын
Ferouz nakukubali kaka
@GhislainFIKIRINI
3 ай бұрын
Sisi wakongomani tunachunga mziki wa Ferooz na Twenty20%
@mussamc641
3 жыл бұрын
Naskiliza interview zako huu mwaka 3 unasema kwanza umeswech kidgo .. ww kubali tu gem lishakuacha bhan. Mda wako ushapita. Mondi mikono juuuuuuuuuuu
@MROMMAH
3 жыл бұрын
Badala maada iwe namn ya kumsaidia,,,,, wengne et wanaomba LIKES dah bongo bhn😂😂😂😂🙌
@kastulawe6158
3 жыл бұрын
Hivi bila kutaja diamond na harmonize hamna maswali??? Waandishi mfanye interview inayoendana na mhusika msitaje majina ya wengine ,,, Uliza mhusika kuhusu yeye na sio kuhusu wengine Stupid
@missmwayway4704
3 жыл бұрын
Umeonaeee
@abdulpires9091
3 жыл бұрын
Bila ya kutajwa mond interview haiend babu! Watu wana tuget zao
@fetychina3273
3 жыл бұрын
Mh!jamani😭😭😭
@AmCool_
2 ай бұрын
JIFUNZE KUTOFAUTISHA BASI KATI YA R NA L
@simbarajabu4157
3 жыл бұрын
Huyu dogo aliulizwaga unavuta unga akabisha sana lakini kila kitu mwisho wake uonekana
@fatmakiruwasha2378
3 жыл бұрын
Ss mbona mumeandika vingine duu nyinyi mungu hapendi
@ngoshathebest228
3 жыл бұрын
Mhh hata m 😂 😂 m nikajua kachangnykiwa kweli
@jamilasalimvilog6752
3 жыл бұрын
Ferooz
@stellamwakatulile3202
3 жыл бұрын
Staree kama staree
@zakiaferruzi511
3 жыл бұрын
My brother
@chingamutiti6214
3 жыл бұрын
Aaaaaah feloos
@kinasatz7266
3 жыл бұрын
Huyu Dada anaongea kama ammy girl...
@emmanuelshayo4703
3 жыл бұрын
Sawa Ferouz anayesema wewe ni teja aonyeshe improvement yeyote kama alishawahi kukuona sehemu...... Walete improvement hao wathibitishe wanachosema
@rahmaabdillahi2795
3 жыл бұрын
We emmauel unaelewa maana ya improvement kweli?
@emmanuelshayo4703
3 жыл бұрын
@@rahmaabdillahi2795 sio maneno yangu jamani ni ya Ferouz mwenye msikilizo kwenye swali aliloulizwa kuhusu matumizi ya madawa........
@salumkarim69
3 жыл бұрын
Feruzi bora utoe nywele zote kuliko kotoa ndevu zoete maaana c kwa kuumbuka iyo sura
@makulaikuku6909
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@ngoshathebest228
3 жыл бұрын
Haha hahaha
@utukufurecords7
3 жыл бұрын
FERROZ
@rashidmbalo3191
3 жыл бұрын
Mziwanda unajua yaani wewe mtangazaji mzuri maswali unayo sema sio felooz ni ferooz
@missmwayway4704
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂loooooii
@magorinyangi3812
3 жыл бұрын
R na L
@jayjay4313
3 жыл бұрын
Huu uandishi wenu, siku mtachezea minundu.
@kastulawe6158
3 жыл бұрын
Mbengo jirekebisheni ,, mnamaswali ya kijinga ,, Interview ya ferouz unamuuliza Mambo ya diamond stupidity
@christiannyamamba9089
3 жыл бұрын
Huyu kakaake harmorapa nini
@mussamalugu1793
3 жыл бұрын
We mtangazaji kajifunze lugha kwanza sio feluzi ni feruz
@elicegeorge9991
3 жыл бұрын
Umekuwa kifimbo cheza
@mussamalugu1793
3 жыл бұрын
@@elicegeorge9991 😀😀😀 itabidi wabadirike kidogo
@kalaluwakisaka3211
3 жыл бұрын
Haaaa
@strong8534
3 жыл бұрын
Sokwe
@simonmunenakabeya4132
3 жыл бұрын
Ujinga sitaki
@MohammedAli-ig9gr
3 жыл бұрын
nimefurahi sana kumuona feruz kurud ktk game apigenie mikataba hatadhurumiwa tena kama yale yaliyomtokea burundi mapromota feki walimtapeli ni mimi ndio nilimchukuwa toka bujumbura mpaka morogoro
@heinrchboesak1221
3 жыл бұрын
Anajivutia ndumu tu waache kuonge vitu wasivyo vijua
@israeleliah7163
3 жыл бұрын
Kingereza gani unaongea zero kabisa😱
@user-pg3pu4jk9f
3 жыл бұрын
Kwanini hawa wa sanii wazani walihalibikiwa jamani? Hadi huruma jamani mweee.
@ngoshathebest228
3 жыл бұрын
Hata m nashaangaa mweeee
@heinrchboesak1221
3 жыл бұрын
Uyo mwamba avuti mshilafu msuba anavuta nishakutanae karibu na mlimani city
Пікірлер: 57